vn_warehouse
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 648
- 854
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni Nguli 🤣Njoo unioe mimi BICHWA KOMWE the wife material.
Najua kupika chapati na kisamvu.
Nina shahada ya kukata viuno na kukalia mboro kutoka chuo kikuu cha Oxford Uingereza.
Cc: mimiamadiwenani Poor Brain Mzee wa kupambania dronedrake fundi bishoo Extrovert The Icebreaker
Hii siyo mentality bali ni uhalisia, ni bora umtafute yule ambae tayari ameonesha nia ya kumrejea muumba wake kuliko ambae tu yupo yupo, haimaanishi kuwa mtaani hawapo, wapo wengi kwa mamilioniHiyo mentality ya kuwa kanisani Kuna wanawake WA maana wa Kuoa ni Mbaya Sana.. Kuna mishetani mingi Sana ipo makanisani kujificha huko ili yaonekane ya maana lakini kumbe ni madangaji
Mnachagua sana Hadi mnaboa mnasahau kuwa hakuna aliekuwa perfectBalqior Mkuu tuko njia moja kwenye hili, ebhana swala la kupata mtu wa ku settle ni gumu sana
Acha kulalamika😀😀😀wanacholalamika wanaume wengi Issue sio kuombwa hela bali kuombwa sana bila kuwa na sababu za msingi.
Umenichekesha. .. eti kesho kutwa anawehuka...Nikwambie tu ata tuliowaoa wanatupiga vizinga kama madanga tu usipompa ela ananuna mpaka uumpe, dawa ni kumpa ela tu ndo furaha inarudi ndani.
Sasa kama unaita dem unashindwa ata kumpa chips unasema mpige stori kwani unamiliki kijiwe cha kahawa, wewe ndo auko objective.
Enewei nikonkludi kwa kusema ukitaka kuoa kirahisi tafuta binti mtie mimba utapewa buree.
Usichunguze sana tabia awa raia wanabadilika kila siku. Leo ananuna, kesho anafurai, kesho kutwa anaweuka. Waka kama kinyonga[emoji2].
By mzoefu[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Ujumbe murwa kbsaKaa tulia,andika mahitaji yako unataka mke wa vipi,shirikisha mamlaka zako za juu yaani Mungu au vyovyote muombe Sana Mungu,mke na malezi havina ufundi Ila vinawezekana Kwa kumshirikisha Mungu na pia mke anatengenezwa,sio mke atakae kuja atakuwa na kila ulichokitaka Ila ndio ameletwa na Mungu badae kila mtu atamuelewa mwenzie! Ila usisukumwe na muda Kwa kuwa Una haraka ya kuoa umri imefika ukahisi kila mwanamke ukimkuta barabarani unaweza kumuoa! Kumbuka unatafuta mtu WA kuishi nae maisha yaliyobaki Kwa hiyo Ka mzigo kadogo Kwa kuwa safari ni ndefu unaweza his kana bebeka kumbe ni kazito Kwa kuwa unaenda nako mbali,kuwa mpole,nenda taratibu,tumia hekima kubwa ila Mungu kwanza
Sijalalamika nimemjibia mtoa mada kwamba jamaa anacholalamikia ndio wengi wanalalamika humu jf kuwa wanapata wanawake wanaowaomba sana hela.but kwa upande wangu ninavyoona mwanamke kama hakupendi vizinga vitakuwa vingi sana hilo wameshindwa kulijuaAcha kulalamika😀😀😀
Mwanaume akikupenda Yan huombi kabisa inatolewa bila shida 😂😂
Utani upo wapi hapo?Mwenzako yupo serious wewe unaingiza utani
Kabisa umeongea pointKaa tulia,andika mahitaji yako unataka mke wa vipi,shirikisha mamlaka zako za juu yaani Mungu au vyovyote muombe Sana Mungu,mke na malezi havina ufundi Ila vinawezekana Kwa kumshirikisha Mungu na pia mke anatengenezwa,sio mke atakae kuja atakuwa na kila ulichokitaka Ila ndio ameletwa na Mungu badae kila mtu atamuelewa mwenzie! Ila usisukumwe na muda Kwa kuwa Una haraka ya kuoa umri imefika ukahisi kila mwanamke ukimkuta barabarani unaweza kumuoa! Kumbuka unatafuta mtu WA kuishi nae maisha yaliyobaki Kwa hiyo Ka mzigo kadogo Kwa kuwa safari ni ndefu unaweza his kana bebeka kumbe ni kazito Kwa kuwa unaenda nako mbali,kuwa mpole,nenda taratibu,tumia hekima kubwa ila Mungu kwanza
Kuna mdada mmoja huyo nlikuwa na nia nae nzuri tu, kwenye session za mwanzoni za kujuana nae nlikuwa naona she's struggling financially, nlimtongoza, her response was quite good, nkawa nampa hela mara kadhaa bila yeye kuniomba, na nlivokuwa nampa sikuwa na haraka ya kumuomba mzigo, wala kumuita gheto.Acha kulalamika😀😀😀
Mwanaume akikupenda Yan huombi kabisa inatolewa bila shida 😂😂
Wanawake wa kuoa wapo, ukiona unapata wanawake waovu ukasema wema hakuna, shida iko kwako especially on your character. Badilisha hapo then utaanza ona mabadiliko.Habarini,
Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo?
Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?
Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.
Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.
Weekend njema
Mi huu uzi umeniita bure tu haunihusu! Mi huwa naomba laki 4 siku ambayo na mi nimepokea mshahara!Kuna mdada mmoja huyo nlikuwa na nia nae nzuri tu, kwenye session za mwanzoni za kujuana nae nlikuwa naona she's struggling financially, nlimtongoza, her response was quite good, nkawa nampa hela mara kadhaa bila yeye kuniomba, na nlivokuwa nampa sikuwa na haraka ya kumuomba mzigo, wala kumuita gheto.
Nlitegemea kwa treatment nliyokuwa nampa, anione as a good man, anichukulie serious.
Aliponichosha ni siku ya tatu baada ya mshahara kutoka (mshahara ulitoka Thursday) maana tunapiga job sehemu moja, na mshahara wangu na wake ni sawa tu, ananiambia nimtumie 25k, coz hakuwa na mda wa kwenda benki.
Nilisoma sms yake huku miguu yangu ikiishiwa nguvu, nlichoka, nkajisemea huyu ndo ntafanya nae maisha kweli, ila nlimwelewa, hiyo hela sikumpa, na sikuendelea na process za kupeleka mahusiano stage ingine. Aaliyyah Kapeace binti kiziwi
Nakuhurumia ila nakucheka ni kama mademu wamekugeuza zoba flani hiviKuna mdada mmoja huyo nlikuwa na nia nae nzuri tu, kwenye session za mwanzoni za kujuana nae nlikuwa naona she's struggling financially, nlimtongoza, her response was quite good, nkawa nampa hela mara kadhaa bila yeye kuniomba, na nlivokuwa nampa sikuwa na haraka ya kumuomba mzigo, wala kumuita gheto.
Nlitegemea kwa treatment nliyokuwa nampa, anione as a good man, anichukulie serious.
Aliponichosha ni siku ya tatu baada ya mshahara kutoka (mshahara ulitoka Thursday) maana tunapiga job sehemu moja, na mshahara wangu na wake ni sawa tu, ananiambia nimtumie 25k, coz hakuwa na mda wa kwenda benki.
Nilisoma sms yake huku miguu yangu ikiishiwa nguvu, nlichoka, nkajisemea huyu ndo ntafanya nae maisha kweli, ila nlimwelewa, hiyo hela sikumpa, na sikuendelea na process za kupeleka mahusiano stage ingine. Aaliyyah Kapeace binti kiziwi
😁 Almost kila mwanaume ana story inayofanana na hii yangu, huyo bidada ana miaka 29 hajaolewa bado, anadai hana mtoto, kumuuliza why yupo single anasema hajapata mwanaume mwenye mapenzi ya kweli.Nakuhurumia ila nakucheka ni kama mademu wamekugeuza zoba flani hivi
Sasa status za nini we mwanaume! Mpotezee na namba yake futa tupo wengi usisumbuke na huyo 1😁 Almost kila mwanaume ana story inayofanana na hii yangu, huyo bidada ana miaka 29 hajaolewa bado, anadai hana mtoto, kumuuliza why yupo single anasema hajapata mwanaume mwenye mapenzi ya kweli.
kwa vile nlikuwa nae serious nika play a role of a good man, weeeh
Tangu siku ile nlimkaushia, no kumuomba pussy,no kumpa hela, no kumfaham zaidi ni hi tu, sahiv naona hata nikipost status zangu za Whatsapp haziangalii kama mwanzo, sijui kosa langu ni nini 😃 Kapeace