Wanaume tuache umarioo unakubalije kuishi kwa mwanamke?

Wanaume tuache umarioo unakubalije kuishi kwa mwanamke?

Kuna rafiki yangu kipenzi sana tupo kama ndugu, ni msomi mzuri sema amekosa connection ya kupata kazi ya maana. Ni muda sasa amekuwa akiishi kwa mama mmoja ana watoto wawili kila mmoja na baba yake. Katika hawa watoto wawili kuna mmoja baba yake yupo vizuri kiuchumi hivyo anasoma shule nzuri tu.

Huyu baba mwenye uwezo ndio amempangia nyumba nzima huyu mama, jamaa huwa anakuja kumuona mwanae mara kwa mara. Huyu rafiki yangu Kwa sasa kapata ajira huko GSM, pindi anapotoka kazini akifika nyumbani akikuta gari ya jamaa imepaki hapo nje humlazimu kutafuta sehemu nyingine ya kwenda kukaa mpaka jamaa atakapotoka.

Yule mama sijui kampa nini mshikaji, nimejaribu kumshauri haya ni maisha gani unayoishi, rafiki yangu huyu anaelewi kabisa. Majibu yake ni kuwa anataka kumuowa huyu mwanamke, mwanamke ni muislamu, jamaa amebadiki na dini kabisa hataki masihara, kiufupi huyu rafiki yangu ameziba masikio haambiliki nimeamua kumwacha afanye anachotaka.
Dogo kumbe nawewe mnafiki hivyo, yaani umeamua kuja kunitangaza huku jeiefu kwamba naishi kwa Mwanamke? Hako kakazi kako ka koneksheni ndio kanakupa kiburi? Ila Haina noma
 
😀😀😀 emu kwanza nitafute miongozo, maana sitaki kuwa Ashura..
Kabla wewe hujaniweka ndani, utajikuta mimi ndiyo nakuweka wewe ndani, nakuficha kabisa...
 
Nilichogundua, town kila mtu anaishi vile anaona inafaa. Ukipenda sana kuwa mshauri wa maisha ya marafiki, you'll end up being isolated.

Mwamba ni kitoombi sijawahi kuona, I mean nimekutana na marafiki but this guy ni kitu kingine. Nikajifanya kumwambia, "mzee punguza, tafuta japo mmoja useto nae", I mean you're married, ukiwa na mcheps mmoja ukampa kila anachotaka na wewe ukaenkoy si inatosha mzee...dadeq, kweli mzee, nitakuwa na yule tu, wengine wote nawabwaga...dadeq...kesho unasikia "mzee nimepata lidada fb jioni naenda kuli..."

Nikajisemea ya nini kujifanya mtoa ushauri nasaha!
 
Acha ujinga… kuishi kwa mwanamke wako sio umarioo, umarioo ni kujipeleka kwa mishangazi.

Huyo rafikiyo hujui malengo yao na huyo mwanamke wake. Acha kelele zisizo na tija.

Alooo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha ujinga… kuishi kwa mwanamke wako sio umarioo, umarioo ni kujipeleka kwa mishangazi.

Huyo rafikiyo hujui malengo yao na huyo mwanamke wake. Acha kelele zisizo na tija.

[mention]Kelsea [/mention] mama jenga nihamie[emoji23][emoji23]
 
Dogo kumbe nawewe mnafiki hivyo, yaani umeamua kuja kunitangaza huku jeiefu kwamba naishi kwa Mwanamke? Hako kakazi kako ka koneksheni ndio kanakupa kiburi? Ila Haina noma
Acha kupenda vya bure mwana yule jamaa siku akikufuma na alivyo kibonge marinda yako yatakuwa halali yake
 
Ukweli hizi "ndude" za wamama watu wazima miaka 40+, sijui kutokana na kutumika sana.Zina test ni tofauti na hivi vitoto vya miaka 20 sijui 30. Mheshimiwa, Diwani, Mchungaji msaidizi anajua habari hii
 
