Wanaume mnaojifanya watetezi wa Wanawake humu mnakera sana

Wanaume mnaojifanya watetezi wa Wanawake humu mnakera sana

Huwa tunashambulia tabia zao.

Mfano masingle mother huwa tuna shambulia tabia zilizo sababisha wao kuwa single mother na sio wao binafisi.
Mkuu, hakuna mwanaume timamu anayetaka kuona masingle mother mtaani hivyo mwanaume yoyote timamu atakuunga mkono ukishambulia tabia inayochochea uwepo wa single mother.

Unachokifanya wewe itakuwa ni kushambulia single mother ndo maana wanaibuka watetezi.

Ukumbuke, humu kuna waliolelewa na single mother na hawajawahi kuwaona mama zao wakifanya umalaya, sasa ukisema single mother ni malaya lazima wakushambulie.

Ila ukipinga tabia ya umalaya, inayosababisha watoto kuzaliwa hovyo, hata huyo ambaye ni mtoto wa single mother atakuunga mkono.

Shambulia tabia, usishambulie mwanamke.
 
Kuna midume humu kazi yao ni kijipendeka kwa wanawake kwa kujifanya watetezi wa wanawake hasa kwenye mada zinazo ongea negative kuhusu wanawake, tena wengine wanafika hatua za kuanzisha mpaka thread za kuwatetea ,nataka niwaambie mnakera sana.

Mm nimeanza kuifuatilia JF mwaka 2017 na nikaja kufungua ID rasmi mwaka 2022 lakini sijawahi hata kwa bahati mbaya kuona comment au thread iliyo andikwa na mwanamke kwa ajili ya kuwatetea wanaume.

Hivi hapa duniani kuwa watu wanao pitia magumu zaidi ya wanaume ?
Mbona wanawake huwa hawajishughulishi na sisi ila sisi kutwa kukitia kiwatetea?

Unakuta lidume zima linaanzisha mada ,mara wanawake wasisemwe kwa sababu ni mama,dada,wake,shangazi zetu.

Aliye kwaambia mtu kuwa ndugu yako basi kunahalalisha kile anacho kifanya ni nani?

Hao wanawake wao hawana kaka,na baba zao mbona huwa hawajipendekezi na kujifanya watetezi wa wanaume?

Hata kwenye kampeni ya 50kwa50 ukiangalia ni midume ndo imeipa nguvu.

Mfano tuongelee kuhusu suala la single mother ,ikianzishwa mada yeyote itakayo ongelea hilo tatizo utashangaa midume inakuja mbio kutetea.

Ukimuuliza mbona una watetea atakwambia eti kwa sababu na mimi nina watoto wa kike,kwa hiyo kumbe tunatakiwa kuutetea hata ujambazi kwa sababu wenda watoto wetu siku moja wanaweza kujikuta wanakuwa majambazi sio?

%98 ya matatizo waliyo nayo wanawake hawa wa kisasa chanzo ni wao wenyewe hivyo ni lazima wasemwe maana wanafanya upumbavu mwingi alafu mizingo ambayo ni matokea ya upumba wao wanaenda kuwabebesha mizigo wazazi wao na ndugu zao.

Tena huo usingle mother mabinti baada ya kubarehe huwa wanautafuta kwa nguvu kweli kweli,nitakuja kuanzisha mada nyingine juu ya hili.
Wengine huwa wanafika mbali na kuuliza kuwa eti kwani mimba huwa wanajipa wenyewe?

Hivi mfano leo hii Makonda akija akakuta umekaa sehemu akaanza kukuchokoza ,kati ya ww na Makonda ni nani anatakiwa kumuepuka mwenzie ili msifikie hatua ya kupigana?

Jibu ni ww ndo unatakiwa kumuepuka maana ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya ugomvi huo maana ukimpiga utaozea jera hali yakuwa yeye hata akikupiga hatofanywa chochote.

Mtu mwenye akili siku zote kabla ya kufanya kitu fulani huwa anapima ni gharama gani atalipa juu ya hicho anacho taka kutenda na sio kumtegemea huyo unaye fanya naye afikiri kwa ajili yake.

Binti kabla ya kumvulia chupi mwanaume tambua kuwa ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya hicho unacho taka kukifanya,hivyo ni jukumu lako kufikiria iwapo utakuwa na uwezo wa kuzilipa hizo gharama na sio kumtegea mwanaume afikiri kwa
ajili yako.
Mkuu hebu kunywa maji kwanza usije kupaliwa. Then utueleze taratibu ni gani kilikusibu?
 
