Wanaume mnaojifanya watetezi wa Wanawake humu mnakera sana

Wanaume mnaojifanya watetezi wa Wanawake humu mnakera sana

Umekuja sasa. Tukielewana hapa, basi umemaliza mjadala.

Embu nipe tofauti ya hawa wakosoaji wawili wa mwanamke kwa mfumo wa kuwajibu ukosoaji wao.


Mkosoaji A,
"Wanawake wenye tabia za umalaya acheni tabia za umalaya na tunapowapa pesa msihonge wanaume wengine".

Mkosoaji B,
"Wanawake ni malaya, unawapa pesa wanahonga, Acheni umalaya, pesa zinatafutwa kwa shida"

Jibu hoja za hao wakosoaji wawili.
Jibu langu litakuwa ninaunga mkono mtoa hoja.
Ila jibu lako ww mwenye mitazamo ya kifemenist jibu lako litakuwa ni jamani acheni kuwasema na kuwadhalilisha wanawake hao ni mama zetu.
 
Jibu langu litakuwa ninaunga mkono mtoa hoja.
Ila jibu lako ww mwenye mitazamo ya kifemenist jibu lako litakuwa ni jamani acheni kuwasema na kuwadhalilisha wanawake hao ni mama zetu.
Ok, uonavyo, hakuna tofauti ya hao wakosoaji A na B? Unamuunga mkono yupi na yupi utamkosoa?
 
Definition ya mwanaume ni pana. Na si kuponda wanawake wote as if kuna jambo baya wamekufanyia.
Hakuna sehemu nilipo ponda wanaume wote.
 
Hutaki kuhonga mwanamke wako, usihonge hakuna atakayekuita mvulana. Unaitwa mvulana ukianza mahubiri ya kiharakati za kupangia wanaume wenzako kuwa pesa zao wasihonge.

Hutaki kuoa single mother, usioe. Hakuna atakaye kuita mvulana. Ila ukianza mahubiri ya kushambulia single mother wote na kupangia chaguzi za maisha wengine lazima utakutana na mwenye mtazamo tofauti.

Unataka bikra, OA bikra wapo wamejaa. Ila ukianza kushambulia walioamua kuwapa nafasi wasio na bikra lazima upate changamoto.

Fanya DNA ila epuka micharuko. Zaa na wanawake wenye maadili. Tumia akili kabla ya kugawa mbegu, unazidiwaje akili na mcharuko?

Ili usiwe mvulana, Elewa kuwa binadamu hawafanani, usiwaweke wote kwenye chungu kimoja, binadamu anapofanya makosa anastahili nafasi, mwanamke ni binadamu.

Ukiishi kwa kufuata matakwa ya mwanamke wewe ni Fala ndio. Tofautisha kufuata matakwa ya mwanamke na kumlinda mwanamke.
Ila wewe jamaa ni matakoo sana, ndio Nini hasa ulichokilenga kuni-quote hii comment???

Kwa hiyo siku hizo mtu akitoa maoni yake au akiweka msimamo wake kihadhara kuhusu jambo fulani ni kuwapangia watu ni Nini wafanye???

Kufanya harakati ni Nini? Na zinahusianeje na bandiko langu?

Hiyo para yako ya mwisho umejaribu kuona kama Kuna correlation yoyote na bandiko langu, au umeandika tu hili kujifurahisha???

Akili huna kabisa wewe.
 
Hivi mfano leo hii Makonda akija akakuta umekaa sehemu akaanza kukuchokoza ,kati ya ww na Makonda ni nani anatakiwa kumuepuka mwenzie ili msifikie hatua ya kupigana?
Duh!...Makonda tena ?
 
Kuna midume humu kazi yao ni kijipendeka kwa wanawake kwa kujifanya watetezi wa wanawake hasa kwenye mada zinazo ongea negative kuhusu wanawake, tena wengine wanafika hatua za kuanzisha mpaka thread za kuwatetea ,nataka niwaambie mnakera sana.

