Wanaume mnaojifanya watetezi wa Wanawake humu mnakera sana

Wanaume mnaojifanya watetezi wa Wanawake humu mnakera sana

Kwani ITR embu tuambie, una tatizo gani na wanawake?
Lilianza lini?
Baada ya kutokea nini?
Ni mfululizo wa matukio au ni tukio moja? Nini kikitokea huu mtazamo wako kwa mwanamke utafutika?
Mm sina tatizo na wanawake, kwanini mtu anapo wakosoa wanawake nyinyi mnakimbilia kuangalia ukosoaji wake kwenye negative na sio positive?
 
Very emotional person you are! Kama Ashura vile.

Unaamini kuna mtu anamtuma mtu kumtetea mtu humu? ndivyo ufanyavyo?

Una enjoy mwenyewe tunavyokupa attention humu kwa kukujibu.

Grow up!
Mm nitake attention yako kwani ww nani?
Yaani ndo tatizo lenu nyinyi wanawake huwa mnajiona ni wa muhimu ndo maana mtu akiwakosoa mnakimbilia kwenye chuki.
 
Very emotional person you are! Kama Ashura vile.

Unaamini kuna mtu anamtuma mtu kumtetea mtu humu? ndivyo ufanyavyo?

Una enjoy mwenyewe tunavyokupa attention humu kwa kukujibu.

Grow up!
Mate Ashura yupi sasa hujasema vizuri, yule aliyemteka diwani au? 😹😹
 
Sasa wewe ndugu unataka kila mwanaume awe na mawazo kama ya kwako? Haitawezekana..
Wewe kama umeamua kuwaponda single mamas waponde tu, mpo wengi mnao waponda haina tatizo. Na ambao hawajawahi kuona ubaya wao waache wawasifie. Maisha ndivyo yalivyo.
Huwezi kulazimisha kila mwanaume awe na mtazamo kama wa kwako.
Sasa ndo watuponde kwa kutuita wavulana ?
 
Mojawapo ya viasharia vya jamii za hovyo duniani na zenye kiwango kidogo cha ustaarabu ni kukandamiza na kutojali makundi yenye nguvu ndogo za kimaamuzi katika jamii mfano wanawake, watoto na minority groups.
 
Mojawapo ya viasharia vya jamii za hovyo duniani na zenye kiwango kidogo cha ustaarabu ni kukandamiza na kutojali makundi yenye nguvu ndogo za kimaamuzi katika jamii mfano wanawake, watoto na minority groups.
Na hayo makundi yakikosea hayatakiwi kukosolewa?
 
Mnakosea.

Kutetea wanawake sio kosa, kosa ni kuwatetea bila sababu za msingi.

Tafuteni hizo sababu tunazotumia kuwatetea, mje nazo, hizo ndo tutajadili.

Mimi nitaendelea kuwatetea ninapoona inafaa.
Kuwatetea wanawake dhidi ya tuhuma au jambo lolote ambalo kinaonesha wazi kuwakandamiza ni jambo sahihi

Ila kuwatetea wanawake eti Kwa sababu tu wao ni wanawake hivyo wanastahili kutetewa sijui Kwa vile vile wao ni mama zetu, dada zetu, bibi zetu....blah blah huo ni ufala na ni dalili za USSENGE

ninachokionaga humu wengi Huwa mnawatetea Hawa watu Kwa sababu tu wao ni wanawake na ndio maana Huwa tunaona kauli kama "jamani tuwapunzishe kila siku wao tu".... "jamani hamna mama huko majumbani kwenu mbona mnawaandama sana?"... Sijui "mama ako au dada ako angekuwa anaongelewa hivi ungejiskiaje?... Hizo ni kauli Huwa zinatolewa mara Kwa mara na nyie watetezi wa wanawake humu.

Hivyo Kuangalia hizo kauli tu unaona kabisa mara nyingi mnakuwa mmesukumwa na mihemko kuwatetea wanawake na Wala sio maudhui ya mada husika inayowalenga wanawake hao.

Lakini Kwa mtu kama Mimi sishangai kuona lundo wa wanaume likitetea wanawake hivi maana najua hivi hizi ndio impacts za social engineering inayoendelea ulimwenguni kote.
 
Mm sina tatizo na wanawake, kwanini mtu anapo wakosoa wanawake nyinyi mnakimbilia kuangalia ukosoaji wake kwenye negative na sio positive?
Niweke assumption kwamba upo 40's meaning, umekuza binti mpaka amekuwa mtu mzima au umeishi kwenye ndoa na mwanamke miaka kadhaa au basi kama yoote hayo huna umelelewa na mama mpaka ukafika umri wa kuwaaga na kujitegemea.

Embu kwanza andika jambo moja zuri kuhusu mwanamke halafu tuendelee. Fanya kama vile ni break ya wadhamini.
 
