Wanaume, siyo wakati wote ni wa kuwalaumu wanawake, kuna wakati sasa ni wa kuutumia 'uanaume' wenu


Dha, umenigusa sana. Mimi ni mwanamke submissive na kwa kipato Nipo vizuri mno. Nilimuheshimu sana ex wangu mpaka na magoti kwa heshima zote. Kumbe yeye akaniona zamwamwa [emoji28][emoji28] alikuwa ananidharau, kunitukana etc . Nilipochoka hakuamini aliyoyapata. Tujifunze kuto take people for granted.
 
Dunia iko busy kumuinua mwanamke na kuacha kumuwezesha kijana wa kiume namna ya kuishi na huyu mwanamke aliyeinuliwa.
Imefika hatua vijana wa kiume wanawaogopa Hawa wanawake kwani wamekuwa wajeuri, wakorofi na majivuno kibao.
Wamefikia hatua ya kuamua kulelewa na majimama yaliyoinuliwa.
Na wengine wanaona Bora kuwa jinsia ya kike kwani wanatetewa zaidi kuliko kuwa mwanaume.
Ndio Hawa wamekimbilia kwenye ushoga na transgender na wanatetewa kweli.
Tuwafundishe na kuwapa watoto wetu wa kiume ego ya kuwa wanaume. Wajue kuwa baba ndiye aliumbiwa kuwa msemaji wa familia.
Mwanaume unatakiwa kutafuta chochote na kurudisha nyumbani.
Sio unakaa tu ndani unasubiri uletewe na mwanamke.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Tatizo kuelewa na hapo ndipo zinapo kuja style mbalimbali za kumwelewesha, mwengine atajaribu kuongea na muelewesha na kama akimuona hamuelewi anamwacha.

Mwengine atamwelewesha na kama hamuelewi ndipo ataanza kumfumua, sasa hapo kwenye kumfumua ndipo baadae tunasikia kamvunja, kamuua nk.

Na wengine wana kuelewesha wakiona huelewi bado ni kiburi haangaiki na wewe anatafuta nyumba ndogo itakayo muheshimu maisha yana endelea, kwenye nyumba mnakaa kulea watoto ila upendo kati yenu hamna.
 
Point kuu Ipo mwishoni
 
Unajua 'kuonyesha uanaume' ikiwa mke atabadilika?
Maana yake ni hii;
1. Kuwa na nyumba ndogo kali zaidi ya mke AU
2. Kuachana na mke.

Sasa muamue wenyewe, mwanaume abakie kulalamika tu, ama auonyeshe huo uanaume wake.
 
Dunia hutengeneza tatizo Liwe fursa.


Wenzako wanajipanga kuanzisha miradi ya saidia mtoto WA kiume miaka ijayo
 
Ukishakua mwanaume, haya mambo mengine hayakupu shida. Ukiona nguvu ya mwanamke au mtu mwingine inakusumbua, jua Bado Kuna darasa haujahitimu.

Mtoa hoja umeshaandika yote!
 
Mfano halisi ni wewe,wife anakaz aisee🤔
Ah ata wewe pia ni mfano mzuri. Tena bora mie ata mie nilishajitambua kuwansifai kuingia kwenye hiyo ndoa mapema. Wee ulikimbilia nini🤣🤣🤣🤣
 
Nimesoma ila sijapata lengo lako hasa katika suluhisho.Unapoeleza mwanaume nitumie mamlaka yangu kiuongozi dhidi ya mke,umezunguka mnoo bila kueleza dhahiri cha kufanyika.Hebu chambua zaidi ili nikitumia mamlaka yangu niwe nasoma uzi wako kama rejeo halisi.
 
Pole sana kwa mapito,sasa ulimpata anayejua thamani ya dhahabu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…