Kwa Tz huwezi kugombea nafasi ya juu ya uongozi kama huna mke halali wa ndoa.Sio kweli, maybe if you work with stupid people, uninyime deal kisa sijaoa? that's a bullshit, anajaribu kukumanipulate uishi anavyotaka, those are kind of people who i dont associate with.
Pengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.
Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1- Utelezi unapatikana kwa wingi mtaani.
2-Wanaweza mzalisha wadada kisha wakatunza mtoto/watoto
3-Kupika siyo ishu tena, siku hizi kuna vifaa kibao vimerahisisha mapishi(e.g rice cooker, electric boiler, n.k)
4- Kufua siyo tatizo kuna mashine za kuoshea.
5-Usafi wa nyumba kuna makampuni siku hizi ukitoa buku 30 nyumba inakuwa safi mwezi mzima
On top of that kuna mahusi gals na mahausi Boyz wanweza wakaajiriwa kufanya kazi na 2, 3, 4 na 5.
Ndiyo sababu wanauliza waoe kutafuta nn?
Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?
Kama tunaoa wanawake wa replace washing machine ,rice cooker, cleaner, nk basi hata kama mi ni mwanaume nashauri ubachellor uendeleePengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.
Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1- Utelezi unapatikana kwa wingi mtaani.
2-Wanaweza mzalisha wadada kisha wakatunza mtoto/watoto
3-Kupika siyo ishu tena, siku hizi kuna vifaa kibao vimerahisisha mapishi(e.g rice cooker, electric boiler, n.k)
4- Kufua siyo tatizo kuna mashine za kuoshea.
5-Usafi wa nyumba kuna makampuni siku hizi ukitoa buku 30 nyumba inakuwa safi mwezi mzima
On top of that kuna mahusi gals na mahausi Boyz wanweza wakaajiriwa kufanya kazi na 2, 3, 4 na 5.
Ndiyo sababu wanauliza waoe kutafuta nn?
Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?
Hakuna apendae kuwa single ni changamoto tu za kutokumpata mtu sahihiKwahiyo wasioyataka yoote hayo wako sahihi kuishi single?
Fedha,malezi mabovu zime ondoa maana ya Ndoa. Ukija huku social networks, 50/50,usawa wa kijinsia, wanaharakati nk ni maadui mkubwa wa ndoa.
Huko mbele litatimia lile neno la nabii Isaya,ukirudi huku kuna rundo la vijana ambao wamelelewa na mzazi mmoja, hawa ndio kabisa sio mabalozi wazuri wa ndoa na namba yao inakuwa kwa speed ya light.
Yes yes bro, you just nailed it. Yaani mimi ukifika ule muda wa kula, then namcheki wife na watoto wanakula wana furaha and then nagundua that is happening kwa sababu yangu mimi baba, kuna feeling siyo y kawaida.Jana nilikua nimekaa sebuleni na watoto pamoja na mama yaoo,, wenyewe wanakaa mji mwingine na ninao kaa mimi sababu ya kikazi.. Sebuleni palikua pazuri sana yaani ile feeling tu ya kuona we are together as a family cant be explained kwa kweli.... labda kama kuna migogoro ndio ndoa inakua chungu lkn kama mna amani raha ya ndoa huwezi ifananisha na chochote..
Hahahah umejibu kiligend sanaJoto la asubuhi,kuvalishwa pampas kwa wagonjwa wa stroke,kukumbushwa dawa za kisukari.sie wengine wazee wa kanisa bila mke unaonekana muhuni tu
Nina guarantee tu ya nikiugua atanifulia, mengine hakunaPengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.
Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1- Utelezi unapatikana kwa wingi mtaani.
2-Wanaweza mzalisha wadada kisha wakatunza mtoto/watoto
3-Kupika siyo ishu tena, siku hizi kuna vifaa kibao vimerahisisha mapishi(e.g rice cooker, electric boiler, n.k)
4- Kufua siyo tatizo kuna mashine za kuoshea.
5-Usafi wa nyumba kuna makampuni siku hizi ukitoa buku 30 nyumba inakuwa safi mwezi mzima
On top of that kuna mahusi gals na mahausi Boyz wanweza wakaajiriwa kufanya kazi na 2, 3, 4 na 5.
Ndiyo sababu wanauliza waoe kutafuta nn?
Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?
Hapo kwenye joto la asubuhi Mimi mwanamama tu nalipa kipaumbele wewe mwanaume unaruhusije usingleJoto la asubuhi,kuvalishwa pampas kwa wagonjwa wa stroke,kukumbushwa dawa za kisukari.sie wengine wazee wa kanisa bila mke unaonekana muhuni tu
Toa mfano wa dili linaloweka marital status kama contigency...?Kama Ni mzee wa dili na fursa,
Kina baadhi ya dili na fursa utazikosa Kwasababu hujaoa (yaan huaminiki)
Kuna wengine wakiugua wanaokimbiwa na wake zao mkuu. Kwahiyo hata hili ni 50/50Nina guarantee tu ya nikiugua atanifulia, mengine hakuna
Possibly umetoka kumaliza shule hivi karibuni, kama ulisoma Physics basi kuna kitu inaitwa MA ie mechanical advantage MA = fO/fiHebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?