Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
🤣🤣🤣Tukisema kuoa mwanamke ambaye sio bikira ni Sawa na kuoa mke wa mtu tuwe tunaelewana,,
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Tukisema kuoa mwanamke ambaye sio bikira ni Sawa na kuoa mke wa mtu tuwe tunaelewana,,
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Hawa ni kukaa nao kikachero tuMfano Amehlo
Unakutana na bwana alietoka kwny mahusiano na mwanamke mshirikina au aliemkosa kosa kumpa sumu afe.
Basi huyu kila ukimpakulia chakula
anamuita kwanza paka wako au mwanao kumuonyesha chakula ulichopika kabla hajala.
Kila ukimpa chakula anakuangalia Mara mbili mbili, hadi jikoni anakufungia camera[emoji1]
Wengine hayo mautundu ndo tunayoyataka sasa. Shoo shoo
Yeah mafantasy na mautundu kunoga ndio yenyewe. Binafsi manzi asiye mtundu kitandani hata awe mrembo kiasi gani hanipi mzuka. Napenda sana hekaheka unamgeuza geuza kunako 6×6. Unapiga unainjoiMI fantasy au sio ?
Huko ni kuhangaika mwanetuYeah mafantasy na mautundu kunoga ndio yenyewe. Binafsi manzi asiye mtundu kitandani hata awe mrembo kiasi gani hanipi mzuka. Napenda sana hekaheka unamgeuza geuza kunako 6×6. Unapiga unainjoi
Bad girls kitandani wanayaweza hayo. Mwanamke gogo unapiga tu ile basi. Manzi anayejua foreplay na mautundu 💯Huko ni kuhangaika mwanetu
Ukipata demu anajua jukumu lake kitandani unaenda rounds za kutosha na utafurahia tendo lenyewe.Huko ni kuhangaika mwanetu
Duuuh,DeepPond na mamaJ,usingo comment huu Uzi unge deletiwa.Uko sahii,
Kuna maex walaaniwe wanazingua sana
Wanapenda mtu afu wakiacha a wanaacha legacy mbaya Sana itayoathiri mahusiano ya mwingine asiye na hatia
Mfano Mimi,
Nagombana sana na mpenz wangu mamaJ, sababu maex wake (almost wote)
Walikua mafala au tuwaite nice guy,
Yaan walimsikiliza Sana,kumpa attention na chochote kile atakacho kwa MDA atakao. Kwa kifupi aliwapelekesha Sana.
Sasa ile huo mfumo kategemea kuukuta pia kwangu, kakuta ndivyo sivyo.
Basi kila siku full tafrani,
Anatamani Sana kunibadilisha niingie Kwny mfumo wake ila inashindikana.
Tunagombana Sana
Kila Mara kulingisha na Maex wake
I think i fall for your type.Mchumba wa kazi gani shem shem [emoji3][emoji3][emoji3]
Deep pond bana,kama booking ya mzigoMfano
Mwanamke unadate na mwanaume wa jf aliekwisha tapeliwa sana nauli zake
Basi huyu kila ukiwa mbali ukamwambia atume nauli,
jibu lake,
"Tumia nauli yako,ntakurudishia ukishafika"
Ukijibu Sina Ela, utaskia
"Au Panda Basi,nipe niongee na konda,tiketi yako ntalipia stendi uku ukishafika"
Yaani kwenda kuliwa mbususu,
Unafanya kubookiwa kwny Bus utadhani umekua furushi la machungwa[emoji3]
Don’t dare my friendI think i fall for your type.
huyu hajachwa vya kutosha.!Usiombe ukutane na mwanamke ambaye ashaachwa sana,unaweza kuwa nae hata asiwe na hisia na wewe, visirani kila siku Kwa kuwa tu anamkumbuka Ex wake
Pole..🤭🤭😂 mara 1
Kilichonikuta sirudii
Kabisa mkuu,Deep pond bana,kama booking ya mzigo
Tendo la ndoa ni sanaa broo, kuna wanaume wanakojoza mwanamke bila kuingiza dyudyu sasa ww endelea kulialia eti ooh amepita kwingi, kua m.bunifuu hata bikra ukimpata ana maeneo ukigusa utamfurahisha.Nimejaribu kufanya utafiti wangu miaka mingi sana kuhusu mahusiano,Uchumba hadi ndoa.Na nikajua humu nikaona kampeni za vijana kuhusu kukataa ndoa.
Ila Kwa Hitimisho langu ni kwamba chanzo Cha Usaliti,heshima ndani ya Ndoa au hata kwenye Uchumba kutokuwepo inatokana na mtu kupitia mahusiano mengi kabla ya kuwa na mahusiano mapya au kuingia kwenye Ndoa.
Mfano; Kuna wanaume Leo yupo na Huyu atampa Sifa zake,Kesho yupo na Fulani pia atamchoka na kumkumbuka wa Nyuma.
Vivyo hivyo Kwa wanawake,unaweza ukawa nae ukamfanyia jambo Fulani asilipende akaanza kumbukumbuka wa nyuma na kuanza kukulinganisha,mwishoe usaliti na dharau ndipo zinapoanzia.
Ila ukibahatika kukutana na mpenzi ambaye ni mgeni kwenye sekta ya Mapenzi mtaheshimiana sana na kila Mmoja kuona thamani ya nwenzake.
Wanaume wenzangu Kwa wanawake tuombe tukatane wote wageni na tujifunze kila kitu Kwa pamoja.Unakuta upo na mwanamke anakwambia nishike hapa,mara oohh nifanye Kwa hivi,Daahh Huyu ujue lazima ashazoeshwa alikotoka huko..
Na Wanaume pia unakuta Upo na mwanamke unaanza kuona hakupi ulivyovizoea huko Nyuma,mara kufinyiwa Kwa ndani,sijui nini,Yaani vurugu tupu, Hapa lazima utaanza kumsaliti mke wako au mchumba wako.
Ndoa ni ibada,ndoa upate mtu sahihi,Ndoa sio Ngono,Kuna mengi ndani ya Ndoa.
Nawasilisha
Heeeee😳Sio kitu kizuri kumwambia mwanamme wako akufanye hivi,ni Bora mfundishane,ila ukianza wewe akili yake lazima itampa picha Tofauti kabisa.
🤣🤣🤣💃🙌Tendo la ndoa ni sanaa broo, kuna wanaume wanakojoza mwanamke bila kuingiza dyudyu sasa ww endelea kulialia eti ooh amepita kwingi, kua m.bunifuu hata bikra ukimpata ana maeneo ukigusa utamfurahisha.