Wanaume mnaojifanya watetezi wa Wanawake humu mnakera sana

Wanaume mnaojifanya watetezi wa Wanawake humu mnakera sana

MUNGU: Adam upo wapi?
Adam: Nimejificha nipo uchi aisee.
MUNGU: Kisa?
Adam: Ni huyu mwanamke uliyenipa.
Hivi mtoa mada ajiulizi kwa nini Mungu akasema muishi nao kwa akili😁😁
Yaani uwe na utimamu kweli kweli.
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Kuwa na amani boss. Ni angalizo tu nimekupa iwapo ni tabia uliyo nayo kwa wote unaotofautiana nao mtazamo.

I am always tranquility and hold no objection to perspectives that diverge from my own perceptions.

Sina tatizo na mashambulizi yako bila kujali unavyoyawakilisha.
Let peace be upon both of us buddy..

I will do deep crosscheck regarding to my habitual jabbering in online debate, so someone won't feel offended
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hivi mtoa mada ajiulizi kwa nini Mungu akasema muishi nao kwa akili😁😁
Yaani uwe na utimamu kweli kweli.
Aliye sema tuishi nao kwa akili ni paulo sio Mungu,Mungu amesema tuwatawale.
 
Tatizo umemsoma kidogo kwenye somo la GS.

Ungemsoma vizuri kwa muda wako ungefuta ujinga wa msingi angalau.
Sawa, haya nipatie kitabu chake unachohisi kitakuwa na msaada kwangu.
 
Aliye sema tuishi nao kwa akili ni paulo sio Mungu,Mungu amesema tuwatawale.
Kwa akili yako ndogo unaweza kukitawala kitu kilicho kuweka tumboni miezi kadhaa we mtoto kuwa na Adabu😁
 
Hivi mtoa mada ajiulizi kwa nini Mungu akasema muishi nao kwa akili😁😁
Yaani uwe na utimamu kweli kweli.
Hahaha, Yaani mkuu kama MUNGU aliona hapa suluhisho ni kuwafukuza tu kweny bustani basi mwanaume usipoteze muda.

Usiongee sana wala kuandika sana mnapozungumza au kuandikiana jumbe wakati wa mabishano. Majibu yako yawe mafupi mafupi, acha aongee sana au kuandika sana.

Utendaji wako anapovuka mipaka usiwe wa kusua sua kama MUNGU alivyoamua bila huruma, kama ni kuvunja mahusiano vunja, kama ni kuweka marufuku weka, kama ni kuondoka eneo alipo ondoka.
 
Mbona babu zetu waliweza kuwatawala?
Wahenga ni wanaume. Hakuna kulia lia sijui single mother sijui nini, Wakikaa kwenye vikao wakitoa maazimio kijiji kizima kinayafata.

Kipimo cha wanaume ni kuwatuliza wanawake wa jamii yao. Sauti ya mamlaka. Hata wakati wa ndoa, mzazi anakwambia nenda kijiji kile kwenye ukoo fulani, tafuta binti, mabinti zao wana adabu na ukichukua hukosei.


Muhimbu , mkuu njoo nipinge, nimewatetea tena.
 
Kuna midume humu kazi yao ni kijipendeka kwa wanawake kwa kujifanya watetezi wa wanawake hasa kwenye mada zinazo ongea negative kuhusu wanawake, tena wengine wanafika hatua za kuanzisha mpaka thread za kuwatetea ,nataka niwaambie mnakera sana.

Mm nimeanza kuifuatilia JF mwaka 2017 na nikaja kufungua ID rasmi mwaka 2022 lakini sijawahi hata kwa bahati mbaya kuona comment au thread iliyo andikwa na mwanamke kwa ajili ya kuwatetea wanaume.

Hivi hapa duniani kuwa watu wanao pitia magumu zaidi ya wanaume ?
Mbona wanawake huwa hawajishughulishi na sisi ila sisi kutwa kukitia kiwatetea?

Unakuta lidume zima linaanzisha mada ,mara wanawake wasisemwe kwa sababu ni mama,dada,wake,shangazi zetu.

Aliye kwaambia mtu kuwa ndugu yako basi kunahalalisha kile anacho kifanya ni nani?

Hao wanawake wao hawana kaka,na baba zao mbona huwa hawajipendekezi na kujifanya watetezi wa wanaume?

Hata kwenye kampeni ya 50kwa50 ukiangalia ni midume ndo imeipa nguvu.

Mfano tuongelee kuhusu suala la single mother ,ikianzishwa mada yeyote itakayo ongelea hilo tatizo utashangaa midume inakuja mbio kutetea.

