Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Tunawaheshimu sana wanawake. Lakini kila nikitafakari ujasiri wa mwanamke kupiga stori na Ibilisi live pale bustani ya Edeni, bila hofu na kuwa chanzo cha madhira makubwa tunayopitia kwa sasa kwenye dunia hii.
Hata sasa bado mnapiga stori na shetani na hatimaye kutushawishi na sisi tufuate mliokubaliana/kudaganywa na shetani.
Inasikitisha sana.😪😢😥
Hata sasa bado mnapiga stori na shetani na hatimaye kutushawishi na sisi tufuate mliokubaliana/kudaganywa na shetani.
Inasikitisha sana.😪😢😥