Wanaume, siyo wakati wote ni wa kuwalaumu wanawake, kuna wakati sasa ni wa kuutumia 'uanaume' wenu

Wanaume, siyo wakati wote ni wa kuwalaumu wanawake, kuna wakati sasa ni wa kuutumia 'uanaume' wenu

Unayksema ni kweli. Lakini nafikiri matatizo yanaanzia mbali kabisa. Kwenye ile courtship na uchumba na mahusiano beforr ndoa ndo wengi wanapokosea.
Unapopata mwanamke, hata kama alikua na watu wengine befor you, ni muhimu kuformat hard disk ya akili ake na uweke ambayo inaendana na utaratibu wako. Carleen amesema ukweli, wanawake hawakuumbwa kuweza kucontrol power kubwa. Hivo ni jukumu lako kama mwanaume kumuonyesha njia inayopasa kufuatwa ndani ya maisha yenu. Mwanamke anaejielewa lazima atafuata, na pia ukimpa room for improvement mtatengeneza utaratibu mzuri sana unaofaa ndani.
Shida n kwamba tukipata mwanamke submissive tunavimba kichwa na kusahau kumtreat kama binadam na mpenz, tunaanza kumtreat kama kijakazi. Lazma akipata nguvu alete kisebengo kikali.
But mwanaume akiweza kusimama na kumuonyesha mwanamke kua yeye mwanaume ni kiongozi na mkewe ni msaidizi wake, they all make a great team

Dha, umenigusa sana. Mimi ni mwanamke submissive na kwa kipato Nipo vizuri mno. Nilimuheshimu sana ex wangu mpaka na magoti kwa heshima zote. Kumbe yeye akaniona zamwamwa [emoji28][emoji28] alikuwa ananidharau, kunitukana etc . Nilipochoka hakuamini aliyoyapata. Tujifunze kuto take people for granted.
 
Dunia iko busy kumuinua mwanamke na kuacha kumuwezesha kijana wa kiume namna ya kuishi na huyu mwanamke aliyeinuliwa.
Imefika hatua vijana wa kiume wanawaogopa Hawa wanawake kwani wamekuwa wajeuri, wakorofi na majivuno kibao.
Wamefikia hatua ya kuamua kulelewa na majimama yaliyoinuliwa.
Na wengine wanaona Bora kuwa jinsia ya kike kwani wanatetewa zaidi kuliko kuwa mwanaume.
Ndio Hawa wamekimbilia kwenye ushoga na transgender na wanatetewa kweli.
Tuwafundishe na kuwapa watoto wetu wa kiume ego ya kuwa wanaume. Wajue kuwa baba ndiye aliumbiwa kuwa msemaji wa familia.
Mwanaume unatakiwa kutafuta chochote na kurudisha nyumbani.
Sio unakaa tu ndani unasubiri uletewe na mwanamke.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Hi guys,
Ni imani yangu mmekuwa sawa watu wa Mungu..!

Kuna hii issue huwa inatokea mara kwa mara, wanaume hulalamika kuwa baada ya Ndoa, Cheo, Elimu ama Uwezo wa kifedha (hasa kuwazidi waume zao) hushangaa asilimia kubwa sana ya wanawake hubadilika kitabia, huwa na dharau na 'qibri' flani hivi ambacho mwanzo hakikuwepo.!

Hapa ndipo wanaume huanza kutuponda sana wanawake na kutuona viumbe wa ajabu na ndiyo mwanzo wa kutunukiwa majina yasiyo staha..!

Mnachosahau wanaume ni kuwa, kiasili mwanamke hakuumbwa kuwa na 'mamlaka', sababu kiukhalisia mwanamke hawezi control hiyo 'power', mara nyingi huwa hiyo mamlaka inamzidi nguvu, ndipo haposa mnaanza kuona mwanamke anabadilika na kuanza kuvimba,

Na si kwamba eti 'ataplan' kuwa sahii nianze kuvimba, Hell No'..! In a very automatic way, kuna kitu kina trigger kwenye akili yake kuwa 'wewe ni mkubwa sana, kuna namna unapaswa kuheshimiwa na hawa wote wako chini yako na hakuna wa kukuambia lolote kwani hakuna aliye kama wewe'..!

