Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,106
- 6,678
Kabisa mkuuHapo kwenye Msambwanda tupo pamoja,akili atatumia zangu.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuuHapo kwenye Msambwanda tupo pamoja,akili atatumia zangu.
Ukisikia shindano za moto ndio hizi sasa.Acha ujinga… kuishi kwa mwanamke wako sio umarioo, umarioo ni kujipeleka kwa mishangazi.
Huyo rafikiyo hujui malengo yao na huyo mwanamke wake. Acha kelele zisizo na tija.
Kinachosikitisha ni kwamba kuna wanaume humu wanamtetea uyo kin'gasiti!!.
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Atajua mwenyewe bwana,Nani alimtuma kuparamia wakina Ashura?amuulize Diwani kiranga kilimuishaWe mdadaaaa mwone huruma mtoto wa mwanamke mwenzio huruma je ndo angekuwa kaka yako ndo anaishi kama mjusi anechungulia toka kwenye mawe ungejisikiaje?😃 we ashura wa hukoo mbali Mungu anakuona katoe hizo dawa mwenzio aone tena😨
Wahuni mmeweka vigezo na masharti kabisa! Sema kuishi kwa mwanamke sio kosa ishu ni ustaarabu wenu tu umekaaje ila kuishi kwa kumdanga demu ndio mbaya ila kama una mchongo hata demu nae hawezi kusumbua.Sawa MKAMILIFU nakushauri usije kuingilia mahusiano ya mtu sababu kila mtu ana vigezo vyake anavyotaka mimi nina marafiki wawili
Mmoja vigezo vyake vikuu vya kukaa na mwanamke ni usafi na hataki kelele huyu jamaa ni injinia tegemezi Tanroad
Wa pili yeye kigezo chake kikuu ni mwanamke awe muelewa na anajua kupika
Alafu kuna mimi nataka msambwanda mkubwa mlaini basi
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Hii ilishanitokea nikiwa 1st year tulipotezeana na mwanangu wa damu kabisa ambaye tulishibana toka certificate. Alikuwa kama ndugu kabisa yani.Wewe una akili saana jamaa atakuwa anamuonea wivu mwenzake [emoji23][emoji23]
Nakumbuka na mimi niliwai kupata demu mwalimu kipindi hicho nimemaliza chuo sina dira alafu nilikuwa na rafiki yangu kipenzi askari wa suma jkt akawa anampiga vita saana yule mwalimu baadae nikaja kugundua jamaa alikuwa ananionea wivu the way mwalimu alivyokuwa ananipiga Tafu na kunipa mawazo chanya....end of the day teacher alinisaidia kubamba kitengo UN jamaa akaacha kunisemesha mazima
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Naona mshapeana muongozoNa vile ulivyo nitafichika vizuri haswa... Dunia itanisahau kabisa...
Sasa mkuu mkigombana akikufukuza na badae asila Zika mwishia akimwambia jamaa arudi waende kuishi wote unazani jamaa atakuwa na Aman na furaha moyon?Acha ujinga… kuishi kwa mwanamke wako sio umarioo, umarioo ni kujipeleka kwa mishangazi.
Huyo rafikiyo hujui malengo yao na huyo mwanamke wake. Acha kelele zisizo na tija.
Kweli?Acha ujinga… kuishi kwa mwanamke wako sio umarioo, umarioo ni kujipeleka kwa mishangazi.
Huyo rafikiyo hujui malengo yao na huyo mwanamke wake. Acha kelele zisizo na tija.
SOMETIME ni wivu tu sasa mtu hauna dira au umeyumba kwanini mpenzi wako asikupige TafuHii ilishanitokea nikiwa 1st year tulipotezeana na mwanangu wa damu kabisa ambaye tulishibana toka certificate. Alikuwa kama ndugu kabisa yani.
