Wanaume na Wanawake Tuepuke kuoa au kuoelewa na Wanawake au Wanaume wenye Ma Ex Wengi

Hawa ni kukaa nao kikachero tu
 
Yeah mafantasy na mautundu kunoga ndio yenyewe. Binafsi manzi asiye mtundu kitandani hata awe mrembo kiasi gani hanipi mzuka. Napenda sana hekaheka unamgeuza geuza kunako 6×6. Unapiga unainjoi
Huko ni kuhangaika mwanetu
 
Huko ni kuhangaika mwanetu
Ukipata demu anajua jukumu lake kitandani unaenda rounds za kutosha na utafurahia tendo lenyewe.

Sisi wanaume tunaambiwa hatuna nguvu za kiume sijui kimoja chali hawa wadada wakiwa sio watundu wanachangia sana hilo.
 
Duuuh,DeepPond na mamaJ,usingo comment huu Uzi unge deletiwa.
 
Deep pond bana,kama booking ya mzigo
 
Kwani pana kipimo cha kujua hio idadi kitusaidie
 
Tendo la ndoa ni sanaa broo, kuna wanaume wanakojoza mwanamke bila kuingiza dyudyu sasa ww endelea kulialia eti ooh amepita kwingi, kua m.bunifuu hata bikra ukimpata ana maeneo ukigusa utamfurahisha.
 
Unadate na binti
Ex wake Alikua mzee wa show show

Nyie wote mtakaofata
Mtateswa sana na legacy ya ex wake

Usipokua fit
Utapiga binti hours bado haridhiki mpk utajihisi labda huna Nguvu za kiume

Utaanza kubugia energy,diclopa,alkasusu,konyagi ,mikono n.k mpk mwisho wa siku unaua Figo yako ukitafuta kumridhisha mpenz wako aliezoeshwa vby na ex wake[emoji4]
 
Tendo la ndoa ni sanaa broo, kuna wanaume wanakojoza mwanamke bila kuingiza dyudyu sasa ww endelea kulialia eti ooh amepita kwingi, kua m.bunifuu hata bikra ukimpata ana maeneo ukigusa utamfurahisha.
🤣🤣🤣💃🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…