Wanaume tuelimishane ulinzi, ni silaha gani nje ya bunduki ni nzuri kuimiliki sehemu unayoishi?

[QUOTE="
Pilipili umemamliza Kila kitu, Mimi huwa sikosi Acidic ndani kwa hio huwa namaliza, nina chemicals za hatari sana ambazo nawadondosha taratibu
[/QUOTE]
Hapo miaka ya nyuma kulikuwa na vibastola vya kuchezea watoto,vilikuwa vinauwezo wa kurusha maji kwa nguvu umbali wa takriban miter 8 hivi,hivi ukikipata ukaweka ndani yake substance inayofaa wezi wanakaa chini.
 
Bakora
 
Mshale wa sumu. Ukimuona mwizi huna haja ya kufungua mlango muanze kujibizana na silaha coz wezi wanaweza kukuzidi nguvu na mwishowe wakakuua au kukudhuru. Wewe fungua dirisha kidogo mpelekee mshale wa sumu akafie mbele ya safari
 
Apo kwenye rungu ndio penyewe inajikoki yenyewe upige kichwani, shingoni au uvunje meno na taya ya mwizi
 
MBIO
 
Hakika🤣🤣🤣🪑
 
😂😂😂
 
Unaijua Short gun, basi natamani siku nikiwa nayo, na mhalifu anaingia kwenye 18 zangu atajuta
 
Inategemeana na mpinzani kaja na silaha gani.

Kama mpinzani anakitu cha mlipuko yani analenga akiwa mbali unafikiri we na lungu lako mtakuwa na umuhimu gani zaidi ya kumpa sababu mvamizi za kuzidi kufyatua trigger?

Ila kama amekuja kienyeji hapo ndio unaweza kuangalia mapanga yako
 
Kama huna pistol Mlango wa chumbani tengeneza uwe mfupi mtu asiweze kuingia bila kuinama alaf unalala na panga.
Akitaka kuingia tu unapiga panga ya shingo 1
😂 Hii idea ya kufanyia kazi, japo nimepanga ngoja niongee na mwenye nyumba
 
We ni type ya Azizi Ki

Una mikimbio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…