Lilipaswa kuwa ni jambo la ku control that 'overgrowing ego', lakini sangapi wakati huo uwezo wenyewe wa ku-control unajipata hauko nao?? Mwisho wa siku hiyo ego inakomaa hapo sasa hakuna atakayeweza kukuambia kitu tena mara nyingi kama ilikuwa ni Ndoa huishia kuvunjika kwani mafahali wawili kamwe hawakai zizi moja..!

Kuna ile namna mke anaanza kukuvimbia mpaka wewe mumewe, unashangaa hichi kiburi katoa wapi mbona hakuwa nacho kabla.? Kumbe tayari ile kujua tu 'Mimi ndiye Mkewe tena halali wa Ndoa', hiyo tu itamfanya mwanamke 'avimbe' tena mapema sana.! Yaani tunataka uielewe 'mamlaka ya kuwa mke tuliyonayo' kila mtu ajue Mimi ndiye mke wake na aheshimu hilo, kwanza ukifahamu kuwa ni mke halali tunatamani hata ushtuke japo utetemeke kidogo (kinda funny eeh!?)..!

Hapa pia ndipo pahala mliambiwa muishi na mwanamke kwa akili, ile akili sasa ikuwe applied na hapa..!!
Jitahidi kumkumbusha mwanamke wako nafasi yake mara kwa mara, kuwa hata kama dunia itageuka kichwa chini miguu juu bado nafasi yake ni ile ile yeye ni mke tu hakuna kitakachobadilisha hilo hata akiimiliki dunia yote.!

Tutabishana hapa na baadhi ila hata msipoamini hili nadhani mnajionea mengi yanayoendelea huko duniani, mwanamke hakuumbiwa kuwa na mamlaka kubwa kumliko, na akiwa nayo pengine awe na muongozo toka kwa mwanaume anayemuheshimu tofauti na hapo, we're doomed, real doomed..!

Enweiz, sijui hata nilikuwa nawaza nini, hebu mkuwe tu na weekend iliyobarikiwa..!
Tatizo kuelewa na hapo ndipo zinapo kuja style mbalimbali za kumwelewesha, mwengine atajaribu kuongea na muelewesha na kama akimuona hamuelewi anamwacha.

Mwengine atamwelewesha na kama hamuelewi ndipo ataanza kumfumua, sasa hapo kwenye kumfumua ndipo baadae tunasikia kamvunja, kamuua nk.

Na wengine wana kuelewesha wakiona huelewi bado ni kiburi haangaiki na wewe anatafuta nyumba ndogo itakayo muheshimu maisha yana endelea, kwenye nyumba mnakaa kulea watoto ila upendo kati yenu hamna.
 
Dunia iko busy kumuinua mwanamke na kuacha kumuwezesha kijana wa kiume namna ya kuishi na huyu mwanamke aliyeinuliwa.
Imefika hatua vijana wa kiume wanawaogopa Hawa wanawake kwani wamekuwa wajeuri, wakorofi na majivuno kibao.
Wamefikia hatua ya kuamua kulelewa na majimama yaliyoinuliwa.
Na wengine wanaona Bora kuwa jinsia ya kike kwani wanatetewa zaidi kuliko kuwa mwanaume.
Ndio Hawa wamekimbilia kwenye ushoga na transgender na wanatetewa kweli.
Tuwafundishe na kuwapa watoto wetu wa kiume ego ya kuwa wanaume. Wajue kuwa baba ndiye aliumbiwa kuwa msemaji wa familia.
Mwanaume unatakiwa kutafuta chochote na kurudisha nyumbani.
Sio unakaa tu ndani unasubiri uletewe na mwanamke.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Point kuu Ipo mwishoni
 
Hi guys,
Ni imani yangu mmekuwa sawa watu wa Mungu..!

Kuna hii issue huwa inatokea mara kwa mara, wanaume hulalamika kuwa baada ya Ndoa, Cheo, Elimu ama Uwezo wa kifedha (hasa kuwazidi waume zao) hushangaa asilimia kubwa sana ya wanawake hubadilika kitabia, huwa na dharau na 'qibri' flani hivi ambacho mwanzo hakikuwepo.!

Hapa ndipo wanaume huanza kutuponda sana wanawake na kutuona viumbe wa ajabu na ndiyo mwanzo wa kutunukiwa majina yasiyo staha..!

