Wanaume mna moto wa peke yenu. Siamini!

Mimi nipo tayari kukuoa mke wa tatu. Nipo Serious, naomba njoo inbox.
 
Umri unaenda nikajua nimepata pumziko kumbe ulikuwa unaniinjoi?
Siku nyingine usimvulie chupi mwanaume anayekuahidi kukuoa, hao viumbe ni watu waliigombana na wake zao then hukimbilia kwa muda kwa mademu kama wewe...

Hukushawishi kwa gia ya ndoa na usipostuka wanakushenyeta na kurudi kwa wake zao.

Be careful
 
Bibie tafuta kazi ufanye,achana mambo ya kuuza mwili wako
 
We ndo mwenye shida kwa sababu ni mwepesi wa kuwaamini watu,jitahidi kuounguza pressure utampata unayemtaka,na je kama alikuwa na nia ila akaona haufai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…