Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante umepata! Ujue kuna wachache watajirekebisha.
ujue kuna wanaume kama ujawaomba unaweza kuishi nao ata miaka 10 hawakupi chochote.
Mwanamke ni yule aliye kwenye ndoa. Tofauti na hapo ni nung'ayembe. Hudumia mkeo sio mlupo!
Mimi mpendwa wangu huwa ananiambia anachukia sana kauli kwamba anahitaji kutunzwa wakati yeye anafanya kazi kama mimi. Nina hakika angekuwa mods huu uzi angeunyofoa. Siku zote yeye anapinga mwanamke kuishi kwa kutegemea mme.[/QUOT
hehe mimi nafanya kazi ndio ila kusaidiana kupo tena wala hasubiri kuambiwa nataka hela
mke lakini plz
Hela zangu za mboga mboga zinatosha kukuhudumia wewe na mke wangu ambaye ni mama yako mzazi....Soma na kuelewa mada hatukukisudia na nyie wauza mbogamboga nimemaanisha watu wenye kipato.
We mwenyewe unaomba HELA kwa dadaako utamuhudumia nan?.
Hela zangu za mboga mboga zinatosha kukuhudumia wewe na mke wangu ambaye ni mama yako mzazi....
Yaani nimekupenda ghafla....Ahsante kwa ujumbe mzuri...Nahisi wenye uume wamekusikia ipasavyo na wenye mioyo safi watatekeleza... Jembemtaji
Kwanza nianze kwa kukili kua maisha ni magumu sana nadhani kila mtu anajua.
Na katika mahusiano ya mapenzi kati ya me na ke lazima kunakua na tofauti ya kipato, yaani Mara nyingi wanaume wanakua na hali mzur kimapato kuliko mwanamke.
Nieleweke vizur kua si maanishi kua wanawake wote wanakipato duni LA hasha.
Ningependa kuwashauri wale wenye wapenzi WA kike mambo haya yafuatayo:-
1 Ujue tofauti ya kuchunwa na kuhudumia unapokua na mpenzi ujue ni jukumu lako kumpendezesha anapopendeza watu watajua we ndio kidume uliemwezesha.
2 .Sio mpaka akuombe ndio umpe. jaribu kumfaam hali ya maisha na kipato chake ujue kukisia cha kumpa kwa matumizi yake.
3.Usiulize ya nini,ikitokea mpz amekuomba HELA usiulize ya nn ye ni MTU mzima awezi kukuomba HELA akaenda kuchambia.
4. Kutumia pesa nyingi sehemu ya starehe.
Kuna watu wanaenda mpaka hotel ya nyota 5 kustarehe akitumia zaidi ya laki tano.cha ajabu baada ya kutoka hotel anamwacha mpz wake 10000 ya nauli.
Huu ni ujinga bora ungeenda ata lodge ya nafuu ye ukamwacha na HELA ya kutosha.
5.Tenga ata 10% ya mshahara MPE yeye aangalie kama kuna kitu cha kurekebisha arekebishe.
NB.
APA ni kwa wale Wanaume wanaowazidi kipato wanawake wao sio wanawake wenye vipato vizur.
Tusiwe wataalamu wakutafuta Gspot wakati ukiombwa ata 1000 unanuna mapenzi ni pamoja na kupunguzia makali ya maisha.
Yeyote mwenye chochote anaweza kuongezea apo.
Bac kuna wanaume wenzangu hawataki kukubali kabisa hii hoja wanadai WA kuhudumiwa ni mke WA ndoa.
Cha ajabu MTU anataka atunze kama mume WA ndoa .
lakin hataki kumtunza mpenzi kama mke wa ndoa.
ni ujinga tuu wanaojazana...halafu hapo akimuona wa mwenzie anayetunzwa anaanza kudondosha miudenda...Kila kingaracho kinagharamiwa..
Pili kama humtunzi mkeo au mpenzi wako usilie lie utakapo mfuma ametumiwa hela na mwanaume katika Tigo pesa, Airtel mone au MPESA...kaa kimyaaaa
Kwanza nianze kwa kukili kua maisha ni magumu sana nadhani kila mtu anajua.
Na katika mahusiano ya mapenzi kati ya me na ke lazima kunakua na tofauti ya kipato, yaani Mara nyingi wanaume wanakua na hali mzur kimapato kuliko mwanamke.
Nieleweke vizur kua si maanishi kua wanawake wote wanakipato duni LA hasha.
Ningependa kuwashauri wale wenye wapenzi WA kike mambo haya yafuatayo:-
1 Ujue tofauti ya kuchunwa na kuhudumia unapokua na mpenzi ujue ni jukumu lako kumpendezesha anapopendeza watu watajua we ndio kidume uliemwezesha.
2 .Sio mpaka akuombe ndio umpe. jaribu kumfaam hali ya maisha na kipato chake ujue kukisia cha kumpa kwa matumizi yake.
3.Usiulize ya nini,ikitokea mpz amekuomba HELA usiulize ya nn ye ni MTU mzima awezi kukuomba HELA akaenda kuchambia.
4. Kutumia pesa nyingi sehemu ya starehe.
Kuna watu wanaenda mpaka hotel ya nyota 5 kustarehe akitumia zaidi ya laki tano.cha ajabu baada ya kutoka hotel anamwacha mpz wake 10000 ya nauli.
Huu ni ujinga bora ungeenda ata lodge ya nafuu ye ukamwacha na HELA ya kutosha.
5.Tenga ata 10% ya mshahara MPE yeye aangalie kama kuna kitu cha kurekebisha arekebishe.
NB.
APA ni kwa wale Wanaume wanaowazidi kipato wanawake wao sio wanawake wenye vipato vizur.
Tusiwe wataalamu wakutafuta Gspot wakati ukiombwa ata 1000 unanuna mapenzi ni pamoja na kupunguzia makali ya maisha.
Yeyote mwenye chochote anaweza kuongezea apo.