Mnachosahau wanaume ni kuwa, kiasili mwanamke hakuumbwa kuwa na 'mamlaka', sababu kiukhalisia mwanamke hawezi control hiyo 'power', mara nyingi huwa hiyo mamlaka inamzidi nguvu, ndipo haposa mnaanza kuona mwanamke anabadilika na kuanza kuvimba,

Na si kwamba eti 'ataplan' kuwa sahii nianze kuvimba, Hell No'..! In a very automatic way, kuna kitu kina trigger kwenye akili yake kuwa 'wewe ni mkubwa sana, kuna namna unapaswa kuheshimiwa na hawa wote wako chini yako na hakuna wa kukuambia lolote kwani hakuna aliye kama wewe'..!

Lilipaswa kuwa ni jambo la ku control that 'overgrowing ego', lakini sangapi wakati huo uwezo wenyewe wa ku-control unajipata hauko nao?? Mwisho wa siku hiyo ego inakomaa hapo sasa hakuna atakayeweza kukuambia kitu tena mara nyingi kama ilikuwa ni Ndoa huishia kuvunjika kwani mafahali wawili kamwe hawakai zizi moja..!

Kuna ile namna mke anaanza kukuvimbia mpaka wewe mumewe, unashangaa hichi kiburi katoa wapi mbona hakuwa nacho kabla.? Kumbe tayari ile kujua tu 'Mimi ndiye Mkewe tena halali wa Ndoa', hiyo tu itamfanya mwanamke 'avimbe' tena mapema sana.! Yaani tunataka uielewe 'mamlaka ya kuwa mke tuliyonayo' kila mtu ajue Mimi ndiye mke wake na aheshimu hilo, kwanza ukifahamu kuwa ni mke halali tunatamani hata ushtuke japo utetemeke kidogo (kinda funny eeh!?)..!

Hapa pia ndipo pahala mliambiwa muishi na mwanamke kwa akili, ile akili sasa ikuwe applied na hapa..!!
Jitahidi kumkumbusha mwanamke wako nafasi yake mara kwa mara, kuwa hata kama dunia itageuka kichwa chini miguu juu bado nafasi yake ni ile ile yeye ni mke tu hakuna kitakachobadilisha hilo hata akiimiliki dunia yote.!

Tutabishana hapa na baadhi ila hata msipoamini hili nadhani mnajionea mengi yanayoendelea huko duniani, mwanamke hakuumbiwa kuwa na mamlaka kubwa kumliko, na akiwa nayo pengine awe na muongozo toka kwa mwanaume anayemuheshimu tofauti na hapo, we're doomed, real doomed..!

Enweiz, sijui hata nilikuwa nawaza nini, hebu mkuwe tu na weekend iliyobarikiwa..!
Unajua 'kuonyesha uanaume' ikiwa mke atabadilika?
Maana yake ni hii;
1. Kuwa na nyumba ndogo kali zaidi ya mke AU
2. Kuachana na mke.

Sasa muamue wenyewe, mwanaume abakie kulalamika tu, ama auonyeshe huo uanaume wake.
 
Dunia ipo busy kumpa nguvu(empower) binti, human rights kwa sasa zimelalia upande wa binti.

Tumesahau kuwa kumpa nguvu binti kunaendana na kumsaidia kijana wa kiume kujua nafasi yake katika jamii, jinsi ya kuishi na huyo binti.

Na bado, vijana watazidi kulia sana coz ni kama wanaona wamenyang'anywa nafasi yao, hawajafundishwa kuishi na huyu binti.
Dunia hutengeneza tatizo Liwe fursa.


Wenzako wanajipanga kuanzisha miradi ya saidia mtoto WA kiume miaka ijayo
 
Ukishakua mwanaume, haya mambo mengine hayakupu shida. Ukiona nguvu ya mwanamke au mtu mwingine inakusumbua, jua Bado Kuna darasa haujahitimu.

Mtoa hoja umeshaandika yote!
 
Mfano halisi ni wewe,wife anakaz aisee🤔
Ah ata wewe pia ni mfano mzuri. Tena bora mie ata mie nilishajitambua kuwansifai kuingia kwenye hiyo ndoa mapema. Wee ulikimbilia nini🤣🤣🤣🤣
 
Hi guys,
Ni imani yangu mmekuwa sawa watu wa Mungu..!

