Wanaume, nendeni kijijini mkaoe wadada ambao ni natural na fertile

Wakija wenyewe watakwambia "Mwanamke kujiremba mambo ya Natural waachie wizara ya Mali asili na Utalii"
Wasubiri.....
 
kwa sasa hakuna tofauti ya mjini na kijijini mkuu, % kubwa ya watu wanaowaharibu mapema mabint ni boda boda, vinyozi na walimu na haya makundi yapo pote mjini na vijijini, kwa sasa tofauti ya bint wa mjin na kijijin ni ushamba pekee na sio kutumika.
Tena kijijini ni hatari sana
 
Inabidi utoe ufafanuzi vijiji vya wapi ambako wewe unaona kunafaa. Maana kwa vijiji vya Lindi na Ntwara mambo ni tofauti kabisa, wamekubuhu kama wa mjini tu. Yaani ni pwaaa
 
Shangazi kama shangazi!
 
Kuna ukweli ndani yake .
Ni kweli asilimia 20 ya wadada wamjini wanazaa ,80 kweli wanashida.
Tofauti ya wadada wa siku hizi wote zeroo tu. Sio wa mjini au kijijini shida ukitaka kuolewa au kuoa mshirikishe Mungu
 
Hahahaaa.

Mfano hai kabisa
 
Kungwi...
Hivi kwani ili tumueke mdada group la wasiofaa tunaangalia sifa zipi au akiwa ametembea na wanaume wa 5 tayari hafai.. Au kuanzia wanaume wangapi anakuwa hafai tena??
 
Umeolewa ?

Naona umeandika vya maana sana.
 
sasa huyo si ashatoka kijijini
 
Ina mana hapa kama ni gari unazungumzia itakuwa na millage kubwa,kama ni IST unakuta imetembea km 210,000 na kuendelea...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…