Maisha yanatupa experience tofauti, hivo ni ngumu sana wanaume wote kua na mtizamo sawa kuwahusu wanawake.
Sahihi.
Eti kwa sabubu mtu haakulelewa vizuri na mama yake ambaye ni single maza ndio anataka kuwaamisha watu kwamba single maza wote ni mashetani wakati wako hata wanawake ambao sio single maza na malezi yao ni ya hovyo sana kwa watoto wao.
 
Uko sahihi sanaaa ndo mana wake zetu viburi vimezidi ,inafikia hatua unawaza kazini ,moto,maisha moto unarudi nyumbani moto kabisaaa
Usiishi na mwanamke mwenye kiburi. Mara nyingi, mwanamke ana mwanaume ambaye akisema neno anatii, kama si wewe huyo achana naye.
 
Na kumkandamiza mwanaume ni umalaika sio?
Niwanaume wangapi wameharibiwa maisha na wanawake na hatujawahi kuona mnawatetea?
Wewe pinga na washawishi watu wapinge wanaume wanaoonewa ila kuchukia watu kuwatetea wanawake pale ambapo wanaoana wanaonewa, wanakandamizwa au kudharauliwa kimfumo ni wehu na wendawazimu mtupu.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kwa hiyo kuwaambia waache umalaya ili wasiwe masingle mother ni kuwadhalilisha?
Kuwaambia wanawake waache kutumia uchi wao kama chanzo cha mapato badala yake wafanye kazi zingine ni kuwadhalilisha?

Yaani kwenye kufanya upuuzi una watetea ila matokeo ya upuuzi wao mnalazimisha na sisi tuyabebe?
Waambie kwanza wanaume waache kununua malaya. Muuza bidhaa huwa analeta bidhaa yake dukani baada ya kujua wateja wanunuaji wapo.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Maisha yanatupa experience tofauti, hivo ni ngumu sana wanaume wote kua na mtizamo sawa kuwahusu wanawake.
Mada ilipaswa kuishia hapa.

Kuna vijana wametoka kwenye koo zenye maadili. Tangu kuzaliwa kazungukwa na wanawake wenye maadili, kuanzia madada hadi mashangazi.

Kaoa mwanamke mwenye maadili, kapata vibinti navyo vinakuzwa kwa maadili.

Huyu mtu ukimshambulia wanamke wote sababu ulisalitiwa na single mother hawezi sapoti mtazamo wako.
 
Waambie kwanza wanaume waache kununua malaya. Muuza bidhaa huwa analeta bidhaa yake dukani baada ya kujua wateja wanunuaji wapo.
Kabisa mkuu Yoda, pia mwanamke anapaswa kuongozwa na mwanaume.

Mtu mzima unaenda kununua kamalaya umekapita miaka 20 unakavulia nguo halafu uje kulaumu mwanamke hana maadili?

Kila mwanaume angekakemea hako kamalaya kangefanya umalaya kwa nani? Kwanza Kangeogopa.
 
Kuwatetea wanawake dhidi ya tuhuma au jambo lolote ambalo kinaonesha wazi kuwakandamiza ni jambo sahihi

Ila kuwatetea wanawake eti Kwa sababu tu wao ni wanawake hivyo wanastahili kutetewa sijui Kwa vile vile wao ni mama zetu, dada zetu, bibi zetu....blah blah huo ni ufala na ni dalili za USSENGE

ninachokionaga humu wengi Huwa mnawatetea Hawa watu Kwa sababu tu wao ni wanawake na ndio maana Huwa tunaona kauli kama "jamani tuwapunzishe kila siku wao tu".... "jamani hamna mama huko majumbani kwenu mbona mnawaandama sana?"... Sijui "mama ako au dada ako angekuwa anaongelewa hivi ungejiskiaje?... Hizo ni kauli Huwa zinatolewa mara Kwa mara na nyie watetezi wa wanawake humu.

Hivyo Kuangalia hizo kauli tu unaona kabisa mara nyingi mnakuwa mmesukumwa na mihemko kuwatetea wanawake na Wala sio maudhui ya mada husika inayowalenga wanawake hao.

Lakini Kwa mtu kama Mimi sishangai kuona lundo wa wanaume likitetea wanawake hivi maana najua hivi hizi ndio impacts za social engineering inayoendelea ulimwenguni kote.
Kuna muktadha unaruhusu pingamizi la namna hiyo.
 
Kuna midume humu kazi yao ni kijipendeka kwa wanawake kwa kujifanya watetezi wa wanawake hasa kwenye mada zinazo ongea negative kuhusu wanawake, tena wengine wanafika hatua za kuanzisha mpaka thread za kuwatetea ,nataka niwaambie mnakera sana.

Mm nimeanza kuifuatilia JF mwaka 2017 na nikaja kufungua ID rasmi mwaka 2022 lakini sijawahi hata kwa bahati mbaya kuona comment au thread iliyo andikwa na mwanamke kwa ajili ya kuwatetea wanaume.

