Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha haaa haaa hatari sanaAcha ujinga… kuishi kwa mwanamke wako sio umarioo, umarioo ni kujipeleka kwa mishangazi.
Huyo rafikiyo hujui malengo yao na huyo mwanamke wake. Acha kelele zisizo na tija.
kiufupi huyu rafiki yangu ameziba masikio haambiliki nimeamua kumwacha afanye anachotaka.
Acha ukorofi cha utundu... hahahaha...Acha ujinga… kuishi kwa mwanamke wako sio umarioo, umarioo ni kujipeleka kwa mishangazi.
Huyo rafikiyo hujui malengo yao na huyo mwanamke wake. Acha kelele zisizo na tija.
Watu wanapenda .inapendeza kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23] Smart911 jitetee huyu wa pili kukuuliza
😂😂 Njoo nikufiche kama mshikaji wa mtoa mada..Acha ukorofi cha utundu... hahahaha...
Njoo tuishi pamoja...
Ulivyomkemea sasa[emoji16]Acha ujinga… kuishi kwa mwanamke wako sio umarioo, umarioo ni kujipeleka kwa mishangazi.
Huyo rafikiyo hujui malengo yao na huyo mwanamke wake. Acha kelele zisizo na tija.
Ana wivu bana 😂😂Ulivyomkemea sasa[emoji16]
Na vile ulivyo nitafichika vizuri haswa... Dunia itanisahau kabisa...😂😂 Njoo nikufiche kama mshikaji wa mtoa mada..
Sijui hata cha kujitetea... au nikiri nini... au basi siku nyingine...Tujitetee nini sasa?
Ndio mashangazi yenyewe sasa hayaTujiongeze.. mshikaji wake kakosa mchongo ndio kaenda kukaa kwa babe ake.
Sasa OP wivu unamsumbua
Nasubiria ‘kolu’ nipate muongozo wa kale ka movie 🤪Sijui hata cha kujitetea... au nikiri nini... au basi siku nyingine...