So wewe kuwa na mitazamo hii ya kutetea tetea wanawake ovyo dhidi ya wanaume wanaowasema Kwa mienendo Yao mibovu kama uasherati, huku ukihamishia makosa Yao kwa wanaume.
Sijawahi kuwa against na anayepinga tabia ya uasherati unless kwenye mzaha kama nikiwa nataniana na kina mzabzab.

Sijawahi kuhamasisha au kuhalalisha makosa ya mwanamke kwa mwanaume esp yanayohusu umalaya.

Tofauti yangu na wewe ni mtazamo, kwa mtazamo wangu hata lafudhi unayotumia kumuadress mwanamke inaonyesha huna tatizo na tabia isiyo ya kimaadili, una tatizo na mwanamke.

Mfano, mama na dada na mashangazi zangu umewaita majike wafanyao umalaya na uasherati. Nikisoma hii hoja yako nazidi kuona tunapotofautiana.
Kumbe yawezekana ni Kwa sababu umetoka kwenye familia ya majike tupu ambapo uasherati umetamalaki na wamekuwa wakakwambia kwamba wanafanya umalaya/uasherati sababu ya wanaume...SI ndio? Basi sawa.
Huu ni mtazamo wako, haina maana kuwa ndio uhalisia.

Mkuu, jitahidi kuheshimu binadamu wengine hata mnapotofautiana mtazamo, esp mnapotofautiana mtazamo.

Mashambulizi dhidi ya wazazi, ndugu jamaa na marafiki kwa mnayetofautiana hoja hayakufanyi hoja yako iwe na maana zaidi kwa mtoa hoja, sana sana yanaweza kukutengenezea uadui usio wa lazima iwapo unajadiliana na mtu mwenye visasi na anayejua namna ya kupigana vita vya kijamii humu na nje humu JF.
 
Mkuu, hakuna mwanaume timamu anayetaka kuona masingle mother mtaani hivyo mwanaume yoyote timamu atakuunga mkono ukishambulia tabia inayochochea uwepo wa single mother.

Unachokifanya wewe itakuwa ni kushambulia single mother ndo maana wanaibuka watetezi.

Ukumbuke, humu kuna waliolelewa na single mother na hawajawahi kuwaona mama zao wakifanya umalaya, sasa ukisema single mother ni malaya lazima wakushambulie.

Ila ukipinga tabia ya umalaya, inayosababisha watoto kuzaliwa hovyo, hata huyo ambaye ni mtoto wa single mother atakuunga mkono.

Shambulia tabia, usishambulie mwanamke.
Huwa mnatizama hivyo kwa sababu mmesha uaminisha ubongo wenu kuwa kila atakapo semwa tabia mbaya ya mwanawake basi umewashambulia wanawake.
 
Hawa jamaa ni waathirika wakubwa wa mfumo jike.
Kabisa, they have been overfeminized and now living their lives while serving women's interests is the their biggest pride.

SEMA ninachokipenda hao hao wanawake wanaowatetea wanakuja kuwageuka baadae wakitofautiana kidogo tu na kuwa maadui wao wakubwa...

Kuna mtu anaitwa Solomon Buch kutoka Nigeria sijui kama unafahamu, huyo jamaa ni maarufu sana Kwa kutetea wanawake mitandaoni huku akiwapondea sana wanaume, na ana wafuasi kibao.

Amevunja sana ndoa za watu huko kwao Nigeria Kwa kuwapa wanawake ushauri WA ovyo....

Ni aina ya watu wenye ushawishi mkubwa Kwa wanawake kama tu alivyo Iddy Makongo Kwa hapa kwetu bongo

Sasa tunavyoongea huyo mshikaji Solomo Buch ana kesi mbili za ubakaji zinazomkabili, Tena Moja ni ya minor... Yaani Sasa hivi hap hao wanawake anaowateteaga kila siku ndio wamemkalia kooni, wanamchukia balaha...
 
Hahahahaha...!! Shenzy kabisa

Kingereza Gani hicho kitanishinda???

Mimi najua mpaka Victorian slangs ambazo naamini wewe pamoja na kuishi kwako marekani huzijui..

I'm too high for your nut buddy
Ushawahi kumsikia mtu anaitwa John Stuart Mill?
 
Kabisa, they have been overfeminized and now living their lives while serving women's interests is the their biggest pride.

