Wanaume ngozi nyeupe wapo tofauti sana

Kwa mwengine pesa sio kila kitu kwake akiwa nazo. Ili mradi tu mmeachana na mnaendelea kuwa marafiki ukiwa na shida ya pesa anakusaidia
 
Yaan kwa upumbavu huu tayar uzi. Siuseme uko sokoni wadau watangaze dau
 
Pale embe la buku linapolipiwa 100,000/-

Embe lenyewe linajishangaa, mimi!!laki!!!kwa thamani ipi!!!
 
Bado Hujazaa tulia wakuzalishe kama utaendelea kuona wanakua wapole hivohivo
 
Nipo nae hapa anashangaa wanawake weusi mpojee ndo nawatetea hapa namwambia sio wote ni wewe tu ndo hauna akili nzuri
 
Yaani hapo nimeona kila aya ni pesa pesa pesa tu. Kweli madem wa kiswahili ni kama Yuda Iskarioti.
Unawajua waarabu ww? Utakuja zibuliwa choo.
 
Umasikini wako ndio umekufanya uwaze hayo yote...hongera sana maana umewaza kwa tumbo
 
Kwahiyo pesa na zawadi ndo zinakufanya umuone wa tofauti!!!?

Tafuta pesa zako acha kuwa tegemezi
Siku ukiamka mbususu haipo utaishije?

[emoji23] Yaani hajaona sehemu nyingine za maisha ni pesa tuu.....

Jamaa angekuwa hana pesa asingeons utofauti, halafu mnasema wanawake ndio dada zenu na mama zenu, hakika dada zangu na mama yangu hawana akili hizi.
 
Reactions: Cyb
Wanaume wote mbona tjo hvo, wastaarabu, wapole, makini na hatuchepuki kabisaa!!au nasema uongo wanaume wenzangu??
 
Hapa ndipo wanaume tunapata hasira ndio maana moto tunaouwashaga ni balaa
 
Usifurahie vya bure bure uzi unaonesha wazi jinsi ulivyofurahi kupewa hela wakati pengine ata wewe mwenyew unaweza kuipata ukijizoesha sana mambo haya mwishoa wake unakuwaga ni mbaya dunia kuna watu wakila namna shukuru huyo hana lengo baya
 
Akili zingine hzi...
Endelea kumwomba, ni mpole na hela zake n za kuchezea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…