Ndoa pia ni zaid ya hayo inafaida nyingi huwezi malizaAlie single Hawezi kusema system ya kupata utelezi ataipa sawa na mtu aliepo ndan ya ndoa Apo haina tofaut na mtu kuuliza kunafaida gani ya kununua gari akidai kua unaweza panda daladala au kunafaida gan kununua Tv kwamba kuna mabanda y video mwenye timamu ataona tofaut pia malanyingi watu hupata upendo wa kweli kutoka kwa wake zao hii huleta faida kadha wa kadha pamoja na kujenga familia ambayo mtashirikiana kuitunza na kukupa faraja
Hujawaelewa vijana wengi wanavyo dhani "wanazungumzia utelezi kwa sababu hili ni tendo pekee kuu linalo wakilisha ndoa na mapenz ndio maana huitwa tendo la ndoa au kufanya mapenz ila sio kama wanafikir kua ndoa ni utelezi tuu its just selection of main pointsFamily is the basic unit of any society.. A good family is made by father, mother and children..
Jamii yoyote imara msingi wake ni familia imara.. Familia inatokana na ndoa.. Katika familia tunategemea watoto
Wewe unaona ni kusudi la Mungu Hilo? Hizo ni Rehema za Mungu tuKuna watoto wangapi dunia hii waliozaliwa nje ya ndoa? Huo siyo uumbaji?
Hukulelewa na baba? Maswali haya yalipaswa kupatiwa majibu na baba yako sio mtu mwingine yeyote. AsantePengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.
Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1- Utelezi unapatikana kwa wingi mtaani.
2-Wanaweza mzalisha wadada kisha wakatunza mtoto/watoto
3-Kupika siyo ishu tena, siku hizi kuna vifaa kibao vimerahisisha mapishi(e.g rice cooker, electric boiler, n.k)
4- Kufua siyo tatizo kuna mashine za kuoshea.
5-Usafi wa nyumba kuna makampuni siku hizi ukitoa buku 30 nyumba inakuwa safi mwezi mzima
On top of that kuna mahusi gals na mahausi Boyz wanweza wakaajiriwa kufanya kazi na 2, 3, 4 na 5.
Ndiyo sababu wanauliza waoe kutafuta nn?
Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?
Watoto wa mitaani wengi waliozaliwa na mama changudoa na baba asiyejulikana wengi huwa na mawazo hayaPengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.
Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1- Utelezi unapatikana kwa wingi mtaani.
2-Wanaweza mzalisha wadada kisha wakatunza mtoto/watoto
3-Kupika siyo ishu tena, siku hizi kuna vifaa kibao vimerahisisha mapishi(e.g rice cooker, electric boiler, n.k)
4- Kufua siyo tatizo kuna mashine za kuoshea.
5-Usafi wa nyumba kuna makampuni siku hizi ukitoa buku 30 nyumba inakuwa safi mwezi mzima
On top of that kuna mahusi gals na mahausi Boyz wanweza wakaajiriwa kufanya kazi na 2, 3, 4 na 5.
Ndiyo sababu wanauliza waoe kutafuta nn?
Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?
Nenda kadukue tena utapata jawabu sahihiKwa hiyo wote sisi tutagombea urais,sio kweli unagombea ila utapewa limwanamke liwe first lady
Kwahiyo wewe umeoa /umeolewa kwa kufuata mkumbo tu. Hata hukuchukua muda wa kujifukiza faida za ndoa? Pathetic!Hukulelewa na baba? Maswali haya yalipaswa kupatiwa majibu na baba yako sio mtu mwingine yeyote. Asante
Anafanya kazi kwa gharama nafuu. Ushauri bila hata kuuliza, kupika, kufua, kunipa nanhii (sihitaji kununua machangu), kulea watoto wetu, huniliwaza nikivurugwa, ni mtafutaji (mimi nikiwa busy kazini, yeye busy na kijiwe chetu).Kampani, uroda, heshima, stutus, malezi ya watoto, familia, utulivu wa mwili na akili, mlezi
Duuh! Maelezo mengi lkn pumba tupu. Taja faida ya ndoa moja kubwa isiyoepukika tukuelewe. Acha kubwabwajaWatoto wa mitaani wengi waliozaliwa na mama changudoa na baba asiyejulikana wengi huwa na mawazo haya
Changudoa allies mwanawe machangudoa peke yake na baba mtoto waliyekutana uchangudoani aliyeyuka hewani au hausomewi basi na mitoto akizaa huwa na mentality hiyo hiyo kuwa huhitaji mume au mke
Familia imara zenye upendo wa shati.kwa watoto na zilizowalea vizuri watoto tamanio lao kubwa wakijua ni kuoa au kuolewa
Lakini watoto wa machangudoa neno kuoa au kuolewa ni.msamiati usiokuwemo vichwani mwao
Tatizo lako hapa ni background yako.Hahitajiki mtaalamu wa saikolojia kukujua maisha ya nyuma uliyoishi.Maelezo yako yanajitosheleza kukujua wewe ni nani
Mahouse gelo wanafanya kazi kuanzia 1,2,3,4 na 5. Houseboy kuanzia 2 mpaka 5. Japo wapo wanaofanya hata 1🤣🤣🤣🤣Pengine majibu ya swali hili yanaweza kuwavutia wanaume waliyo single kuamua kuoa na hivyo kupunguza tatizo la wadada wanaotaka kuolewa kukosa waume.
Wanaume walio single ukiwauliza wanasema:
1- Utelezi unapatikana kwa wingi mtaani.
2-Wanaweza mzalisha wadada kisha wakatunza mtoto/watoto
3-Kupika siyo ishu tena, siku hizi kuna vifaa kibao vimerahisisha mapishi(e.g rice cooker, electric boiler, n.k)
4- Kufua siyo tatizo kuna mashine za kuoshea.
5-Usafi wa nyumba kuna makampuni siku hizi ukitoa buku 30 nyumba inakuwa safi mwezi mzima
On top of that kuna mahusi gals na mahausi Boyz wanweza wakaajiriwa kufanya kazi na 2, 3, 4 na 5.
Ndiyo sababu wanauliza waoe kutafuta nn?
Hebu fungukeni faida kuntu mnayopata kwenye ndoa. Ni ipi?