Wanaume na Wanawake Tuepuke kuoa au kuoelewa na Wanawake au Wanaume wenye Ma Ex Wengi

Wanaume na Wanawake Tuepuke kuoa au kuoelewa na Wanawake au Wanaume wenye Ma Ex Wengi

Uko sahii,
Kuna maex walaaniwe wanazingua sana
Wanapenda mtu afu wakiacha a wanaacha legacy mbaya Sana itayoathiri mahusiano ya mwingine asiye na hatia

Mfano Mimi,
Nagombana sana na mpenz wangu mamaJ, sababu maex wake (almost wote)

Walikua mafala au tuwaite nice guy,
Yaan walimsikiliza Sana,kumpa attention na chochote kile atakacho kwa MDA atakao. Kwa kifupi aliwapelekesha Sana.

Sasa ile huo mfumo kategemea kuukuta pia kwangu, kakuta ndivyo sivyo.

Basi kila siku full tafrani,
Anatamani Sana kunibadilisha niingie Kwny mfumo wake ila inashindikana.

Tunagombana Sana
Kila Mara kulingisha na Maex wake
Ex wangu wa kichaga alinipelekesha hadi kuiona dunia chungu yaani ....

Popote alipo Mungu amlaani na kizazi chake chote yaani,,,, 😂😂😂
 
Uko sahii,
Kuna maex walaaniwe wanazingua sana
Wanapenda mtu afu wakiacha a wanaacha legacy mbaya Sana itayoathiri mahusiano ya mwingine asiye na hatia

Mfano Mimi,
Nagombana sana na mpenz wangu mamaJ, sababu maex wake (almost wote)

Walikua mafala au tuwaite nice guy,
Yaan walimsikiliza Sana,kumpa attention na chochote kile atakacho kwa MDA atakao. Kwa kifupi aliwapelekesha Sana.

Sasa ile huo mfumo kategemea kuukuta pia kwangu, kakuta ndivyo sivyo.

Basi kila siku full tafrani,
Anatamani Sana kunibadilisha niingie Kwny mfumo wake ila inashindikana.

Tunagombana Sana
Kila Mara kulingisha na Maex wake
Mkuu si umuachie aolewe na yeye
 
Wito wangu wanaume wenzangu,

Unapompenda mwanamke
jitahidi umjenge vizuri ila mnapoachana,
Uache legacy nzur kwa wanaume wenzako wanaofata,

wakipita nae kimoyo moyo wa-appreciate kua kweli Hapa Kuna jembe letu alipita.

Sio unakua mzinguaji unawaachia wenzio mitihani[emoji1]

Mi nawalaani maex wote wake mamaJ [emoji1787]
Hata wanawake pia,maana wanaume wengi wanapata shida,hawaamini wanawake Kwa sababu ya hao wanawake kuwa na tabia zisizo nzuri zinawafanya wanaume waone kila mwanamke mbaya...
 
Unakwenda kudate na mwanamke

Ambae aliezoeshwa na Maex wake kua kila baada ya sex au outing lazima apewe pesa ya kifuta jasho.

Wkt Wewe unaamini kumpa mwanamke pesa baada ya tendo au outing Ni sawa na kumnunua.

Basi atakuvumilia mwanzoni,
Yakimshinda ataanza kukuomba live umpe Ela, na sometimes anakudai kabisa
"Wee vipi Mbona umenilala ujanipa Ela?"
"Inamaana tumetoka out unaniacha mikono mitupu?"

Maswali Kama hayo Kama una jazba Sana
Unaweza tamana kurusha ngumi, au unavunja mahusiano kabisa.[emoji4]

Kumbe ni legacy inamsumbua
aliyoachiwa na mwanaume mwenzio aliepita nae akamzoesha hivyo [emoji1]
 
Hata wanawake pia,maana wanaume wengi wanapata shida,hawaamini wanawake Kwa sababu ya hao wanawake kuwa na tabia zisizo nzuri zinawafanya wanaume waone kila mwanamke mbaya...
Sahii kabisa,
Hi kitu inatafuna both ke&me[emoji4]
 
Unakwenda kudate na mwanamke

Ambae aliezoeshwa na Maex wake kua kila baada ya sex au outing lazima apewe pesa ya kifuta jasho.

Wkt Wewe unaamini kumpa mwanamke pesa baada ya tendo au outing Ni sawa na kumnunua.

Basi atakuvumilia mwanzoni,
Yakimshinda ataanza kukuomba live umpe Ela, na sometimes anakudai kabisa
"Wee vipi Mbona umenilala ujanipa Ela?"
"Inamaana tumetoka out unaniacha mikono mitupu?"