SEMA ninachokipenda hao hao wanawake wanaowatetea wanakuja kuwageuka baadae wakitofautiana kidogo tu na kuwa maadui wao wakubwa...

Kuna mtu anaitwa Solomon Buch kutoka Nigeria sijui kama unafahamu, huyo jamaa ni maarufu sana Kwa kutetea wanawake mitandaoni huku akiwapondea sana wanaume, na ana wafuasi kibao.

Amevunja sana ndoa za watu huko kwao Nigeria Kwa kuwapa wanawake ushauri WA ovyo....

Ni aina ya watu wenye ushawishi mkubwa Kwa wanawake kama tu alivyo Iddy Makongo Kwa hapa kwetu bongo

Sasa tunavyoongea huyo mshikaji Solomo Buch ana kesi mbili za ubakaji zinazomkabili, Tena Moja ni ya minor... Yaani Sasa hivi hap hao wanawake anaowateteaga kila siku ndio wamemkalia kooni, wanamchukia balaha...
Namjua sana tu ,hapa Tz yule mwana harakati uchwara wa wanawake sijui ndo anaitwa J.karia alikuwa kila siku ni kufitinisha ndoa za watu lakini cha kushangaza sasa hivi nasikia kapata mme yuko kimia.
 
Sijawahi kuwa against na anayepinga tabia ya uasherati unless kwenye mzaha kama nikiwa nataniana na kina mzabzab.

Sijawahi kuhamasisha au kuhalalisha makosa ya mwanamke kwa mwanaume esp yanayohusu umalaya.

Tofauti yangu na wewe ni mtazamo, kwa mtazamo wangu hata lafudhi unayotumia kumuadress mwanamke inaonyesha huna tatizo na tabia isiyo ya kimaadili, una tatizo na mwanamke.

Mfano, mama na dada na mashangazi zangu umewaita majike wafanyao umalaya na uasherati. Nikisoma hii hoja yako nazidi kuona tunapotofautiana.

Huu ni mtazamo wako, haina maana kuwa ndio uhalisia.

Mkuu, jitahidi kuheshimu binadamu wengine hata mnapotofautiana mtazamo, esp mnapotofautiana mtazamo.

Mashambulizi dhidi ya wazazi, ndugu jamaa na marafiki kwa mnayetofautiana hoja hayakufanyi hoja yako iwe na maana zaidi kwa mtoa hoja, sana sana yanaweza kukutengenezea uadui usio wa lazima iwapo unajadiliana na mtu mwenye visasi na anayejua namna ya kupigana vita vya kijamii humu na nje humu JF.
Oya take a rest man.

I was just replying your assumptive ludicrous attributes about me in the similar wall of context and you have to catch feelings, didn't know if that para will throw you out of your solid emotional balance.

Have a chill Budda and reserve your energy for what you do best(kutetea wanawake).
 
Huwa mnatizama hivyo kwa sababu mmesha uaminisha ubongo wenu kuwa kila atakapo semwa tabia mbaya ya mwanawake basi umewashambulia wanawake.
Hii ni assumption.

Ukiandika madaktari ni wauaji sababu watu unawafahamu wamefariki kwa uzembe chini ya uangalizi wa madaktari,
Neno wauaji litareact tofauti kwenye ubongo kutokana na experience ya msomaji.

Wataibuka watu waliowahi tibiwa na madaktari kuwatetea.

Ukitaka uwe kwenye page moja na wasomaji wako usiache room ya assumptions, adress tatizo specific siyo kwa ujumla wake.
 
@
Kuna midume humu kazi yao ni kijipendeka kwa wanawake kwa kujifanya watetezi wa wanawake hasa kwenye mada zinazo ongea negative kuhusu wanawake, tena wengine wanafika hatua za kuanzisha mpaka thread za kuwatetea ,nataka niwaambie mnakera sana.

Mm nimeanza kuifuatilia JF mwaka 2017 na nikaja kufungua ID rasmi mwaka 2022 lakini sijawahi hata kwa bahati mbaya kuona comment au thread iliyo andikwa na mwanamke kwa ajili ya kuwatetea wanaume.

Hivi hapa duniani kuwa watu wanao pitia magumu zaidi ya wanaume ?
Mbona wanawake huwa hawajishughulishi na sisi ila sisi kutwa kukitia kiwatetea?

Unakuta lidume zima linaanzisha mada ,mara wanawake wasisemwe kwa sababu ni mama,dada,wake,shangazi zetu.

