๐๐๐ Smart911 jitetee huyu wa pili kukuulizaNilivyoona avatar kwenye id nikajua ni yule jamaa anaendikaga " subiri mwongozo", "tatizo watu ni wabishi sana " nikashangaa mbona leo kaandika maneno marefu kumbe mpo sare sare bado kushona vitenge tu hapo
Haha haaa haaa hatari sanaAcha ujingaโฆ kuishi kwa mwanamke wako sio umarioo, umarioo ni kujipeleka kwa mishangazi.
Huyo rafikiyo hujui malengo yao na huyo mwanamke wake. Acha kelele zisizo na tija.
kiufupi huyu rafiki yangu ameziba masikio haambiliki nimeamua kumwacha afanye anachotaka.
Acha ukorofi cha utundu... hahahaha...Acha ujingaโฆ kuishi kwa mwanamke wako sio umarioo, umarioo ni kujipeleka kwa mishangazi.
Huyo rafikiyo hujui malengo yao na huyo mwanamke wake. Acha kelele zisizo na tija.
Watu wanapenda .inapendeza kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23] Smart911 jitetee huyu wa pili kukuuliza
๐๐ Njoo nikufiche kama mshikaji wa mtoa mada..Acha ukorofi cha utundu... hahahaha...
Njoo tuishi pamoja...
Ulivyomkemea sasa[emoji16]Acha ujingaโฆ kuishi kwa mwanamke wako sio umarioo, umarioo ni kujipeleka kwa mishangazi.
Huyo rafikiyo hujui malengo yao na huyo mwanamke wake. Acha kelele zisizo na tija.
Ana wivu bana ๐๐Ulivyomkemea sasa[emoji16]
Na vile ulivyo nitafichika vizuri haswa... Dunia itanisahau kabisa...๐๐ Njoo nikufiche kama mshikaji wa mtoa mada..
Sijui hata cha kujitetea... au nikiri nini... au basi siku nyingine...Tujitetee nini sasa?
Ndio mashangazi yenyewe sasa hayaTujiongeze.. mshikaji wake kakosa mchongo ndio kaenda kukaa kwa babe ake.
Sasa OP wivu unamsumbua
Nasubiria โkoluโ nipate muongozo wa kale ka movie ๐คชSijui hata cha kujitetea... au nikiri nini... au basi siku nyingine...