Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
😤😤😤Nywea Soda hilo 😅
Nafanya hivyo ss hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😤😤😤Nywea Soda hilo 😅
Sema wabongo na waafrika wako desperate kinyama, Sasa kujuana 1-2 years halafu ndoa 😆.Mnaangalia kigezo cha hela ndo maana mnachanganyikiwa na huko chini panateseka.
Sio vibaya lakini, na sio kosa lenu.
Jaman mshikeni huyo anataka kutorokaAti mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!
You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!
Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Anakupenda? Usemee moyo wako.Nampenda ananipenda lakin kwa miaka yote iyo siezi subiri. Akitokea mwingine alieko serious namuacha
Ntajipata at 70yrs uje uniuguzenakusubiri huku ujue,, sasa wewe ukijipata niache
sasa mnakubali kuolewa na wanajitafuta? hakuna anayependa kuchapiwa kisa hana helaAti mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!
You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!
Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Au nikuongezee ule na mishkaki 😅😤😤😤
Nafanya hivyo ss hivi
Mkuu hapo ukimaanisha wewe unakuwa tiyari ushajipata uko na pesa na kazi yako kwa ujumla? ......au wewe suala la kutafuta pesa na kujipata halikuhusu?Ati mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!
You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!
Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Una uhakika panateseka mkuu?na huko chini panateseka.
pangekuwa panaongea pangesema papumzishwe🤣Una uhakika panateseka mkuu?
Tatazo wenzetu wakipenda wamependa kweli, sasa huku kwetu anakaa na ww miaka mitatu au zaid alafu haupo peke yako anafanya kuwashindanisha kama ligi ya mbuzi.Sema wabongo na waafrika wako desperate kinyama, Sasa kujuana 1-2 years halafu ndoa 😆.
wenzetu Hadi 4,5,7 years wako pamoja.
Hakika mwandiko wako unapafanya paloe😋pangekuwa panaongea pangesema papumzishwe🤣
Imebidi tu nicheke😀😀Kwendeni zenu kule!
Vipi wewe Blue umeamua kuwa watofauti, au unafuatisha wanawake wenzako?Tatazo wenzetu wakipenda wamependa kweli, sasa huku kwetu anakaa na ww miaka mitatu au zaid alafu haupo peke yako anafanya kuwashindanisha kama ligi ya mbuzi.
Mwisho anaoa mwingine, baadae mambo yakimuendea mrama anakuja kukuambia kuwa alirogwa. Kumbe ni lana za aliowapotezea muda.
Kama anafaa kwann uchelewe oa, na kama hafai kwann kumpotezea muda temana nae. Watu wana uchumba sugu na moyoni anajua dhahir shahir kuwa hatamuoa binti wa watu. Inaskitsha