Wanaume mnajua mna matatizo

Wanaume mnajua mna matatizo

Ati mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!

You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!

Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Jaman mshikeni huyo anataka kutoroka
 
Ati mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!

You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!

Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
sasa mnakubali kuolewa na wanajitafuta? hakuna anayependa kuchapiwa kisa hana hela
 
Kuna ndoa na harusi we mleta mada ntuchake halafu hapo ulipo upo mguu nje mguu ndani, Usilazimishe mambo as long as umepata sehemu ya kusitirika Acha maisha aendelee na ukiendelea kuulizia ndoa muda si mrefu utakuta umeshampoteza huyo jamaa

Shirikiana naye katika kujenga maisha na Usiwe mtu wa kubweteka tu. Inavyoonekana hapo hakuna future na utamwagwa kweli. Hauwezi ukambadilisha mtu lakini wewe ndio inatakiwa ubadilike mheshimu mwanaume anayekuhudumia usimkere na mambo ya kutaka ndoa.
 
Ati mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!

You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!

Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Mkuu hapo ukimaanisha wewe unakuwa tiyari ushajipata uko na pesa na kazi yako kwa ujumla? ......au wewe suala la kutafuta pesa na kujipata halikuhusu?
 
Sema wabongo na waafrika wako desperate kinyama, Sasa kujuana 1-2 years halafu ndoa 😆.

wenzetu Hadi 4,5,7 years wako pamoja.
Tatazo wenzetu wakipenda wamependa kweli, sasa huku kwetu anakaa na ww miaka mitatu au zaid alafu haupo peke yako anafanya kuwashindanisha kama ligi ya mbuzi.

Mwisho anaoa mwingine, baadae mambo yakimuendea mrama anakuja kukuambia kuwa alirogwa. Kumbe ni lana za aliowapotezea muda.

Kama anafaa kwann uchelewe oa, na kama hafai kwann kumpotezea muda temana nae. Watu wana uchumba sugu na moyoni anajua dhahir shahir kuwa hatamuoa binti wa watu. Inaskitsha
 
Tatazo wenzetu wakipenda wamependa kweli, sasa huku kwetu anakaa na ww miaka mitatu au zaid alafu haupo peke yako anafanya kuwashindanisha kama ligi ya mbuzi.

Mwisho anaoa mwingine, baadae mambo yakimuendea mrama anakuja kukuambia kuwa alirogwa. Kumbe ni lana za aliowapotezea muda.

Kama anafaa kwann uchelewe oa, na kama hafai kwann kumpotezea muda temana nae. Watu wana uchumba sugu na moyoni anajua dhahir shahir kuwa hatamuoa binti wa watu. Inaskitsha
Vipi wewe Blue umeamua kuwa watofauti, au unafuatisha wanawake wenzako?
 
Back
Top Bottom