Wanaume ni kwamba hamtakagi kupendwa ama ni nini?

Learn kuhusu Love bombers, Learn kuhusu consistency kwenye mapenzi. Ndio maana ni vizuri mwanzo wa mapenzi kumwambia mtu asiover-promise, over-do na vitu kama hivyo, ili ikusaidie kumanage expectations zako na kumfanya atambue kuwa anachofanya si sahihi na atashindwa kumaintain, hence migogoro.

Kutambua afya ya akili ya huyo mwenza wako, ni jambo la msingi sana, unless na wewe afya ya akili yako ina mushikeli, uko wa baridi/don’t care/mr/miss“everything is okay”

To a narcissist, everything is about him/her, Akishafanikiwa kukufungamanisha nae anakuacha hapo uhangaike nae, apate supplies alizokuwa anazihitaji, moja ya supply hizo inaweza tu kuwa ni “kuboost ego yake”. Some of them wanafanya hivyo kwa utambuzi, wengine hawajitambui.

Watu wengi watalieleza hili kwa maneno mepesi, ila ni jambo la kitaalamu. Sijui kwanini hii elimu huku kwetu tumenyimwa, ndio maana watu wengi hawawezi kuwa single, ni bora ajifungamanishe na mtu ili mradi tu awe na mtu, Ukijifunza mengi utagundua lots of people ni wagonjwa/changamoto ya afya ya akili.

Tutalaumiana bure, tunalaumu wagonjwa 😂😫😭🤭
 
hizo mbwembwe tunazitaka hata kama tumeshanyonyesha watoto 10, nini 2 years..??
 
Mi ni yule jeuri kwanzia mwanzo wa mahusiano kabla hata sijakutongoza , nikikutafuta leo nakusalimia, kesho nakusalimia keshokutwa nakusalimia, baada ya hapo nakuskilizia na wewe unianze salamu ukinikaushia na mimi nakukaushia jumla, ukilipa salam kwa kunianza kama mimi navyokuanza ndo naanza kupanga mashambulizi
 
Kwa mimi binafsi msichana akitarajia nimpigie simu zaidi ya asubuhi na jioni na pengine meseji moja mchana nikikumbuka , ajue sitaweza zaidi ya hapo
Sijui nifanyaje lakini hapo ndio mwisho wangu
Unakuta mwingine unakua unatafutwa usiku tu wakati mwanzon ilikua kama dose
 
M
Apenzi yanauma asikwambie mtu mkuu
 
Men are hunters by nature..!!

Huo muda wanahamishia chimbo jingine kufanya campaign, huwa wanadai hawataki tactics zao za kutongoza zipungue makali, hivyo wanazifanyia mazoezi..!!😂😂
Tunaita searching for the next “victim”.

Asante Sis umeiweka kwa maneno rahisi sana.

Jambo la ajabu ni kuwa hata wanawake wanafanya haya, “kwa namna yao”.
 
miss mariaaah,maisha ya sasa acting ni nyingi sana kuliko uhalisia,jamaa bado hatahanauhakika km unampenda mbaya zaidi mwanaume hutamani and mwanamke hupenda ndio maana inachukua muda mrefu msichana kumpenda mtu but mwanaume akimuona tu msichana tayari amempenda/mtaka kimapenzi hapo hapo kwa sbb ya utamaa alionao
 
Kwa mimi binafsi msichana akitarajia nimpigie simu zaidi ya asubuhi na jioni na pengine meseji moja mchana nikikumbuka , ajue sitaweza zaidi ya hapo
Sijui nifanyaje lakini hapo ndio mwisho wangu
Hii ni sawa kabisa.
 
Tunaita searching for the next “victim”.

Asante Sis umeiweka kwa maneno rahisi sana.

Jambo la ajabu ni kuwa hata wanawake wanafanya haya, “kwa namna yao”.
mrembo wangu,
Hii dunia imekuwa ni uwanja wa fujo, nadhani hakuna kiumbe kilikuwa kitiifu na kinyenyekevu kama mwanamke, wanaharibu wenyewe, kisha wanatugeuzia vibao sisi tena..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…