Wanaume ngozi nyeupe wapo tofauti sana

Wanaume ngozi nyeupe wapo tofauti sana

Kwa mwengine pesa sio kila kitu kwake akiwa nazo. Ili mradi tu mmeachana na mnaendelea kuwa marafiki ukiwa na shida ya pesa anakusaidia
 
Pale embe la buku linapolipiwa 100,000/-

Embe lenyewe linajishangaa, mimi!!laki!!!kwa thamani ipi!!!
 
Bado Hujazaa tulia wakuzalishe kama utaendelea kuona wanakua wapole hivohivo
 
Nipo nae hapa anashangaa wanawake weusi mpojee ndo nawatetea hapa namwambia sio wote ni wewe tu ndo hauna akili nzuri
 
Yaani hapo nimeona kila aya ni pesa pesa pesa tu. Kweli madem wa kiswahili ni kama Yuda Iskarioti.
Unawajua waarabu ww? Utakuja zibuliwa choo.
 
Umasikini wako ndio umekufanya uwaze hayo yote...hongera sana maana umewaza kwa tumbo
 
Kwahiyo pesa na zawadi ndo zinakufanya umuone wa tofauti!!!?

Tafuta pesa zako acha kuwa tegemezi
Siku ukiamka mbususu haipo utaishije?

[emoji23] Yaani hajaona sehemu nyingine za maisha ni pesa tuu.....

Jamaa angekuwa hana pesa asingeons utofauti, halafu mnasema wanawake ndio dada zenu na mama zenu, hakika dada zangu na mama yangu hawana akili hizi.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kuna mkaka anatokea misri nilikua kwenye mahusano nae tulidumu miaka 3 halafu tukaachana. Tulivoachana atukuachana vizur lkn baadae tukayamaliza tukawa tunawasiliana km marafiki wa kawaida mpk sasa. Mara ya mwisho kuonana nae ilikua 2019 mwshoni. Tumeachana lakin kla mwaka ananitumia zawadi siku yangu ya kuzaliwa. Mwaka jana nilikua na tatzo nikampigia sim akantumia pesa zaidi ya niliotaka. Baada ya apo tukawa tunaendelea na mawasiliano yetu yakirafiki ya kawaida.
Wanaume wote mbona tjo hvo, wastaarabu, wapole, makini na hatuchepuki kabisaa!!au nasema uongo wanaume wenzangu??
 
Hapa ndipo wanaume tunapata hasira ndio maana moto tunaouwashaga ni balaa
 
Usifurahie vya bure bure uzi unaonesha wazi jinsi ulivyofurahi kupewa hela wakati pengine ata wewe mwenyew unaweza kuipata ukijizoesha sana mambo haya mwishoa wake unakuwaga ni mbaya dunia kuna watu wakila namna shukuru huyo hana lengo baya
 
Akili zingine hzi...
Endelea kumwomba, ni mpole na hela zake n za kuchezea
 
Back
Top Bottom