Wanaume tuache ubahili tuwatunze wapenzi wetu


Kwani nyinyi huwa mzimiss dushe zetu?
 
Tatizo wanaume siku hi I wengi ni wachoyo hawaijui thaman ya mwanamke they are so selfish wanajifikiria wao tu ila saa ya kugonga mzigo wanakuwa kama walishapata hati miliki siwapendi kama nn wanaopenda kutia watoto Wa wenzao kuwahudumia hawawezi.

Ivi wanawake huwa hamtamani kutiwa? Mbona haka kamchezo ni kama wanaume tu ndo huwa tunataka na wanawake wanachofanya nikutupa feva..!!!
 

Ugwadu ukikushika mbona utaitamanibhadi dushe ya mbuzi...
 

Wanapenda kuhudumiwa kama Mme WA ndoa ila wao kuhudumia mpenzi kama mke wa ndoa hawataki, hivi hawajui mpz ana gharama zaid ya mke.
 
mkuu umemaliza,huyu atakuwa anawashwa na vijisenti baada ya kuuza pamba,hivi lile jembe langu nani nani cjuil likowapi lisafishe account za huyu mtu.siku moja tu milioni mbili tuone kama anaweza hudumia

Mi cjamaanisha kuchunwa na maelezo yangu apo juu anajitosheleza sikulenga kukomoana kama unavyosema mil 2 kwa siku.

Mapenzi ni pamoja na kupunguziana makali ya maisha ikitokea mmoja anakipato kisichoeleweka.
 
Wakutunzwa n mke wapenz wenyewe leo yu hapa kesho hukooo wizi mtu ndoa kufungwa utata dunia imekaa vbaya hii utaibiwa km umelala Jembemtaji
 
Last edited by a moderator:

Mkuu we unawaza kwa kutumia ubongo uliotobokatoboka kama chujio LA mbege.

Jifunze kusoma na kuelewa.tumezungumzia watu wenye kipato sio wewe kapuku muuza miguu ya kuku.
 
Nahisi mleta mada amepata mpenzi kwa mara ya kwanza katika maisha yake.....baada ya miaka mingi ya kupiga punyeto hatimaye amepata pa kumwagilia mbegu zake...

Soma na kuelewa mada hatukukisudia na nyie wauza mbogamboga nimemaanisha watu wenye kipato.

We mwenyewe unaomba HELA kwa dadaako utamuhudumia nan?.
 
Kumpa pesa mpenzi ili kumhudumia kama mke? Hivi wanawake unawajua au unawauliza? Hudumieni, yangu macho.
^^

Mleta mada ameongea kizumbukuku kweli!!
Yaani uache kutoa 10 % ya mshahara wako kwa Mwenyezi Mungu anaekupa pumzi na afya njema bure kabisa!! ati ukampatie mwanamke anayewapanga foleni kama ATM za NMB,
Si angalau angesema uwape wazazi wako waliokuleta duniani na bado wanaoteseka na dhiki kijijini huko??
Nanyinyi ndio mnaozipaisha papuchi,na kuzifanya kuwa za bei ghali sana hapa mjini,wakati ni commodity za kawaida kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…