kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Umefanywa kiburudisho 😀ngojeeni tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefanywa kiburudisho 😀ngojeeni tu
daahUmeliwa kimasihara nini? Chezea wewe!
nikipata nafasi hiyo we ngojaChukua mdudu wako mtupe kwenye majivu 😂😂
kabla ya yote,ndugu mtoa mada,umeshapigwa tukio?Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
bora ingekua hivyo nisingelalamaUmefanywa kiburudisho 😀
Asante[emoji23][emoji23][emoji23]
Sidhani wanaume kuwa kwao wadudu kunaweza kuwafikia wanawake ambao wao ni nyoka...
yeah bob...........mdudu anazaa mduduWanaume ni wadudu...[emoji3064][emoji3064][emoji3064] kamwe SIMBA hawezi kuzaa kima...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
wote si ni wamojaPole sana. Amekuumiza mwanaume mmoja. Kwanini uwachukie wote?
Atakua funzaHebu tuanze na baba yako ni aina gani ya mdudu? Mende au funza?
Uzi umekaa kimkakatiDisemba hii ukizama PM kisa nyuzi za design hii, unasombwa na maji. Akili kichwani roho mkononi
tukio la kihisiakabla ya yote,ndugu mtoa mada,umeshapigwa tukio?
ni tukio gani hilo
angekua hai angekua sisimiziHebu tuanze na baba yako ni aina gani ya mdudu? Mende au funza?
kwani nataka mwanaume sasaDisemba hii ukizama PM kisa nyuzi za design hii, unasombwa na maji. Akili kichwani roho mkononi
Pole sana bibie kwa kuliwa kimasihara!!!Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Kuna mtu mmoja alim- trust mtu mwenye hicho kiungo ndo maana wewe leo una existKikao cha mwisho tulikubaliana kwamba do not trust anything with a d1ck
Nafikiri hukuhudhuria hicho kikao that manzi
Nwei...pole
Tukisema ukweli tutawapataje sasa?sasa si mseme ukweli tangu mwanzo mtu aamue mwenyewe anakubali au anakataa
Kuna ule wimbo unaimbwa “huyu wa sasa akiniacha nitakufa masela”😂😂.I didn’t shed even a single tear!
Huyu wa sasa tukiachana ndio nitalia nife!
Lini mliacha kutuchukia??aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
Hahahaaaa. Kwa kweeli.Kikao cha mwisho tulikubaliana kwamba do not trust anything with a d1ck
Nafikiri hukuhudhuria hicho kikao that manzi
Nwei...pole