DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Wanaume chanzo cha singomamaza😮
Wanaume chanzo cha mashoga🙄
Wanaume kichwa cha familia🙏
Wakiamua wanaume kubadilika hizi shida zinaisha
Maombi yetu hata leo Mungu awabadilishe
Ndo maana nimezungumzia kuwa mtu akijua KUTOFAUTISHA speed na direction lazima tatizo liishe maana ukiwa subra utasubiri Hadi upate mme Bora na sahihi sasa eti Mtu anasema umri umeenda au kisa anapewa vitu vidogo Kama Kodi na chakula Basi anazaa tu huku akiwa anajua Kabisa Mambo sio marahisi haraka ni ya SHETANI tu.Single maza wengi wa sikuhizi ni zao la ukosefu wa akili. Mtu anajua kabisa kwamba hapendwi ila anajibebesha mimba makusudi. Akishazaa na mtu ambaye hampendi anakuwa mistreated mwisho anaachika bila kuolewa.
Wengine ndio hao anazaa na mume wa mtu kisa njaa zake za kiboya. Anainjoy kulipiwa kodi na kupewa ela za saluni. Anajihisi nae ni mke wa pili anabeba mimba huduma zikikata analia lia noki.
Sawa mkuu basi nikifika ntakucheck,Bongo tutarudi kutembea na kuzikwa.
Safi sanaYes Mkuu,
Binafsi ile moment Mtu anaolewa ndani ya madhabau , huku akiwa bikra ni Jambo Ambalo linafurahisha Sana .
Sometimes natamani Sana kuona moments Ambazo ni unforgettable zikitokea katika Maisha ya watu before his/her Death
It better late and make perfectly
My bro got married marrige at the age of 35 na mke wake she was around 30 yrs niseme tu my bro ni real God fearing Sana so alitumia Muda mrefu kusoma na kujitafta kiroho Hadi kimwili sahivi yupo na 43 yrs he has three kids .
Niseme ndoa Yao imefungwa 2014 so ni moja ya ndoa Bora Sana hapa TANZANIA zilizotulia.
Niseme we need to mentor peoples about to focus on direction na sio speed all we need , ni utulivu wa Mwili roho na Akili.
Unakimbilia kuzaa eti unakimbizana na Muda unaishia kuwa single mother
Au Mwanaume unatia Mimba bila kuoa huku wewe mwenyewe huna pesa za kujihudumia na kuhudumia mtoto , haraka ni ya SHETANI tu .
To be matured is to know what to keep and what to throw.
Single mothers are supposed to be used as study case kuonesha kuwa life is not simple on Ground.
Tusiwatenge tuwatumie Kama mifano na tuwape tumaini jipya la kuishi katika Usafi wa Roho , Matendo na Mwili.
Na nyie acheni kuwaroga wanaume.Wanaume chanzo cha singomamaza😮
Wanaume chanzo cha mashoga🙄
Wanaume kichwa cha familia🙏
Wakiamua wanaume kubadilika hizi shida zinaisha
Maombi yetu hata leo Mungu awabadilishe
Sawa mkuu basi nikifika ntakucheck,
Wanasahau kuwa hujafa hujaumbikaMwanamke kafiwa na baba watoto wake unategemea nini? Kwanini uje hapa JF kuwatukana na kuwasimanga single mothers?
Hebu tujaribu kuvaa viatu vyao, kwa kiasi kikubwa single mothers ni matokeo ya kutokuwajibika kwetu, licha ya kwamba kuna wanawake wengine ni pasua kichwa sana, hadi ni ngumu kuishi nao
KumbeKuna zingine ni laana za ukoo
YesKumbe
Umetulizwa na mnyaki mwenzio basi mapenzi yenu ni kubadilishana zawadi za maparachichi na ndizi😜acha ukorofi wewe!
Mi nipo na msukuma bhana,wanyakyusa siwawez kabisa aiseeUmetulizwa na mnyaki mwenzio basi mapenzi yenu ni kubadilishana zawadi za maparachichi na ndizi
KabisaUshoga ufala sana