Kisa demu tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ambaye demu wangu huyo huyo ndio alimpa connection ya kazi miaka 3 baadae
KIONGOZI CHUKUA PEPSI MKUBWA WAO HAPO DUKANI NAKUJA SASAIVI KULIPANIMEAMUA KUANDIKA KWA HERUFI KUBWA
KUNA MDA UNAFANYA KITU KISICHOKUWA POA NA MARAFIKI WANAKUSHAURI UNAONA KAMA WANA WIVU JAPOKIWA WENGINE KWELI WANA WIVU
PIA HATA WATU UKIWASHAURI AWE NDUGU AU MARAFIKI WATAFIKIRI NI HIVOHIVO ILA KIUKWELI NI KWAMBA MADHARA YANAPOWATOKEA YANAGUSA MOJA KWA MOJA MIFUKO YETU
UNAKUTA JITU LILEVI MNALIAMBIA LIPUNGUZE LINAWAMBIA ET NI STAREHE YAKE MAILIINGILIE KESHO MNASIKIA LIMEPATA AJALI KISA ULEVI AFU HOSPITAL NYIE NDO MNAANZA KUTOKWA NA PESA AU LIMELETA FUJO LIMETIWA NDANI NYIE MTOE PESA ZENU KUMTOA YAANI CHOCHOTE KINACHOTOKEA KINAGUSA MFUKO WENU
SASA MNAOSEMA HUYO JAMAA ANAMUONEA WIVU ILA SIO KWELI SASA HUYO JAMAA MLIPA KODI AIKU AKIJUA AFU AKAMPIGA HUYO DOGO MNAFIKIRI WA KWANZA KULALA NA JAMAA HOSPITAL NI NANI KAMA SIO HUYU JAMAA
AFU ENDAPO YULE JAMAA WAKIMFILDAUSI AFU HUYU ANAEMPA USHAURI NAE AJIKATAE HAPO NDO ATAONEKANA YEYE MBAYA KWAMBA KAMKATAA JAMAA AKE WAKATI HASHAURIKI
MFANO UNAKUTA KUNA MTU UNAMWAMBIA TUMIA KINGA YEYE ANABISHA SASA MIMBA IKINASA ANAKUJA KUKUOMBA PESA ETI WAKATOE "WHAT THE FCK". MIMI HAPO SIWEZI MPA ATA 500TSH
SASA WEWE JAMAA SIKU YAKIMKUTA YA KUMKUTA HUYO JAMAA MKATAE KABISA ATA UKIONEKANA WEW NDO MBAYA FRESH TU
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Acha ujinga… kuishi kwa mwanamke wako sio umarioo, umarioo ni kujipeleka kwa mishangazi.
Huyo rafikiyo hujui malengo yao na huyo mwanamke wake. Acha kelele zisizo na tija.
Nakazia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukute watoto wote ni wake ni vile walikubaliana watafute usaidizi nje ili wapate kuishi. Kaa kwa kutulia
Dah! Umefikiria Kijasusi zaidi! Hili pia linawezekana kwa kiasi kikubwa!!!Ukute watoto wote ni wake ni vile walikubaliana watafute usaidizi nje ili wapate kuishi. Kaa kwa kutulia
Hahahaha kwamba muhuni anaweza kuwa fildausi mda wowote na njemba inayolipa pango?NIMEAMUA KUANDIKA KWA HERUFI KUBWA
KUNA MDA UNAFANYA KITU KISICHOKUWA POA NA MARAFIKI WANAKUSHAURI UNAONA KAMA WANA WIVU JAPOKIWA WENGINE KWELI WANA WIVU
PIA HATA WATU UKIWASHAURI AWE NDUGU AU MARAFIKI WATAFIKIRI NI HIVOHIVO ILA KIUKWELI NI KWAMBA MADHARA YANAPOWATOKEA YANAGUSA MOJA KWA MOJA MIFUKO YETU
UNAKUTA JITU LILEVI MNALIAMBIA LIPUNGUZE LINAWAMBIA ET NI STAREHE YAKE MAILIINGILIE KESHO MNASIKIA LIMEPATA AJALI KISA ULEVI AFU HOSPITAL NYIE NDO MNAANZA KUTOKWA NA PESA AU LIMELETA FUJO LIMETIWA NDANI NYIE MTOE PESA ZENU KUMTOA YAANI CHOCHOTE KINACHOTOKEA KINAGUSA MFUKO WENU
SASA MNAOSEMA HUYO JAMAA ANAMUONEA WIVU ILA SIO KWELI SASA HUYO JAMAA MLIPA KODI AIKU AKIJUA AFU AKAMPIGA HUYO DOGO MNAFIKIRI WA KWANZA KULALA NA JAMAA HOSPITAL NI NANI KAMA SIO HUYU JAMAA
AFU ENDAPO YULE JAMAA WAKIMFILDAUSI AFU HUYU ANAEMPA USHAURI NAE AJIKATAE HAPO NDO ATAONEKANA YEYE MBAYA KWAMBA KAMKATAA JAMAA AKE WAKATI HASHAURIKI
MFANO UNAKUTA KUNA MTU UNAMWAMBIA TUMIA KINGA YEYE ANABISHA SASA MIMBA IKINASA ANAKUJA KUKUOMBA PESA ETI WAKATOE "WHAT THE FCK". MIMI HAPO SIWEZI MPA ATA 500TSH
SASA WEWE JAMAA SIKU YAKIMKUTA YA KUMKUTA HUYO JAMAA MKATAE KABISA ATA UKIONEKANA WEW NDO MBAYA FRESH TU