Wanaume tuelimishane ulinzi, ni silaha gani nje ya bunduki ni nzuri kuimiliki sehemu unayoishi?

Kama una idea ya UMEME hatua a kwanza ni kukipiga short kitasa cha chumbani,unaunga waya kwenye socket unagusisha kitasa ,akishika tu anajiground
 
Silaha nzuri ili usalimike na wale majamaa ni kuwa na HELA.
Wakikuvamia ujue wana clue kwamba una mzigo ndani na pengine hadi amount kamili.
Sasa ili kunusulu uhai wako na familia kwaujumla yapasa uyasikilize yale majamaa hayana maskhara.
Huku kumiliki bunduki sijui manati na podo ni kubahatisha na timing tu!
Kumbuka jambazi mpaka anaingia ndani ujue kauza roho.

Mbinu nzuri ya kujizatiti na majambazi ni kuishi na majirani zako vizuri pasipo kujenga mazoea yanayopita kiwango cha ustaarab.
Pindi majambazi wakikuvamia, chap una escalate incidency kwa majirani. Kelele au kuvizia kwa kutokea nje ni rahisi sana kutibua mipango na kuzua taharuki kwa majambazi waliojipanga kwa uvamizi.
 
Waweza weka pia chombo kama beseni chenye maji chumvi ,ukakipiga short pia ili muhuni wa kwanza akutane na uchawi wa mzungu,ukilegeza mmoja wengine wanapotea
 
Ni timing tuu, nani anajua Kitu kinaitwa Dohani?

Nyumba za zamani hasa za wazungu zilikua na sehemu ya kuwashia moto ndani sbb ya baridi[emoji116]

Halafu ile sehemu ina vent(chimney)ya kutoka juu kwa ajili ya moshi[emoji116]Sasa mimi nilishawahi kupita pale kati kati nikanata juu huku chini moshi unapanda.
 
Kuna nyumba nimeiona Mbezi Beach hajaweka grills bali madirisha tu na elwctric fence, cctv, SGA security
 
Majambazi hawavamii mtu wa kawaida, majambazi wanavamia wafabiashara au mtu ambaye ameuzwa na informer wao kama kuna pesa ndani.

Wezi wengine waliobaki kutokana na maendeleo ya teknolojia ni wezi wa timing ambao wanaspray Dawa ya usingizini shida yao kubwa ni flat screen tu.

Kwa sasa wezi wa kuvamia kundi ndani ya nyumba bila kujuwa wanakwenda kuiba nini labda maeneo ya ushenzini sana ambalo mtu hupaswi kuishi maeneo hayo au maeneo yenye makazi mapya nyumba bado ziko mbalimbali napo si sehemu Salama kuishi.

Kwa sasa ni muhimu sana kuwa na mifumo ya teknolojia ya camera na alarm hii itakusaidia hawa wezi wa timing kuwadhibiti.

Watu wenye mtihani wa self ni defence ni matajili na wanafañyabiasha hata ukiwa na bastola na bunduki bado unahitaji mifumo mingi ya kujilinda.

Kuna Mzee mmoja wa Kizaramo mitaa yangu ana maduka makubwa tu na hajawahi kuvunjiwa kuna simulizi zina sema ameyazindika, lakini mwaka Jana walimlia timing na Bodaboda ile ametoka bank tu anashuka kwenye gari baraza ni akawekwa ranch zilipigwa risasi tatu akamuuliwa akabidhi ile bahasha kubwa yenye akatii Amri jamaa wakabeba bahasha na Bodaboda yao wakasepa.

Kwahiyo hata kwenye mabenki nadhani kuna tatizo possibly mtandao wa majambazi unaanzia benki.
 
Kuna nyumba nimeiona Mbezi Beach hajaweka grills bali madirisha tu na elwctric fence, cctv, SGA security
Grill zinaharibu shape ya nyumba, material za hiyo milango na madirisha waweza kuta drill zinasubiri.

Huyo ni mtu anaona mbali, kwa sababu wakidhamilia kuingia ndani wanakuja na mitungi Midogo ya gesi grill inatolewa fasta tu wanaingia ndani, na kuna ile mikasi mkubwa inakata mpaka nondo.

Kikubwa kwenye maisha maintain low profile, na kama unataka uwe high profile basi uwe na pesa kweli unalindwa na system zote camera na security guards wenye silaha.

Kuna tajiri mmoja kariakoo anaitwa Imma mchaga wa Rombo amekaa sana kwenye nyumba za pale keko ambazo zimeingiliana na Polisi barracks kwa sababu ya usalama wake lakini hakuwa na hadhi ya kuishi keko.
 
Waweza weka pia chombo kama beseni chenye maji chumvi ,ukakipiga short pia ili muhuni wa kwanza akutane na uchawi wa mzungu,ukilegeza mmoja wengine wanapotea
Pumba pumba pumba.

Kwamba kila siku ukitaka kulala unajaza maji na chumvi kwenye beseni unaliweka mlango wa chumbani! Halafu unaweka waya wenye moto!

Kila siku????
 
Watanzania tubadilike, tuachane na grills tuwekeze kwenye mifumo na walinzi hata wa 300000 kwa mwezi
 
Kuna kitu kinaitwa "Mitigation of risks" hauwezi kuzizuia hatari ila unaweza kutengeneza mazingira ya kuziepuka to some extent.
 
Kuna tochi maalumu ambayo ukimulikwa nayo machoni huoni unaona maluweluwe nusu saa nzima,walikuwa wanatumia wanajeshi wa Marekani,sijui kama zimeishafika kwenye masoko kama Amazon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…