Wanaume mtujibu

Wanaume mtujibu

Tunawaheshimu sana wanawake. Lakini kila nikitafakari ujasiri wa mwanamke kupiga stori na Ibilisi live pale bustani ya Edeni, bila hofu na kuwa chanzo cha madhira makubwa tunayopitia kwa sasa kwenye dunia hii.
Hata sasa bado mnapiga stori na shetani na hatimaye kutushawishi na sisi tufuate mliokubaliana/kudaganywa na shetani.
Inasikitisha sana.😪😢😥
 
Tunawaheshimu sana wanawake. Lakini kila nikitafakari ujasiri wa mwanamke kupiga stori na Ibilisi live pale bustani ya Edeni, bila hofu na kuwa chanzo cha madhira makubwa tunayopitia kwa sasa kwenye dunia hii.
Hata sasa bado mnapiga stori na shetani na hatimaye kutushawishi na sisi tufuate mliokubaliana/kudaganywa na shetani.
Inasikitisha sana.😪😢😥
Hizo ni story tu bhana
 
Shida tumechanganywa na tuliyo kopi na kuyaishi sasa shida kuu kurudi kwenye nafasi halisi... Inspiration na matamanio yamekuwa meengi ila Discipline zero....Anguko++
#Nawaonaga Kama Magaidi☢️
 
Binafsi nawaona wanawake Ni watu muhimu Sana duniani ila huwa nashangazwa na tabia zao za kishenzi
Ni muhimu mnooo sema ndo vile tena ni wao pekee walifanikiwa kupiga story na nyoka sijui aliwaambia mambo gani kuhusu sisi, nyoka mshenzi yule...
 
Kwani sisi wanawake mmetuweka kwenye kundi gani? Mnatuonaje yaan? Mbali na kuwazaa kuwalea mkakua kwani sisi wanawake mnatuonaje onaje....mfano Mimi wakiniuliza wanaume unawaonaje onaje...nitawajibu nawaona kama nyumbu....maana tabia ya nyumbu ni kusahau ...akianza fukuzwa na simba anakimbia dakika moja then anastuck ashasahau kuwa alikuwa anafukuzwa na simba ivo anajishangaa kwa kitendo chake cha kukimbia pasipo sababu....ivi mnakumbuka kweli kwamba sisi ni mama zenu kweli? Sijui mnatuonaje yaan
Mmetuzaa na mmetulea?Wangapi?Mimi mimezaliwa na mama mmoja tu.Ninyi wengine ni "mandugu digitals" tu.
 
Wanawake hamnazo, mtu anakujaje "kukutongoza" anakupiga saundi, fiksi kibao unamkubalia na unampa kibumbu yani unashindwa kujua unapigwa saundi. Hapo tuu ndo nawaonaga akili kisoda.
N:B: Nj mama zetu ila ndo hivyo.
 
Unakuta jimama likubwa unalipiga "saundi" za kitoto linakubali afu linakuamini kinoma😂
 
Kwani sisi wanawake mmetuweka kwenye kundi gani? Mnatuonaje yaani? Mbali na kuwazaa, kuwalea mkakua, kwani sisi wanawake mnatuonaje onaje?

Mfano mimi wakiniuliza wanaume unawaonaje onaje, nitawajibu nawaona kama nyumbu! Maana tabia ya nyumbu ni kusahau, akianza fukuzwa na simba anakimbia dakika moja halafu anaganda, ashasahau kuwa alikuwa anafukuzwa na simba!

Hivyo anajishangaa kwa kitendo chake cha kukimbia pasipo sababu!

Hivi mnakumbuka kweli kwamba sisi ni mama zenu kweli? Sijui mnatuonaje yaani.
Nimezaliwa na mwanamke' sio wanawake
 
Kwani sisi wanawake mmetuweka kwenye kundi gani? Mnatuonaje yaani? Mbali na kuwazaa, kuwalea mkakua, kwani sisi wanawake mnatuonaje onaje?

Mfano mimi wakiniuliza wanaume unawaonaje onaje, nitawajibu nawaona kama nyumbu! Maana tabia ya nyumbu ni kusahau, akianza fukuzwa na simba anakimbia dakika moja halafu anaganda, ashasahau kuwa alikuwa anafukuzwa na simba!

Hivyo anajishangaa kwa kitendo chake cha kukimbia pasipo sababu!

Hivi mnakumbuka kweli kwamba sisi ni mama zenu kweli? Sijui mnatuonaje yaani.
Mama zetu my foot? Kwani baba yako ni mwanamke pia?
 
Tabia gani tena jamani,tunawapa tamu,tunawapikia,kuwafulia na kuwapa uzao wenu tena mzuri...mwee
Sema tunapeana utamu..yaani mwanaume ndiyo huwa anaonekana ana uhitaji sana wa sex lakini ki uhalisia mwanamke ndiyo ana enjoy zaidi kuliko mwanaume.
Mwanamke anaweza akatoka na multiple orgasm na ana sehemu nyingi sana za mwili ku stimulate kuliko mwanaume.
Ila wanawake mnaona sisi ndiyo mnatupa Utamu kuliko sisi tunao wapa na hii ni dalili moja inayo fanya niwaone wanawake ni watu wabinafsi sana na nawachukulia hivyo.
 
Back
Top Bottom