Aliye kwaambia mtu kuwa ndugu yako basi kunahalalisha kile anacho kifanya ni nani?

Hao wanawake wao hawana kaka,na baba zao mbona huwa hawajipendekezi na kujifanya watetezi wa wanaume?

Hata kwenye kampeni ya 50kwa50 ukiangalia ni midume ndo imeipa nguvu.

Mfano tuongelee kuhusu suala la single mother ,ikianzishwa mada yeyote itakayo ongelea hilo tatizo utashangaa midume inakuja mbio kutetea.

Ukimuuliza mbona una watetea atakwambia eti kwa sababu na mimi nina watoto wa kike,kwa hiyo kumbe tunatakiwa kuutetea hata ujambazi kwa sababu wenda watoto wetu siku moja wanaweza kujikuta wanakuwa majambazi sio?

%98 ya matatizo waliyo nayo wanawake hawa wa kisasa chanzo ni wao wenyewe hivyo ni lazima wasemwe maana wanafanya upumbavu mwingi alafu mizingo ambayo ni matokea ya upumba wao wanaenda kuwabebesha mizigo wazazi wao na ndugu zao.

Tena huo usingle mother mabinti baada ya kubarehe huwa wanautafuta kwa nguvu kweli kweli,nitakuja kuanzisha mada nyingine juu ya hili.
Wengine huwa wanafika mbali na kuuliza kuwa eti kwani mimba huwa wanajipa wenyewe?

Hivi mfano leo hii Makonda akija akakuta umekaa sehemu akaanza kukuchokoza ,kati ya ww na Makonda ni nani anatakiwa kumuepuka mwenzie ili msifikie hatua ya kupigana?

Jibu ni ww ndo unatakiwa kumuepuka maana ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya ugomvi huo maana ukimpiga utaozea jera hali yakuwa yeye hata akikupiga hatofanywa chochote.

Mtu mwenye akili siku zote kabla ya kufanya kitu fulani huwa anapima ni gharama gani atalipa juu ya hicho anacho taka kutenda na sio kumtegemea huyo unaye fanya naye afikiri kwa ajili yake.

Binti kabla ya kumvulia chupi mwanaume tambua kuwa ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya hicho unacho taka kukifanya,hivyo ni jukumu lako kufikiria iwapo utakuwa na uwezo wa kuzilipa hizo gharama na sio kumtegea mwanaume afikiri kwa
ajili yako.
Robert Heriel Mtibeli
 
Ndio, namjua kama Moja ya wanafalsafa mashuuri nilimsomaga kidogo kwenye somo la GS.
Tatizo umemsoma kidogo kwenye somo la GS.

Ungemsoma vizuri kwa muda wako ungefuta ujinga wa msingi angalau.
 
Yaani we mtoa mada utakufa vibaya,Ukitaka kujua Mwanamke ana uwezo gani kamuulize Adam😁😁
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Oya take a rest man.

I was just replying your assumptive ludicrous attributes about me in the similar wall of context and you have to catch feelings, didn't know if that para will throw you out of your solid emotional balance.

Have a chill Budda and reserve your energy for what you do best(kutetea wanawake).
Kuwa na amani boss. Ni angalizo tu nimekupa iwapo ni tabia uliyo nayo kwa wote unaotofautiana nao mtazamo.

I am always tranquility and hold no objection to perspectives that diverge from my own perceptions.

Sina tatizo na mashambulizi yako bila kujali unavyoyawakilisha.
 
Mtibeli mtoe kwenye hii orodha ya wanaume wanaongelewa hapa kwenye huu Uzi.

Mtibeli Huwa anagawa spana Kwa jinsia zote.

Hanaga tabia za kujipendekeza Kwa wanawake, kwanza Huwa anawachana sana Kwa kasumba Yao ya kuomba omba..!!

Mtibeli anakwambia mwanamke tegemezi asiyekuwa na kazi huyo hatakiwi hata kuwa mwanaume atafute kwanza kazi ndio afikirie mahusiano... Wee Mtibeli mtoe kabisa hapo kwenye orodha ya madume yanayoongelewa hapa
 
Yaani we mtoa mada utakufa vibaya,Ukitaka kujua Mwanamke ana uwezo gani kamuulize Adam😁😁
MUNGU: Adam upo wapi?
Adam: Nimejificha nipo uchi aisee.
MUNGU: Kisa?
Adam: Ni huyu mwanamke uliyenipa.
 
Back
Top Bottom