Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unavyoona ninavyojichanganya kwenye comments huko na watu basi unahisi mimi maharage ya mbeya au barabara kila mtu ananikanyaga sio.manina kijana tulia utanitoa kwenye reli mda si mrefuNikinywa maji nakuona kwenye kikombe!
Mbona unahasira! Wamekufanyaje..?Kwahiyo unavyoona ninavyojichanganya kwenye comments huko na watu basi unahisi mimi maharage ya mbeya au barabara kila mtu ananikanyaga sio.manina kijana tulia utanitoa kwenye reli mda si mrefu
Inategemea na ubize wa kazi zake zipoje?Nature ya kazi zake anazofanya.Hivi inawezekana ukampenda mtu na usiwasiliane naye? Yaani ikapita siku tatu mpaka week? Inawezekana mwanamke unayempenda usitake kumjulia hali?
Naombeni tu mnisaidie hili jibu
Mtu anakwambia anakupenda ila ukijikausha usimtafute wewe anaweza asikutafute mpaka week anakucheki tena kuna ukweli hapo?
Ngoja nikutishe..
Hivi inawezekana ukampenda mtu na usiwasiliane naye? Yaani ikapita siku tatu mpaka week? Inawezekana mwanamke unayempenda usitake kumjulia hali?
Naombeni tu mnisaidie hili jibu
Mtu anakwambia anakupenda ila ukijikausha usimtafute wewe anaweza asikutafute mpaka week anakucheki tena kuna ukweli hapo?
🥂Bye..🖐
Unataka kupendwa unataka kupigiwa simu?
Kumbe unaogopa kuchambwa!Tumeulizwa wanaume we na michepele yako umekurupuka tu huko..
Ila usinichambe..[emoji12][emoji120]
Maya Angelou Hama huko haraka sana, njoo huku kupitia DM.
[emoji28][emoji28][emoji28]mimi ni aina ya mwanamke ulie describe hapo juu ndio maana ni wale watu mtu anasema wakorofi it’s hard to tame me,so definitely aina yetu tupo hatuangukii kwenye majority
Kama Kuna mtu umemwandikia huu ujumbe ningekushauri kitu anae mtu wake atakae muwezea hakuwa wako,it’s okei songa mbele chief
He is very smart katika hao wachache ndio nimemjumuisha hapo,am not a very easy person to handle ila yeye ameweza alafu hatumii nguvu sijui nikuelezeje ila jua tu kila mtu ana mtu wake ana match nae haitumii nguvu vitu vinaenda tu
Mi napita tu
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Duh umenichanganya hio paragraph ya mwisho[emoji848]