Hivi mtoa mada ajiulizi kwa nini Mungu akasema muishi nao kwa akiliππMUNGU: Adam upo wapi?
Adam: Nimejificha nipo uchi aisee.
MUNGU: Kisa?
Adam: Ni huyu mwanamke uliyenipa.
Let peace be upon both of us buddy..Kuwa na amani boss. Ni angalizo tu nimekupa iwapo ni tabia uliyo nayo kwa wote unaotofautiana nao mtazamo.
I am always tranquility and hold no objection to perspectives that diverge from my own perceptions.
Sina tatizo na mashambulizi yako bila kujali unavyoyawakilisha.
Sawa, haya nipatie kitabu chake unachohisi kitakuwa na msaada kwangu.Tatizo umemsoma kidogo kwenye somo la GS.
Ungemsoma vizuri kwa muda wako ungefuta ujinga wa msingi angalau.
Kwa akili yako ndogo unaweza kukitawala kitu kilicho kuweka tumboni miezi kadhaa we mtoto kuwa na AdabuπAliye sema tuishi nao kwa akili ni paulo sio Mungu,Mungu amesema tuwatawale.
Hahaha, Yaani mkuu kama MUNGU aliona hapa suluhisho ni kuwafukuza tu kweny bustani basi mwanaume usipoteze muda.Hivi mtoa mada ajiulizi kwa nini Mungu akasema muishi nao kwa akiliππ
Yaani uwe na utimamu kweli kweli.
Kwanza kabisa kabla ya kukupitisha kwenye kitabu, what is your epistemology?Sawa, haya nipatie kitabu chake unachohisi kitakuwa na msaada kwangu.
Pamoja mkuuLet peace be upon both of us buddy..
I will do deep crosscheck regarding to my habitual jabbering in online debate, so someone won't feel offended
Mtu yoyote kama hana elimu unaweza kumtawala wao walikuwa kuzaa na kufa basi.Mbona babu zetu waliweza kuwatawala?
Wahenga ni wanaume. Hakuna kulia lia sijui single mother sijui nini, Wakikaa kwenye vikao wakitoa maazimio kijiji kizima kinayafata.Mbona babu zetu waliweza kuwatawala?
Ukiona mwanaume kutwa analia lia na wanawake ujue ama hana hela au hana akili ya kuwamudu wanawake kulingana na mfumo dume aliokaririshwaKuna midume humu kazi yao ni kijipendeka kwa wanawake kwa kujifanya watetezi wa wanawake hasa kwenye mada zinazo ongea negative kuhusu wanawake, tena wengine wanafika hatua za kuanzisha mpaka thread za kuwatetea ,nataka niwaambie mnakera sana.
Mm nimeanza kuifuatilia JF mwaka 2017 na nikaja kufungua ID rasmi mwaka 2022 lakini sijawahi hata kwa bahati mbaya kuona comment au thread iliyo andikwa na mwanamke kwa ajili ya kuwatetea wanaume.
Hivi hapa duniani kuwa watu wanao pitia magumu zaidi ya wanaume ?
Mbona wanawake huwa hawajishughulishi na sisi ila sisi kutwa kukitia kiwatetea?
Unakuta lidume zima linaanzisha mada ,mara wanawake wasisemwe kwa sababu ni mama,dada,wake,shangazi zetu.
Aliye kwaambia mtu kuwa ndugu yako basi kunahalalisha kile anacho kifanya ni nani?
Hao wanawake wao hawana kaka,na baba zao mbona huwa hawajipendekezi na kujifanya watetezi wa wanaume?
Hata kwenye kampeni ya 50kwa50 ukiangalia ni midume ndo imeipa nguvu.
Mfano tuongelee kuhusu suala la single mother ,ikianzishwa mada yeyote itakayo ongelea hilo tatizo utashangaa midume inakuja mbio kutetea.
Ukimuuliza mbona una watetea atakwambia eti kwa sababu na mimi nina watoto wa kike,kwa hiyo kumbe tunatakiwa kuutetea hata ujambazi kwa sababu wenda watoto wetu siku moja wanaweza kujikuta wanakuwa majambazi sio?
%98 ya matatizo waliyo nayo wanawake hawa wa kisasa chanzo ni wao wenyewe hivyo ni lazima wasemwe maana wanafanya upumbavu mwingi alafu mizingo ambayo ni matokea ya upumba wao wanaenda kuwabebesha mizigo wazazi wao na ndugu zao.
Tena huo usingle mother mabinti baada ya kubarehe huwa wanautafuta kwa nguvu kweli kweli,nitakuja kuanzisha mada nyingine juu ya hili.
Wengine huwa wanafika mbali na kuuliza kuwa eti kwani mimba huwa wanajipa wenyewe?
Hivi mfano leo hii Makonda akija akakuta umekaa sehemu akaanza kukuchokoza ,kati ya ww na Makonda ni nani anatakiwa kumuepuka mwenzie ili msifikie hatua ya kupigana?
Jibu ni ww ndo unatakiwa kumuepuka maana ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya ugomvi huo maana ukimpiga utaozea jera hali yakuwa yeye hata akikupiga hatofanywa chochote.
Mtu mwenye akili siku zote kabla ya kufanya kitu fulani huwa anapima ni gharama gani atalipa juu ya hicho anacho taka kutenda na sio kumtegemea huyo unaye fanya naye afikiri kwa ajili yake.
Binti kabla ya kumvulia chupi mwanaume tambua kuwa ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya hicho unacho taka kukifanya,hivyo ni jukumu lako kufikiria iwapo utakuwa na uwezo wa kuzilipa hizo gharama na sio kumtegea mwanaume afikiri kwa
ajili yako.
Umefunga mada. Tuendelee tu na porojo, ila hii sentensi ni mhuri wa mwisho.Usihukumu jinsia.... hukumu mtu kama mtu na tabia yake
My epistemology right?Kwanza kabisa kabla ya kukupitisha kwenye kitabu, what is your epistemology?
Nisije kufanya kazi kubwa kukupitisha kwenye kitabu ambacho huna uwezo wa kujifunza kutoka humo.
I suppose by "evidentailism" (sic) you must mean evidentialism, and that was a typographical error.My epistemology right?
Well, I am more attached to evidentailism because of the simplicity of learning.
Wanaume wengi hawapendi kuambiwa udhaifu na makosa yao.Ila inategemea na mada sio kila mada wanawake ndo wabaya kuna zingine wanaonewa tu, kwahiyo sioni kama ni dhambi kutetea ukweli
Mkuu Hawa wanawake WA kileo hata wakija mababu zetu WA miaka Ile hawatawezana nao, itakuwa ni vurugu tu kama unavyoona leo.Wahenga ni wanaume. Hakuna kulia lia sijui single mother sijui nini, Wakikaa kwenye vikao wakitoa maazimio kijiji kizima kinayafata.
Kipimo cha wanaume ni kuwatuliza wanawake wa jamii yao. Sauti ya mamlaka. Hata wakati wa ndoa, mzazi anakwambia nenda kijiji kile kwenye ukoo fulani, tafuta binti, mabinti zao wana adabu na ukichukua hukosei.
Muhimbu , mkuu njoo nipinge, nimewatetea tena.