my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
- Thread starter
- #21
Wahuni kna nani?Utakuja kujua tu kua hujui , ngoja tu wahuni tuungane tukuzingue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni kna nani?Utakuja kujua tu kua hujui , ngoja tu wahuni tuungane tukuzingue
We mwenyewe unaombagaWanawake mnaomba sana mpaka mnaboa....jaribu kidogo kuficha dhiki zako..
Umeandika nn?Ila πye¶e mbaya sana aiseeee....🤓🤭
Wee mwenyewe unanuka njaa apo ulipo mpk uku nmesika harufuNjaa ni mbaya sana.
Umalaya ndo nn?Umalaya uko wa aina nyingi mno
Tangia nianze kudate kwa kutaka mwenyewe sijawai kudate mtu mweusiYani wewe huwa una date na wazungu na waarabu tu? Hongera una nyota nyeupe mkuu.
Kabla ya hapo ulikuwa unabakwa?Tangia nianze kudate kwa kutaka mwenyewe sijawai kudate mtu mweusi
Lord eyezHuwezi mfananisha na gube gube la kutega wazungu huwezi kumkalisha na akina dada wa majungu
Kwahiyo ma ex wako wote uwa wanakutumiaga pesa au huyo Mmisri tu maana umewasifu wanaume weupe kwa ujumla wao.Tangia nianze kudate kwa kutaka mwenyewe sijawai kudate mtu mweusi
Unajua si kwamba wanaume hawataki kuhudumia. Ila mtu mmejuana 3 days, tayari anaomba umnunulie simu, daily ni vibomu vya kula, mara baby nataka nguo.. all in 3days?Wanawake mnaomba sana mpaka mnaboa....jaribu kidogo kuficha dhiki zako..