Nilivyoona avatar kwenye id nikajua ni yule jamaa anaendikaga " subiri mwongozo", "tatizo watu ni wabishi sana " nikashangaa mbona leo kaandika maneno marefu kumbe mpo sare sare bado kushona vitenge tu hapo
Hahah nikajua ni mimi mwenyewe, tatizo wqtu ni wqbishi sana. [emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO WX3LTE using JamiiForums mobile app
 
Kuna rafiki yangu kipenzi sana tupo kama ndugu, ni msomi mzuri sema amekosa connection ya kupata kazi ya maana. Ni muda sasa amekuwa akiishi kwa mama mmoja ana watoto wawili kila mmoja na baba yake. Katika hawa watoto wawili kuna mmoja baba yake yupo vizuri kiuchumi hivyo anasoma shule nzuri tu.

Huyu baba mwenye uwezo ndio amempangia nyumba nzima huyu mama, jamaa huwa anakuja kumuona mwanae mara kwa mara. Huyu rafiki yangu Kwa sasa kapata ajira huko GSM, pindi anapotoka kazini akifika nyumbani akikuta gari ya jamaa imepaki hapo nje humlazimu kutafuta sehemu nyingine ya kwenda kukaa mpaka jamaa atakapotoka.

Yule mama sijui kampa nini mshikaji, nimejaribu kumshauri haya ni maisha gani unayoishi, rafiki yangu huyu anaelewi kabisa. Majibu yake ni kuwa anataka kumuowa huyu mwanamke, mwanamke ni muislamu, jamaa amebadiki na dini kabisa hataki masihara, kiufupi huyu rafiki yangu ameziba masikio haambiliki nimeamua kumwacha afanye anachotaka.
Ila Mkuu nje ya mada kidogo wewe ni Mawawa Mabeba?

Sent from my TECNO WX3LTE using JamiiForums mobile app
 
Mjini kila mtu na starehe zake,atajua mwenyewe
We mdadaaaa mwone huruma mtoto wa mwanamke mwenzio huruma je ndo angekuwa kaka yako ndo anaishi kama mjusi anechungulia toka kwenye mawe ungejisikiaje?😃 we ashura wa hukoo mbali Mungu anakuona katoe hizo dawa mwenzio aone tena😨
 
Tuanze na yule wa shilole maana ni kioo cha jamii.
 
Kuna rafiki yangu kipenzi sana tupo kama ndugu, ni msomi mzuri sema amekosa connection ya kupata kazi ya maana. Ni muda sasa amekuwa akiishi kwa mama mmoja ana watoto wawili kila mmoja na baba yake. Katika hawa watoto wawili kuna mmoja baba yake yupo vizuri kiuchumi hivyo anasoma shule nzuri tu.

Huyu baba mwenye uwezo ndio amempangia nyumba nzima huyu mama, jamaa huwa anakuja kumuona mwanae mara kwa mara. Huyu rafiki yangu Kwa sasa kapata ajira huko GSM, pindi anapotoka kazini akifika nyumbani akikuta gari ya jamaa imepaki hapo nje humlazimu kutafuta sehemu nyingine ya kwenda kukaa mpaka jamaa atakapotoka.

Yule mama sijui kampa nini mshikaji, nimejaribu kumshauri haya ni maisha gani unayoishi, rafiki yangu huyu anaelewi kabisa. Majibu yake ni kuwa anataka kumuowa huyu mwanamke, mwanamke ni muislamu, jamaa amebadiki na dini kabisa hataki masihara, kiufupi huyu rafiki yangu ameziba masikio haambiliki nimeamua kumwacha afanye anachotaka.
Acha kujihangaisha na mambo yasiyokuhusu
 
Sawa MKAMILIFU nakushauri usije kuingilia mahusiano ya mtu sababu kila mtu ana vigezo vyake anavyotaka mimi nina marafiki wawili
Mmoja vigezo vyake vikuu vya kukaa na mwanamke ni usafi na hataki kelele huyu jamaa ni injinia tegemezi Tanroad

Wa pili yeye kigezo chake kikuu ni mwanamke awe muelewa na anajua kupika

Alafu kuna mimi nataka msambwanda mkubwa mlaini basi

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Hapo kwenye Msambwanda tupo pamoja,akili atatumia zangu.
 
Back
Top Bottom