Hivi hapa duniani kuwa watu wanao pitia magumu zaidi ya wanaume ?
Mbona wanawake huwa hawajishughulishi na sisi ila sisi kutwa kukitia kiwatetea?

Unakuta lidume zima linaanzisha mada ,mara wanawake wasisemwe kwa sababu ni mama,dada,wake,shangazi zetu.

Aliye kwaambia mtu kuwa ndugu yako basi kunahalalisha kile anacho kifanya ni nani?

Hao wanawake wao hawana kaka,na baba zao mbona huwa hawajipendekezi na kujifanya watetezi wa wanaume?

Hata kwenye kampeni ya 50kwa50 ukiangalia ni midume ndo imeipa nguvu.

Mfano tuongelee kuhusu suala la single mother ,ikianzishwa mada yeyote itakayo ongelea hilo tatizo utashangaa midume inakuja mbio kutetea.

Ukimuuliza mbona una watetea atakwambia eti kwa sababu na mimi nina watoto wa kike,kwa hiyo kumbe tunatakiwa kuutetea hata ujambazi kwa sababu wenda watoto wetu siku moja wanaweza kujikuta wanakuwa majambazi sio?

%98 ya matatizo waliyo nayo wanawake hawa wa kisasa chanzo ni wao wenyewe hivyo ni lazima wasemwe maana wanafanya upumbavu mwingi alafu mizingo ambayo ni matokea ya upumba wao wanaenda kuwabebesha mizigo wazazi wao na ndugu zao.

Tena huo usingle mother mabinti baada ya kubarehe huwa wanautafuta kwa nguvu kweli kweli,nitakuja kuanzisha mada nyingine juu ya hili.
Wengine huwa wanafika mbali na kuuliza kuwa eti kwani mimba huwa wanajipa wenyewe?

Hivi mfano leo hii Makonda akija akakuta umekaa sehemu akaanza kukuchokoza ,kati ya ww na Makonda ni nani anatakiwa kumuepuka mwenzie ili msifikie hatua ya kupigana?

Jibu ni ww ndo unatakiwa kumuepuka maana ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya ugomvi huo maana ukimpiga utaozea jera hali yakuwa yeye hata akikupiga hatofanywa chochote.

Mtu mwenye akili siku zote kabla ya kufanya kitu fulani huwa anapima ni gharama gani atalipa juu ya hicho anacho taka kutenda na sio kumtegemea huyo unaye fanya naye afikiri kwa ajili yake.

Binti kabla ya kumvulia chupi mwanaume tambua kuwa ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya hicho unacho taka kukifanya,hivyo ni jukumu lako kufikiria iwapo utakuwa na uwezo wa kuzilipa hizo gharama na sio kumtegea mwanaume afikiri kwa
ajili yako.
Mie kwa kweli nasema kuanzia 2025 atittude yangu kuelekea wanawake ni kama attitude ya mataliban kuelekea wanawake. Wee sompeka jimoni huko hakuna cha shule wala nini. Wao ni kupika kugegedwa basi.
Hawa tumewaso.esha wanaanza kuche,a na mbupuz zetu
 
Kuwatetea wanawake dhidi ya tuhuma au jambo lolote ambalo kinaonesha wazi kuwakandamiza ni jambo sahihi

Ila kuwatetea wanawake eti Kwa sababu tu wao ni wanawake hivyo wanastahili kutetewa sijui Kwa vile vile wao ni mama zetu, dada zetu, bibi zetu....blah blah huo ni ufala na ni dalili za USSENGE

ninachokionaga humu wengi Huwa mnawatetea Hawa watu Kwa sababu tu wao ni wanawake na ndio maana Huwa tunaona kauli kama "jamani tuwapunzishe kila siku wao tu".... "jamani hamna mama huko majumbani kwenu mbona mnawaandama sana?"... Sijui "mama ako au dada ako angekuwa anaongelewa hivi ungejiskiaje?... Hizo ni kauli Huwa zinatolewa mara Kwa mara na nyie watetezi wa wanawake humu.

Hivyo Kuangalia hizo kauli tu unaona kabisa mara nyingi mnakuwa mmesukumwa na mihemko kuwatetea wanawake na Wala sio maudhui ya mada husika inayowalenga wanawake hao.

Lakini Kwa mtu kama Mimi sishangai kuona lundo wa wanaume likitetea wanawake hivi maana najua hivi hizi ndio impacts za social engineering inayoendelea ulimwenguni kote.
Mkuu na hili ndo lilikuwa lengo la uzi huu ila mafemenist wanajaribu kuupotosha, lakini hatutachoka kuwapiga sipana.
 
Mm nitake attention yako kwani ww nani?
Yaani ndo tatizo lenu nyinyi wanawake huwa mnajiona ni wa muhimu ndo maana mtu akiwakosoa mnakimbilia kwenye chuki.
Kwa umri huu wa robo ya karne nisijue chuki na kukosolewa?

Hautaki attention yangu, unataka attention ya wote wanaokujibu.

Go heal!
 
Back
Top Bottom