Wanaume mna moto wa peke yenu. Siamini!

Kwani K inabima ya utamu kutokuisha kwa Ladha ya mlaji?
 
Aisee asubuhi yotee hii wengine hata chai hatujanywa kuna wengine msha achwa tayari, njoo pm bila shaka ulikua na mahusiano na mwanaume mfupi
 
Kilichokuuma zaidi ni pale kilipoumana kabla ya valentine.

Bado hunachelewa bado siku 2.
 
Kwan alikuw vya watu alafu mzgo akaw anazngua

Jamaa akaona asiwe boyaa (mnyonge)
Hahaha.........kwani hao Wala Nauli wameanza Leo, walianza tangu miaka hiyo Kwa kula hela za watu bila kutoa mzigo 😜
 

You are cheap and worthless Kama mpaka leo ahadi ya ndoa inakutoa chupi!
 
Haya maneno ya hizo paragraph za mwisho inabidi uwaambie wanaokutongoza na wanaume wanaokuzunguka, sisi wengine ukituuliza kwanini akufuate wewe, na sisi tutakuuliza kwanini ulikubali?!
Na ni jukumu lako kufanya background check sio letu.
All in all pole kwa yaliyokukuta, ila nikuhakikishie utalenda tena na utaumia tena kabla hajaja yule wa kukubali commitment
 
Iko wazi hiyo asee
 
Lipia tangazo mkuu
 
YOWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…