Ukimuuliza mbona una watetea atakwambia eti kwa sababu na mimi nina watoto wa kike,kwa hiyo kumbe tunatakiwa kuutetea hata ujambazi kwa sababu wenda watoto wetu siku moja wanaweza kujikuta wanakuwa majambazi sio?

%98 ya matatizo waliyo nayo wanawake hawa wa kisasa chanzo ni wao wenyewe hivyo ni lazima wasemwe maana wanafanya upumbavu mwingi alafu mizingo ambayo ni matokea ya upumba wao wanaenda kuwabebesha mizigo wazazi wao na ndugu zao.

Tena huo usingle mother mabinti baada ya kubarehe huwa wanautafuta kwa nguvu kweli kweli,nitakuja kuanzisha mada nyingine juu ya hili.
Wengine huwa wanafika mbali na kuuliza kuwa eti kwani mimba huwa wanajipa wenyewe?

Hivi mfano leo hii Makonda akija akakuta umekaa sehemu akaanza kukuchokoza ,kati ya ww na Makonda ni nani anatakiwa kumuepuka mwenzie ili msifikie hatua ya kupigana?

Jibu ni ww ndo unatakiwa kumuepuka maana ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya ugomvi huo maana ukimpiga utaozea jera hali yakuwa yeye hata akikupiga hatofanywa chochote.

Mtu mwenye akili siku zote kabla ya kufanya kitu fulani huwa anapima ni gharama gani atalipa juu ya hicho anacho taka kutenda na sio kumtegemea huyo unaye fanya naye afikiri kwa ajili yake.

Binti kabla ya kumvulia chupi mwanaume tambua kuwa ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya hicho unacho taka kukifanya,hivyo ni jukumu lako kufikiria iwapo utakuwa na uwezo wa kuzilipa hizo gharama na sio kumtegea mwanaume afikiri kwa
ajili yako.
Ukiona mwanaume kutwa analia lia na wanawake ujue ama hana hela au hana akili ya kuwamudu wanawake kulingana na mfumo dume aliokaririshwa
Au ana ushoga unamnyemelea

Au pengine inawezekana Mama yako na dada zako walikua washenzi........ hii haimaanishi wanawake wote wako hivyo
Watu wameishi na madingi wahuni wanatelekeza familia lakini mama walisimama imara

Usihukumu jinsia.... hukumu mtu kama mtu na tabia yake
 
Kwanza kabisa kabla ya kukupitisha kwenye kitabu, what is your epistemology?

Nisije kufanya kazi kubwa kukupitisha kwenye kitabu ambacho huna uwezo wa kujifunza kutoka humo.
My epistemology right?

Well, I am more attached to evidentailism because of the simplicity of learning.
 
My epistemology right?

Well, I am more attached to evidentailism because of the simplicity of learning.
I suppose by "evidentailism" (sic) you must mean evidentialism, and that was a typographical error.

Where is the quantitative analysis and empirical data to support your conclusions on this thread?
 
Wahenga ni wanaume. Hakuna kulia lia sijui single mother sijui nini, Wakikaa kwenye vikao wakitoa maazimio kijiji kizima kinayafata.

Kipimo cha wanaume ni kuwatuliza wanawake wa jamii yao. Sauti ya mamlaka. Hata wakati wa ndoa, mzazi anakwambia nenda kijiji kile kwenye ukoo fulani, tafuta binti, mabinti zao wana adabu na ukichukua hukosei.


Muhimbu , mkuu njoo nipinge, nimewatetea tena.
Mkuu Hawa wanawake WA kileo hata wakija mababu zetu WA miaka Ile hawatawezana nao, itakuwa ni vurugu tu kama unavyoona leo.

Pia vile vile Hawa wanawake wa kisasa bila liberalization na mabadiliko mengine ya kijamii yaliyowafanya wakengeuke, wangekuwa ni watiifu, na Wala wanaume wasingepata shida kuwatuliza.

Kwa hiyo kumbe msingi wa tatizo ni social construct mpya tulizo install kwenye jamii yetu, kwamba mwanamke ana uhuru wake WA kujiamlia mambo yake mwenyewe bila kuingiliwa na mtu, na mwanaume ukijaribu kufungua mdomo wako ni kumuingilia kwenye uhuru wake.

Hamuwezi ukampangia binti au mwanamke WA kileo jinsi ya kuishi ilihali jamii imeshampa uhuru usiokuwa na mipaka...
 
So, hii mbungi hadi sasa ni ngapi ngapi wakuu?😅😅😅... Watetezi vs Wakandiaji.

Anyway, zile popcorn za kuonjeshwa kinguvu na wale vijana wa makumbusho ndio nasomea huu uzi.
 
Ndo maana watu hatuachi kunoa mapanga yetu,..🔪🔪
 
Back
Top Bottom