Mm nimeanza kuifuatilia JF mwaka 2017 na nikaja kufungua ID rasmi mwaka 2022 lakini sijawahi hata kwa bahati mbaya kuona comment au thread iliyo andikwa na mwanamke kwa ajili ya kuwatetea wanaume.

Hivi hapa duniani kuwa watu wanao pitia magumu zaidi ya wanaume ?
Mbona wanawake huwa hawajishughulishi na sisi ila sisi kutwa kukitia kiwatetea?

Unakuta lidume zima linaanzisha mada ,mara wanawake wasisemwe kwa sababu ni mama,dada,wake,shangazi zetu.

Aliye kwaambia mtu kuwa ndugu yako basi kunahalalisha kile anacho kifanya ni nani?

Hao wanawake wao hawana kaka,na baba zao mbona huwa hawajipendekezi na kujifanya watetezi wa wanaume?

Hata kwenye kampeni ya 50kwa50 ukiangalia ni midume ndo imeipa nguvu.

Mfano tuongelee kuhusu suala la single mother ,ikianzishwa mada yeyote itakayo ongelea hilo tatizo utashangaa midume inakuja mbio kutetea.

Ukimuuliza mbona una watetea atakwambia eti kwa sababu na mimi nina watoto wa kike,kwa hiyo kumbe tunatakiwa kuutetea hata ujambazi kwa sababu wenda watoto wetu siku moja wanaweza kujikuta wanakuwa majambazi sio?

%98 ya matatizo waliyo nayo wanawake hawa wa kisasa chanzo ni wao wenyewe hivyo ni lazima wasemwe maana wanafanya upumbavu mwingi alafu mizingo ambayo ni matokea ya upumba wao wanaenda kuwabebesha mizigo wazazi wao na ndugu zao.

Tena huo usingle mother mabinti baada ya kubarehe huwa wanautafuta kwa nguvu kweli kweli,nitakuja kuanzisha mada nyingine juu ya hili.
Wengine huwa wanafika mbali na kuuliza kuwa eti kwani mimba huwa wanajipa wenyewe?

Hivi mfano leo hii Makonda akija akakuta umekaa sehemu akaanza kukuchokoza ,kati ya ww na Makonda ni nani anatakiwa kumuepuka mwenzie ili msifikie hatua ya kupigana?

Jibu ni ww ndo unatakiwa kumuepuka maana ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya ugomvi huo maana ukimpiga utaozea jera hali yakuwa yeye hata akikupiga hatofanywa chochote.

Mtu mwenye akili siku zote kabla ya kufanya kitu fulani huwa anapima ni gharama gani atalipa juu ya hicho anacho taka kutenda na sio kumtegemea huyo unaye fanya naye afikiri kwa ajili yake.

Binti kabla ya kumvulia chupi mwanaume tambua kuwa ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya hicho unacho taka kukifanya,hivyo ni jukumu lako kufikiria iwapo utakuwa na uwezo wa kuzilipa hizo gharama na sio kumtegea mwanaume afikiri kwa
ajili yako.
cha msingi tuheshimu utu ukweli usemwe ila kuwe na mipaka tusimalize maneno maana kuna leo na kesho
 
Ila wewe jamaa ni matakoo sana, ndio Nini hasa ulichokilenga kuni-quote hii comment???
Jitahidi kuhimili mihemko unapojadili hoja, kutumia maneno kama wewe ni matako ni kuongeza idadi ya hoja nje ya mada.
Kwa hiyo siku hizo mtu akitoa maoni yake au akiweka msimamo wake kihadhara kuhusu jambo fulani ni kuwapangia watu ni Nini wafanye???
Ulipost nini wanaume wenzako wakakuita mvulana? Rudi kwenye hoja uliyosema ukipost unakosolewa na kuitwa mvulana.
Kufanya harakati ni Nini? Na zinahusianeje na bandiko langu?
Harakati za mahubiri mfano yale mahubiri yako ya kutohonga wanawake.
Hiyo para yako ya mwisho umejaribu kuona kama Kuna correlation yoyote na bandiko langu, au umeandika tu hili kujifurahisha???

Akili huna kabisa wewe.
Tunajadiliana hapa sababu ulinitag kuwa huwa unasoma hoja zangu kuhusu mwanamke na hukubaliani nazo.

