Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Indirect touch.Habari mara nyingi Watu wengi wanajikuta wamezaa nje ya ndoa na mwenzie kuolewa Na mnamtoto tayari.
Mtoto anahitaji malezi ya baba na mama.
Sasa njia gani unatumia kuwasiliana na mzazi wenzio aliyeolewa tayari afu utakuta huko anaishi na mtoto wako au mtoto unaishi naye sometimes mtoto atataka kukutana na mama yake, pengine hata na baba.
Njia gani Mnatumia kufanikisha hili?
Karibuni.
Kipindi unasex na Bibie ulikuwa na umri gani?ndio mnasex the first day mimba inaingia hiyo mmepanga?
Eti Nini? Mimi kwanza siwezi kulea mtoto wa fala flani aliyetelekeza mtotoKabisa hata kule shuleni kwenye sherehe za shule anaenda huyo mume wa mzazi mwenzangu na panapotokea shida hunipigia simu kuniarifu maendeleo
Huyu mwanaume naye ana moyo wa chuma. Mimi siwezi.Mimi nimezaa na mdada mmoja ambae kwa sasa kaolewa na anaishi na mwanangu na huyo mumewe,hivyo mawasiliano yangu yote kuhusu malezi ya mtoto huyo hupitia kwa mumewe,na kama kuna siku nataka kumuona mtoto namuatifi mumewe ambae ndio atamjulisha huyo mzazi mwenzangu ambae ni mkewe.Sina mawasiliano na huyo mzazi mwenzangu ya moja kwa moja
Binadamu tunapishana sanaHuyu mwanaume naye ana moyo wa chuma. Mimi siwezi.
ukivamia mada ndio utasema hivi,mtoto hajatelekezwa ametunzwa toka mimba imeingia,na mpaka sasa anatunzwa,isipokuwa hajafika umri wa kuchukuliwa kutoka kwa mama yake,na tumekubaliana vizuri na hakuna shidaEti Nini? Mimi kwanza siwezi kulea mtoto wa fala flani aliyetelekeza mtoto
Labda kama wewe sio mwanaume unayeishi dunia ya ajabu,hayo yote uliyosema,wakati upo na mwanamke,huwa abdallah kichwa wazi hayazingatiiKipindi unasex na Bibie ulikuwa na umri gani?
Sexy siku zote inamatokeo yake...
1. Kusababisha mimba au kupata mimba.
2. Kusambaza magojwa.
Kwa maelezo yako inaonekana hukujali hata kuhusu swala ya afya yako. (HIV, hepatitis, Herpes viruses n.k).
Kama hukujali mimba inamaana hata hayo magonjwa hukujali kama unaweza PATA.
Hakuna mimba ya bahati mbaya au kutopanga. Naamini ulikuwa mtu mzima kipindi mnapeana mimba hiyo. Unajua kuwa sexy bila tahadhali Nini kinatokea , SI unajua Hilo??????
Au hujui??????
Sema tu mliamua kuzaa tuu. Your matured enough mkuu.
Sio kwamba ulikuwa hujitambui mkuu.
Ukikua utaelewa saizi endelea na porojo hizi.Kipindi unasex na Bibie ulikuwa na umri gani?
Sexy siku zote inamatokeo yake...
1. Kusababisha mimba au kupata mimba.
2. Kusambaza magojwa.
Kwa maelezo yako inaonekana hukujali hata kuhusu swala ya afya yako. (HIV, hepatitis, Herpes viruses n.k).
Kama hukujali mimba inamaana hata hayo magonjwa hukujali kama unaweza PATA.
Hakuna mimba ya bahati mbaya au kutopanga. Naamini ulikuwa mtu mzima kipindi mnapeana mimba hiyo. Unajua kuwa sexy bila tahadhali Nini kinatokea , SI unajua Hilo??????
Au hujui??????
Sema tu mliamua kuzaa tuu. Your matured enough mkuu.
Sio kwamba ulikuwa hujitambui mkuu.
Ok mkuu, ntakuwa makini kwenye mada nyingine.wewe umemiss point
Tunatumia WhatsAppHabari mara nyingi Watu wengi wanajikuta wamezaa nje ya ndoa na mwenzie kuolewa Na mnamtoto tayari.
Mtoto anahitaji malezi ya baba na mama.
Sasa njia gani unatumia kuwasiliana na mzazi wenzio aliyeolewa tayari afu utakuta huko anaishi na mtoto wako au mtoto unaishi naye sometimes mtoto atataka kukutana na mama yake, pengine hata na baba.
Njia gani Mnatumia kufanikisha hili?
Karibuni.
usijali,sisi ni binadamu,hatuwezi kuwa sahihi kila nyakati,hata mie pia humiss point kabisaOk mkuu, ntakuwa makini kwenye mada nyingine.
Ok bossusijali,sisi ni binadamu,hatuwezi kuwa sahihi kila nyakati,hata mie pia humiss point kabisa
Basi mkuu ukujitambua kipindi hicho.Labda kama wewe sio mwanaume unayeishi dunia ya ajabu,hayo yote uliyosema,wakati upo na mwanamke,huwa abdallah kichwa wazi hayazingatii
Wenda Nina umri zaidi yako.Ukikua utaelewa saizi endelea na porojo hizi.
Jamaa amejieleza vyema sana tusilazimishe mambo yetu kwa watu.Nimeelewa.
Huyo jamaa anatakuwa muoga sana.
Sio kwamba ni mwema bali anafanya yote hayo kuogopa ukaribu kati yako na huyo Bibie.
Na hapo jamaa mimi namuona Kawa mtumwa. tuu uliyotokana na mahusiano yenu ya zamani.
Daa dunia hii.