Wanaume mna moto wa peke yenu. Siamini!

UKOME!
 
Ulivyokuwa unakigawa kama njugu ulifikiria nini? Hayo ndiyo malipo yake,Palilia tabia zako,kwa hiyo ulitaka umuuzie jamaa mbuzi kwenye gunia?
 
Mama ukiilegeza itapunwa tu.

Kwenye vita Huwa hatujachugui silaha za kutumia...... Kuwa na uhakika utolewa Hadi pale mtakapo simama madhabahuni kufunga ndoa mbele ya paroko.
Hakuna wanawake wa kuwapeleka kwenye madhabahu za kweli za Mungu na kufunga ndoa.
Hawa wanawake wa sasa ni sogea tuishi kisha sepa
 
Shida yenu nyie wanawake huwa mnaingia kwenye mahusiano kichwa kichwa bila ya kubakiza akili hata kidogo ndo maana mnapigwa matukio kila uchao.

Pole lakini.
 
Mama ukiilegeza itapunwa tu.

Kwenye vita Huwa hatujachugui silaha za kutumia...... Kuwa na uhakika utolewa Hadi pale mtakapo simama madhabahuni kufunga ndoa mbele ya paroko.
Hahahaha "kwenye vita huwa hatuchagui simama ya kutumia" hii kauli inanikumbusha kipindi fulani nlikuwa na mshikaji wangu pale SP Tabata bima, tumekaa tunaangalia mpira besides kulikuwa na mtoto mzuri mmoja yupo na majamaa zake, jamaa alimtembezea savanna za kutosha, nikamuuliza mbona tunatumia gharama KUBWA ivyo jamaa likaniambia "vita haichagui silaha"... na kweli alikujaga kujipigia yule mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…