Sikuwa nakumbuka id ya mtu Muhimbu kuwa tulishawahi kutofautiana mtazamo.

Wewe kuwa na mtazamo tofauti sikuoni kama ni mjinga, nakuona kama mtu aliyezungukwa na mazingira yaliyosababisha kutazama mwanawake kwa jicho hasi.

Mimi simtazami mwanamke kwa hilo jicho lako.
 
Wote wako sawa.
Na ndio utofauti wetu ulipo.

Hawapo sawa.

Hapo kuna anayeshambulia tabia ya umalaya, na kuna anayewaita wanawake malaya.

Tazama namna unavyoandika kuhusu wanawake.

Huwa unashambulia tabia au unashambulia wanawake?

Ukishambulia tabia wanaume wote tutakuunga mkono

Ukishambulia wanawake, watapata watetezi.
 
Kwa hiyo tafsiri ya mwanaume ni kufanya na kuongea mambo yanayo wafurahisha wanawake?
Usishangae mkuu, na huu ndio ukweli.

Kuna social engineering inafanyika kwenye jamii yetu ambayo inalenga kumfanya mwanaume aone ni ufahari kuishi Kwa kumfurahisha mwanamke.

Ndio maana leo hii tunaona Kuna wimbi kubwa la madume ambayo yanawatetea wanawake hata kwenye upuuzi wao.

Leo hii wewe ukigombana na mke/girlfriend wako wimbi hili la wanaume litakaa upande wa mke/girlfriend wako haijalishi ni nani mwenye makosa.

Leo hii jamii yetu inataka kila mwanaume amchukulie mwanamke ni kama malaika fulani ambaye hastahili kusemwa vibaya Kwa vyovyote vile na pia vile vile wewe mwanaume ni jukumu lako kumlinda, halafu wakati huo huo mwanamke huyo anaambiwa na hiyo hiyo jamii kwamba yeye ni mtu imara na shupavu na tofauti yake yeye na mwanaume ni jinsia tu..!

Kwa bahati mbaya sana, wanaume wengi wanaojaribu kuchallenge haya mabadiliko ya kijamii Huwa wanaambiwa wanaochukia wanawake.
 
  • Thanks
Reactions: ITR
Na ndio utofauti wetu ulipo.

Hawapo sawa.

Hapo kuna anayeshambulia tabia ya umalaya, na kuna anayewaita wanawake malaya.

Tazama namna unavyoandika kuhusu wanawake.

Huwa unashambulia tabia au unashambulia wanawake?

Ukishambulia tabia wanaume wote tutakuunga mkono

Ukishambulia wanawake, watapata watetezi.
Huwa tunashambulia tabia zao.

Mfano masingle mother huwa tuna shambulia tabia zilizo sababisha wao kuwa single mother na sio wao binafisi.
 
Wewe kuwa na mtazamo tofauti sikuoni kama ni mjinga, nakuona kama mtu aliyezungukwa na mazingira yaliyosababisha kutazama mwanawake kwa jicho hasi.

Mimi simtazami mwanamke kwa hilo jicho lako.
So wewe kuwa na mitazamo hii ya kutetea tetea wanawake ovyo dhidi ya wanaume wanaowasema Kwa mienendo Yao mibovu kama uasherati, huku ukihamishia makosa Yao kwa wanaume.

Kumbe yawezekana ni Kwa sababu umetoka kwenye familia ya majike tupu ambapo uasherati umetamalaki na wamekuwa wakakwambia kwamba wanafanya umalaya/uasherati sababu ya wanaume...SI ndio? Basi sawa.
 
  • Thanks
Reactions: ITR
Huwa tunashambulia tabia zao.

Mfano masingle mother huwa tuna shambulia tabia zilizo sababisha wao kuwa single mother na sio wao binafisi.
Anaweza asikuelewe hata simple statement kama hii, utashangaa anakuja na maelezo meeengi ambayo yako nje kabisa ya muktadha.
 
  • Thanks
Reactions: ITR
 
Back
Top Bottom