Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Hizo ni story tu bhanaTunawaheshimu sana wanawake. Lakini kila nikitafakari ujasiri wa mwanamke kupiga stori na Ibilisi live pale bustani ya Edeni, bila hofu na kuwa chanzo cha madhira makubwa tunayopitia kwa sasa kwenye dunia hii.
Hata sasa bado mnapiga stori na shetani na hatimaye kutushawishi na sisi tufuate mliokubaliana/kudaganywa na shetani.
Inasikitisha sana.😪😢😥
[emoji23] ndo nipo hapo Mkuu....
Ni muhimu mnooo sema ndo vile tena ni wao pekee walifanikiwa kupiga story na nyoka sijui aliwaambia mambo gani kuhusu sisi, nyoka mshenzi yule...Binafsi nawaona wanawake Ni watu muhimu Sana duniani ila huwa nashangazwa na tabia zao za kishenzi
Mmetuzaa na mmetulea?Wangapi?Mimi mimezaliwa na mama mmoja tu.Ninyi wengine ni "mandugu digitals" tu.Kwani sisi wanawake mmetuweka kwenye kundi gani? Mnatuonaje yaan? Mbali na kuwazaa kuwalea mkakua kwani sisi wanawake mnatuonaje onaje....mfano Mimi wakiniuliza wanaume unawaonaje onaje...nitawajibu nawaona kama nyumbu....maana tabia ya nyumbu ni kusahau ...akianza fukuzwa na simba anakimbia dakika moja then anastuck ashasahau kuwa alikuwa anafukuzwa na simba ivo anajishangaa kwa kitendo chake cha kukimbia pasipo sababu....ivi mnakumbuka kweli kwamba sisi ni mama zenu kweli? Sijui mnatuonaje yaan
Nimezaliwa na mwanamke' sio wanawakeKwani sisi wanawake mmetuweka kwenye kundi gani? Mnatuonaje yaani? Mbali na kuwazaa, kuwalea mkakua, kwani sisi wanawake mnatuonaje onaje?
Mfano mimi wakiniuliza wanaume unawaonaje onaje, nitawajibu nawaona kama nyumbu! Maana tabia ya nyumbu ni kusahau, akianza fukuzwa na simba anakimbia dakika moja halafu anaganda, ashasahau kuwa alikuwa anafukuzwa na simba!
Hivyo anajishangaa kwa kitendo chake cha kukimbia pasipo sababu!
Hivi mnakumbuka kweli kwamba sisi ni mama zenu kweli? Sijui mnatuonaje yaani.
Mama zetu my foot? Kwani baba yako ni mwanamke pia?Kwani sisi wanawake mmetuweka kwenye kundi gani? Mnatuonaje yaani? Mbali na kuwazaa, kuwalea mkakua, kwani sisi wanawake mnatuonaje onaje?
Mfano mimi wakiniuliza wanaume unawaonaje onaje, nitawajibu nawaona kama nyumbu! Maana tabia ya nyumbu ni kusahau, akianza fukuzwa na simba anakimbia dakika moja halafu anaganda, ashasahau kuwa alikuwa anafukuzwa na simba!
Hivyo anajishangaa kwa kitendo chake cha kukimbia pasipo sababu!
Hivi mnakumbuka kweli kwamba sisi ni mama zenu kweli? Sijui mnatuonaje yaani.
Sema tunapeana utamu..yaani mwanaume ndiyo huwa anaonekana ana uhitaji sana wa sex lakini ki uhalisia mwanamke ndiyo ana enjoy zaidi kuliko mwanaume.Tabia gani tena jamani,tunawapa tamu,tunawapikia,kuwafulia na kuwapa uzao wenu tena mzuri...mwee