Wanaume: Munatumia njia gani kuwasiliana pengine hata kukutana na mzazi mwenzio aliyeolewa?

Wanaume: Munatumia njia gani kuwasiliana pengine hata kukutana na mzazi mwenzio aliyeolewa?

Habari mara nyingi Watu wengi wanajikuta wamezaa nje ya ndoa na mwenzie kuolewa Na mnamtoto tayari.

Mtoto anahitaji malezi ya baba na mama.

Sasa njia gani unatumia kuwasiliana na mzazi wenzio aliyeolewa tayari afu utakuta huko anaishi na mtoto wako au mtoto unaishi naye sometimes mtoto atataka kukutana na mama yake, pengine hata na baba.

Njia gani Mnatumia kufanikisha hili?
Karibuni.
Indirect touch.
 
ndio mnasex the first day mimba inaingia hiyo mmepanga?
Kipindi unasex na Bibie ulikuwa na umri gani?

Sexy siku zote inamatokeo yake...
1. Kusababisha mimba au kupata mimba.
2. Kusambaza magojwa.

Kwa maelezo yako inaonekana hukujali hata kuhusu swala ya afya yako. (HIV, hepatitis, Herpes viruses n.k).
Kama hukujali mimba inamaana hata hayo magonjwa hukujali kama unaweza PATA.

Hakuna mimba ya bahati mbaya au kutopanga. Naamini ulikuwa mtu mzima kipindi mnapeana mimba hiyo. Unajua kuwa sexy bila tahadhali Nini kinatokea , SI unajua Hilo??????
Au hujui??????

Sema tu mliamua kuzaa tuu. Your matured enough mkuu.
Sio kwamba ulikuwa hujitambui mkuu.
 
Kwa kifupi jamani kuzaa ni mahamuzi na sio bahati mbaya au kutokupanga.

Muwe na usharabu jmn.
Hata kama ndio ulikuwa ni uwasherati.
 
Afu sorry friends hiyo ishu haijanitokea mimi, nimeleta tuu nisikie maoni yenu tuu. 👌👌👌👌🙏🙏🙏
 
Nikiona mwanaume ana tumia hio kauli namshangaa sana kauli imekaa kianamke kabsa afu kinyonge sanaa .utavalishwa dela wewe
 
Kabisa hata kule shuleni kwenye sherehe za shule anaenda huyo mume wa mzazi mwenzangu na panapotokea shida hunipigia simu kuniarifu maendeleo
Eti Nini? Mimi kwanza siwezi kulea mtoto wa fala flani aliyetelekeza mtoto
 
Mimi nimezaa na mdada mmoja ambae kwa sasa kaolewa na anaishi na mwanangu na huyo mumewe,hivyo mawasiliano yangu yote kuhusu malezi ya mtoto huyo hupitia kwa mumewe,na kama kuna siku nataka kumuona mtoto namuatifi mumewe ambae ndio atamjulisha huyo mzazi mwenzangu ambae ni mkewe.Sina mawasiliano na huyo mzazi mwenzangu ya moja kwa moja
Huyu mwanaume naye ana moyo wa chuma. Mimi siwezi.
 
Eti Nini? Mimi kwanza siwezi kulea mtoto wa fala flani aliyetelekeza mtoto
ukivamia mada ndio utasema hivi,mtoto hajatelekezwa ametunzwa toka mimba imeingia,na mpaka sasa anatunzwa,isipokuwa hajafika umri wa kuchukuliwa kutoka kwa mama yake,na tumekubaliana vizuri na hakuna shida
 
Kipindi unasex na Bibie ulikuwa na umri gani?

Sexy siku zote inamatokeo yake...
1. Kusababisha mimba au kupata mimba.
2. Kusambaza magojwa.

Kwa maelezo yako inaonekana hukujali hata kuhusu swala ya afya yako. (HIV, hepatitis, Herpes viruses n.k).
Kama hukujali mimba inamaana hata hayo magonjwa hukujali kama unaweza PATA.

Hakuna mimba ya bahati mbaya au kutopanga. Naamini ulikuwa mtu mzima kipindi mnapeana mimba hiyo. Unajua kuwa sexy bila tahadhali Nini kinatokea , SI unajua Hilo??????
Au hujui??????

Sema tu mliamua kuzaa tuu. Your matured enough mkuu.
Sio kwamba ulikuwa hujitambui mkuu.
Labda kama wewe sio mwanaume unayeishi dunia ya ajabu,hayo yote uliyosema,wakati upo na mwanamke,huwa abdallah kichwa wazi hayazingatii
 
Kipindi unasex na Bibie ulikuwa na umri gani?

Sexy siku zote inamatokeo yake...
1. Kusababisha mimba au kupata mimba.
2. Kusambaza magojwa.

Kwa maelezo yako inaonekana hukujali hata kuhusu swala ya afya yako. (HIV, hepatitis, Herpes viruses n.k).
Kama hukujali mimba inamaana hata hayo magonjwa hukujali kama unaweza PATA.

Hakuna mimba ya bahati mbaya au kutopanga. Naamini ulikuwa mtu mzima kipindi mnapeana mimba hiyo. Unajua kuwa sexy bila tahadhali Nini kinatokea , SI unajua Hilo??????
Au hujui??????

Sema tu mliamua kuzaa tuu. Your matured enough mkuu.
Sio kwamba ulikuwa hujitambui mkuu.
Ukikua utaelewa saizi endelea na porojo hizi.
 
Habari mara nyingi Watu wengi wanajikuta wamezaa nje ya ndoa na mwenzie kuolewa Na mnamtoto tayari.

Mtoto anahitaji malezi ya baba na mama.

Sasa njia gani unatumia kuwasiliana na mzazi wenzio aliyeolewa tayari afu utakuta huko anaishi na mtoto wako au mtoto unaishi naye sometimes mtoto atataka kukutana na mama yake, pengine hata na baba.

Njia gani Mnatumia kufanikisha hili?
Karibuni.
Tunatumia WhatsApp
 
Labda kama wewe sio mwanaume unayeishi dunia ya ajabu,hayo yote uliyosema,wakati upo na mwanamke,huwa abdallah kichwa wazi hayazingatii
Basi mkuu ukujitambua kipindi hicho.
Kwa binadamu na mwanaune aliyekamilika na akili timamu.
Awezi kusema hivyo eti ilitokea tuu.
Aaaaaaaaaaaa.
 
Eti ilitokea tuuu.
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 😂 😂 😂 😂
 
Akikuwa huyo mtoto mwambie mimi na mama yako hatukuwa pamoja kwa sababu tulikuzaa hatukupanga uje dunia .😬😬😬😬😬
 
Nimeelewa.
Huyo jamaa anatakuwa muoga sana.
Sio kwamba ni mwema bali anafanya yote hayo kuogopa ukaribu kati yako na huyo Bibie.
Na hapo jamaa mimi namuona Kawa mtumwa. tuu uliyotokana na mahusiano yenu ya zamani.
Daa dunia hii.
Jamaa amejieleza vyema sana tusilazimishe mambo yetu kwa watu.
 
Back
Top Bottom