Kuna hii issue huwa inatokea mara kwa mara, wanaume hulalamika kuwa baada ya Ndoa, Cheo, Elimu ama Uwezo wa kifedha (hasa kuwazidi waume zao) hushangaa asilimia kubwa sana ya wanawake hubadilika kitabia, huwa na dharau na 'qibri' flani hivi ambacho mwanzo hakikuwepo.!

Hapa ndipo wanaume huanza kutuponda sana wanawake na kutuona viumbe wa ajabu na ndiyo mwanzo wa kutunukiwa majina yasiyo staha..!

Mnachosahau wanaume ni kuwa, kiasili mwanamke hakuumbwa kuwa na 'mamlaka', sababu kiukhalisia mwanamke hawezi control hiyo 'power', mara nyingi huwa hiyo mamlaka inamzidi nguvu, ndipo haposa mnaanza kuona mwanamke anabadilika na kuanza kuvimba,

Na si kwamba eti 'ataplan' kuwa sahii nianze kuvimba, Hell No'..! In a very automatic way, kuna kitu kina trigger kwenye akili yake kuwa 'wewe ni mkubwa sana, kuna namna unapaswa kuheshimiwa na hawa wote wako chini yako na hakuna wa kukuambia lolote kwani hakuna aliye kama wewe'..!

Lilipaswa kuwa ni jambo la ku control that 'overgrowing ego', lakini sangapi wakati huo uwezo wenyewe wa ku-control unajipata hauko nao?? Mwisho wa siku hiyo ego inakomaa hapo sasa hakuna atakayeweza kukuambia kitu tena mara nyingi kama ilikuwa ni Ndoa huishia kuvunjika kwani mafahali wawili kamwe hawakai zizi moja..!

Kuna ile namna mke anaanza kukuvimbia mpaka wewe mumewe, unashangaa hichi kiburi katoa wapi mbona hakuwa nacho kabla.? Kumbe tayari ile kujua tu 'Mimi ndiye Mkewe tena halali wa Ndoa', hiyo tu itamfanya mwanamke 'avimbe' tena mapema sana.! Yaani tunataka uielewe 'mamlaka ya kuwa mke tuliyonayo' kila mtu ajue Mimi ndiye mke wake na aheshimu hilo, kwanza ukifahamu kuwa ni mke halali tunatamani hata ushtuke japo utetemeke kidogo (kinda funny eeh!?)..!

Hapa pia ndipo pahala mliambiwa muishi na mwanamke kwa akili, ile akili sasa ikuwe applied na hapa..!!
Jitahidi kumkumbusha mwanamke wako nafasi yake mara kwa mara, kuwa hata kama dunia itageuka kichwa chini miguu juu bado nafasi yake ni ile ile yeye ni mke tu hakuna kitakachobadilisha hilo hata akiimiliki dunia yote.!

Tutabishana hapa na baadhi ila hata msipoamini hili nadhani mnajionea mengi yanayoendelea huko duniani, mwanamke hakuumbiwa kuwa na mamlaka kubwa kumliko, na akiwa nayo pengine awe na muongozo toka kwa mwanaume anayemuheshimu tofauti na hapo, we're doomed, real doomed..!

Enweiz, sijui hata nilikuwa nawaza nini, hebu mkuwe tu na weekend iliyobarikiwa..!
Nimesoma ila sijapata lengo lako hasa katika suluhisho.Unapoeleza mwanaume nitumie mamlaka yangu kiuongozi dhidi ya mke,umezunguka mnoo bila kueleza dhahiri cha kufanyika.Hebu chambua zaidi ili nikitumia mamlaka yangu niwe nasoma uzi wako kama rejeo halisi.
 
Dha, umenigusa sana. Mimi ni mwanamke submissive na kwa kipato Nipo vizuri mno. Nilimuheshimu sana ex wangu mpaka na magoti kwa heshima zote. Kumbe yeye akaniona zamwamwa [emoji28][emoji28] alikuwa ananidharau, kunitukana etc . Nilipochoka hakuamini aliyoyapata. Tujifunze kuto take people for granted.
Pole sana kwa mapito,sasa ulimpata anayejua thamani ya dhahabu?
 
Back
Top Bottom