Wanaume mnakera sana

Wanaume mnakera sana

Wanaume mnakera sana. Yani mtu anajua kabisa mwezi huu hajatuma hela ya matumizi Alaf anajikausha, unamkumbusha kwenye text mkiwa mnachat yeye anajibu sms nyingine hiyo anajifanya hajaiona unamtumia tena as a reminder anajibu oh I remember I will send . Anajikausha mpaka siku inaisha.

Ivi mna nn wanaume mnapenda kusumbuliwa eti? Na sio kwamba hela sina ninazo zangu bank sitaki kuzitumia. Yy ameshajicommit kwenye jukumu la matumizi monthly Sasa Mbona ananletea mambo meusi.

Kwan mtu ukiwa muwazi ukasema umeshindwa si bora kila mtu ashike njia yake Au mnaogopa izo kauli?
Sasa simkumbushi tena na simpigii wala simtext na yy akinitafuta sijibu mpaka hela iingie Ndio conversation itaendelea

Mmxxieeww nimechukia sanaa khaaa 😡😡😡
Wewe mwenyewe unatukera sana, mpuuzi mkubwa weee
 
Ukweli mchungu wanawake wenzangu ifikie muda tuwe huru kiuchumi tuepuke tu kua omba omba.Hutakaa uumizwe hisia zako hata kama umezalishwa na kutelekezwa.
 
IMG_1023_Original.jpeg
 
Wanaume mnakera sana. Yani mtu anajua kabisa mwezi huu hajatuma hela ya matumizi Alaf anajikausha, unamkumbusha kwenye text mkiwa mnachat yeye anajibu sms nyingine hiyo anajifanya hajaiona unamtumia tena as a reminder anajibu oh I remember I will send . Anajikausha mpaka siku inaisha.

Ivi mna nn wanaume mnapenda kusumbuliwa eti? Na sio kwamba hela sina ninazo zangu bank sitaki kuzitumia. Yy ameshajicommit kwenye jukumu la matumizi monthly Sasa Mbona ananletea mambo meusi.

Kwan mtu ukiwa muwazi ukasema umeshindwa si bora kila mtu ashike njia yake Au mnaogopa izo kauli?
Sasa simkumbushi tena na simpigii wala simtext na yy akinitafuta sijibu mpaka hela iingie Ndio conversation itaendelea

Mmxxieeww nimechukia sanaa khaaa 😡😡😡
Gold digger
 
Saa kumi jioni mtu anasema good morning?

Aidha huyo jamaa ni limbukeni(na ndio maana unampelekesha) au kuna mchezo hapa siuelewi

unajichatisha?
Watu tunachuuzwa tu hapa na huyu mwamba. Halafu hiyo mistake yeye mwenyewe hata hakuigundua.

Hii text ya muamala nayo ime editiwa pia. Ukitaka kujua ime editiwa angalia hiyo figure ya MILLION MOJA ilivyoandikwa.

Imeandikwa 1000,000.00 kitu ambacho sio sahihi. Ingetakiwa kuwa 1,000,000.00
IMG_8570 (1).jpeg
 
Huyu tapeli Kuna wajinga anatafuta humu. Yaani saa 10 unajisalimia mwenyewe good morning.
 
Business is Business....fuata mfanye barter trade acha ujanja wewe.
Unataka ule bila kuliwa??Ukichagua maisha ya short cut na kula vya watu ndi matokeo yake hayo....usiwe vuguvugu...chagua kuwa baridi au moto
 
Pole super woman kwa kunyimwa hela anza kutumia zako sasa.
 
Back
Top Bottom