M
Mkuu unatoa huduma hewa bora husitoe pesa kabisa kwanini mtoto wako anakua kama mmechangia kumzaa na huyo Jamaa yani yeye ndiyo ana kuongoza, Mimi niliachaga kutuma pesa za mtoto wangu kwa Mama yake kwasababu yeye huyo mzazi mwenzangu kumbe alishaolewa bila mimi kujua na akawa ana taka niwe natuma pesa kwa mwanangu tu na alikua hataki Ndugu zangu wapajue mtoto anapoishi na hataki nijue mtoto anaishi kwenye mazingira gani yeye anachotaka ni tume pesa tu, Baada ya kuchunguza nikaja kujua kaolewa na ana mtoto mchaga kwahiyo pesa ninazo tuma za mwanangu anatumia kwa mtoto wake na mume wake uchumi wake siyo mzuri! Nikawaza sasa nikituma pesa za mwanangu kila baada ya siku moja ale Maziwa mayai na nyama, Samaki je atapikiwa na je kama atapikiwa anaishi nyumba ya watoto wangapi isijekua wanaishi familia kubwa ya watoto wengi akipikiwa maziwa na mayai wanagombania.