Maswali Kama hayo Kama una jazba Sana
Unaweza tamana kurusha ngumi, au unavunja mahusiano kabisa.[emoji4]

Kumbe ni legacy inamsumbua
aliyoachiwa na mwanaume mwenzio aliepita nae akamzoesha hivyo [emoji1]
Mkuu tunashukuru kwa nondo hizi...
Wengi wanajitoa ufahamu lakini haya yote ndio uhalisia na kila mtu mwanamme Kwa mwanamke wanakutana navyo
 
Wenye ma-ex wengi ndo wazuri, wana experience hata ukipiga chini haumii kiviile hadi roho ikuume.
 
wenye ma-ex weng ndo wazuri, wana experience hatavukipiga chini haumii kiviile hadi roho ikuume.
Usiombe ukutane na mwanamke ambaye ashaachwa sana,unaweza kuwa nae hata asiwe na hisia na wewe, visirani kila siku Kwa kuwa tu anamkumbuka Ex wake
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hapana Mungu ambariki kwa kutuwakilisha vyema
Mfano Amehlo
Unakutana na bwana alietoka kwny mahusiano na mwanamke mshirikina au aliemkosa kosa kumpa sumu afe.

Basi huyu kila ukimpakulia chakula
anamuita kwanza paka wako au mwanao kumuonyesha chakula ulichopika kabla hajala.

Kila ukimpa chakula anakuangalia Mara mbili mbili, hadi jikoni anakufungia camera[emoji1]
 
Mfano
Mwanamke unadate na mwanaume wa jf aliekwisha tapeliwa sana nauli zake

Basi huyu kila ukiwa mbali ukamwambia atume nauli,

jibu lake,
"Tumia nauli yako,ntakurudishia ukishafika"

Ukijibu Sina Ela, utaskia

"Au Panda Basi,nipe niongee na konda,tiketi yako ntalipia stendi uku ukishafika"

Yaani kwenda kuliwa mbususu,
Unafanya kubookiwa kwny Bus utadhani umekua furushi la machungwa[emoji3]
 
Mfano
Mwanamke unadate na mwanaume wa jf aliekwisha tapeliwa sana nauli zake

Basi huyu kila ukiwa mbali ukamwambia atume nauli,

jibu lake,
"Tumia nauli yako,ntakurudishia ukishafika"

Ukijibu Sina Ela, utaskia

"Au Panda Basi,nipe niongee na konda,tiketi yako ntalipia stendi uku ukishafika"

Yaani kwenda kuliwa mbususu,
Unafanya kubookiwa kwny Bus utadhani umekua furushi la machungwa[emoji3]
Hatari sana kaka.Watu wanakataa uhalisia lakini ndiyo ilivyo.
 
Nimejaribu kufanya utafiti wangu miaka mingi sana kuhusu mahusiano,Uchumba hadi ndoa.Na nikajua humu nikaona kampeni za vijana kuhusu kukataa ndoa.

Ila Kwa Hitimisho langu ni kwamba chanzo Cha Usaliti,heshima ndani ya Ndoa au hata kwenye Uchumba kutokuwepo inatokana na mtu kupitia mahusiano mengi kabla ya kuwa na mahusiano mapya au kuingia kwenye Ndoa.

Mfano; Kuna wanaume Leo yupo na Huyu atampa Sifa zake,Kesho yupo na Fulani pia atamchoka na kumkumbuka wa Nyuma.

Vivyo hivyo Kwa wanawake,unaweza ukawa nae ukamfanyia jambo Fulani asilipende akaanza kumbukumbuka wa nyuma na kuanza kukulinganisha,mwishoe usaliti na dharau ndipo zinapoanzia.

Ila ukibahatika kukutana na mpenzi ambaye ni mgeni kwenye sekta ya Mapenzi mtaheshimiana sana na kila Mmoja kuona thamani ya nwenzake.

Wanaume wenzangu Kwa wanawake tuombe tukatane wote wageni na tujifunze kila kitu Kwa pamoja.Unakuta upo na mwanamke anakwambia nishike hapa,mara oohh nifanye Kwa hivi,Daahh Huyu ujue lazima ashazoeshwa alikotoka huko..

Na Wanaume pia unakuta Upo na mwanamke unaanza kuona hakupi ulivyovizoea huko Nyuma,mara kufinyiwa Kwa ndani,sijui nini,Yaani vurugu tupu, Hapa lazima utaanza kumsaliti mke wako au mchumba wako.

Ndoa ni ibada,ndoa upate mtu sahihi,Ndoa sio Ngono,Kuna mengi ndani ya Ndoa.

Nawasilisha
Ni kweli kabisa. mwanamke hana usemi kwa EX wake ndo maana mnashauliwa kuoa bikira. Ndoa ni ya Mwanamke. Yeye ana uwezo mkubwa wa kutengeneza au kuvunja ndoa yake.
 
Mfano umchumbie mpenz ambae maex wake walopita walishamzoesha kinyume na maumbile.

Huyu hata umzamie chumvini lisaa
Na umfanye masaa 6 non stop, bila kumwendea kinyume na maumbile utaonekana bado ujafanya kitu.

Na ukizubaa anakuacha
au anakua na Wewe ila atachepuka na Maex wake waliomzoesha uko mlango wa uani kasababu Wewe umejifanya paroko[emoji4]
Eeeeebwana! Vijana mnakumbana na mambo makubwa kiasi hiki?
 
Back
Top Bottom