🤣🤣🤣Wii wew kiboko nitakuja unifundishe umafiaTulizinguana hiyo siku hasira nikapasua simu yake, akajifanya jeuri akatoka nikamfata, akaingia kwenye gari nikatafuta mjiwe nikavunja kioo 🤣🤣🤣
Alivyotoka nikakimbia, baadae nikampigia video call aone nguo zake ninavyozichoma moto 😹😹
Mwanaume mwenyewe mfupi km kikombe cha kahawa halafu anisumbue Mxieeeeww
Yah nipe nikupe 😁Nyie si mnasema mnapenda pochi ? Na sisi tunapenda kipochi manyoya , ubaya ubwela 😉
KabisaYah nipe nikupe 😁
Chase ni usifukuzie kwa lengo la kukipata ila hii formula inakuwa applied katika every day life kwa wanaume wakati wa kumtongoza mwanamkeNi kweli wajuzi wanasema
Don't chase instead attract him/her
Usikimbize kitu kinachokimia huwez kukipata kamwe bali kivute
Ni Somo pana sana
🤣🤣🤣Wee,sema kweli🤭Nyie si mnasema mnapenda pochi ? Na sisi tunapenda kipochi manyoya , ubaya ubwela 😉
😅😅😅 wanatuona km watoto😂😂
Hawa wanaume wetu ni basi tu ndiyo washakuwa wetu ila wana vituko mno..!!
Hata unapohis unampenda mtu sana kumpa attention kupitiliza ni kumpotezea mazimaChase ni usifukuzie kwa lengo la kukipata ila hii formula inakuwa applied katika every day life kwa wanaume wakati wa kumtongoza mwanamke
😂😂😅😅😅 wanatuona km watoto
Ndio hivyo,pesa mbele kama tai. Kutongoza na upendo tupa kule😁🤣🤣🤣Wee,sema kweli🤭
🤣🤣Hili balaa aiseeNdio hivyo,pesa mbele kama tai. Kutongoza na upendo tupa kule😁
Utaweza?🤣🤣🤣Wii wew kiboko nitakuja unifundishe umafia
Huwa haujutii 😃Utaweza?
Kuna muda hasira zikizidi navunja mpk simu yangu 😂😂😂
Wanasema wanawake wakipenda wanapenda mmoja ila wakichukizwa na mmoja wanachukia wanaume wote. By the way Wengine hatujaoa kwahyo hatuna ufahamu wa kutosha juu ya hilo. Bas njoo nikuoe naamini si wanaume wote wapo hivyoUnakuta Mwanaume mwanzoni mwa ndoa au mahusiano anakua na juhudi sana na wewe utapigiwa sana message kwa sana mawasiliano asubuhi mchana jioni attention kwa sana the moment tu mwanamke ameanza tu ku reciprocate the love ni kama anakua ameharibu.
Mwanaume huyo anaanza kurelax juhudi zinapungua message zinapungua calls zinapungua zile mbwembwe alizokua anafanya anaacha kwanini inakua Ivo Wanaume nikwamba hataki mpendwe ama maana mkishapendwa na mkajua mnarudi nyuma. Tufanyaje wanawake tushaurini🥺🥺
Baadae mwenyewe ataleta nyingine 😂😂Huwa haujutii 😃
Kuepusha yote haya sjui attention, download ile application ya autoreply, Add namba, Bot (AI) amchatishe weeee aone mbn moto ule ule kumbe mwamba upo mech ya ugenini🤣