Wanaume mnaowaachia wake zenu Kazi ya kupeleka Watoto kupanda School Vans alfajiri kuweni makini

kisiwan viktoria tunawaitwa sangara, Hafugiki maana ni predetor wankula samaki wemzao tu(nyama), kwahiyo kumfuga unatakiwa ukavue samaki waengine ulete wakiw hai ndo uwalishe πŸ˜‚
Hao viumbe ni hatari kuliko chui na simba, ukiwaona kimbia....cc yule jamaa wa Mwanza aliyeamua kumaliza na kujimaliza kabisa
 
"Style ambayo tokea nizaliwe sijawahi Kuiona na hata katika Movies zote 13,700 za Pono nilizozitizama bado Style hiyo haijawahi Kutumika" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™Œ
Maana yake, hajaona kitu, hakuna hiyo style tumepigwa na kitu kizito, kama anabisha aweke pichaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nilishasema nikiwa na Demu Mweupe halafu ana Shundu ( Inye ) nikisikia kuna Mtu ananibandulia kitakachofuata Kwake ni achague moja tu nimpe Tiketi ya haraka kwenda Kutibiwa ICU Muhimbili au nimuwahishe Makazi yake mapya na ya Milele pale Kinondoni.
Acha kujidanganya bwana mdogo.
Kama huamini tupe namba za mkeo tukuoneshe kazi.
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣kuna mda nakuaona mtu mzima alafu baadae unakua kiazi sa maajabu kila nikiona nyuzi zako lazima nizifungue alafu nabaki hoi
Jamani mbona Signature yangu Tukuka hapa JamiiForums ya "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" kwa Kiswahili " Mwenye Kipawa Asilia, Mwenye Nyota ya Kipekee ya Kimvuto, Mbadilisha Mwelekeo na Mburudishaji" inasema mengi kuhusu Mimi?
 
Si ndo mana hatuachi fungua nyuzi zako mzee
 
Km Unataka kuingia Kwenye huo utaratibu basi usisahau kutembea na kilainishi.
 
Thread ya hovyo kabisa, kila kitu unakijua, ww ni nani popoma ww
 
Hiyo staili ungetuelezea ili watu ikiwezekana wajifunze maana kama imekuvutia wewe uliyeona basi hata wanaume wengine itatuvutia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…