Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,455
- 1,621
BakoraChukua mfano wavamiaji wameishafanikiwa kuingia sebuleni wewe upo chumbani ama upo na wanafamilia chumbani, kwenye situation kama hiyo ni silaha ipi nzuri kukabiliana na wavamiaji?
Binafsi nina rungu kama la komredi kipepe kwa mashambulizi ya ana kwa ana man to man, lakini ningependa tuelimishane zaidi.
Kupitia uzi huu tuelimishane silaha za kuwa nazo, kuzificha, matumizi sahihi, n.k.
Apo kwenye rungu ndio penyewe inajikoki yenyewe upige kichwani, shingoni au uvunje meno na taya ya mwiziChukua mfano wavamiaji wameishafanikiwa kuingia sebuleni wewe upo chumbani ama upo na wanafamilia chumbani, kwenye situation kama hiyo ni silaha ipi nzuri kukabiliana na wavamiaji?
Binafsi nina rungu kama la komredi kipepe kwa mashambulizi ya ana kwa ana man to man, lakini ningependa tuelimishane zaidi.
Kupitia uzi huu tuelimishane silaha za kuwa nazo, kuzificha, matumizi sahihi, n.k.
MBIOChukua mfano wavamiaji wameishafanikiwa kuingia sebuleni wewe upo chumbani ama upo na wanafamilia chumbani, kwenye situation kama hiyo ni silaha ipi nzuri kukabiliana na wavamiaji?
Binafsi nina rungu kama la komredi kipepe kwa mashambulizi ya ana kwa ana man to man, lakini ningependa tuelimishane zaidi.
Kupitia uzi huu tuelimishane silaha za kuwa nazo, kuzificha, matumizi sahihi, n.k.
Ww vepe wengine sisi ni walinzi wa maduka ya wahindiHivi nauliza watanzania wenzangu kweli tutawahi kuendelea?
Usiku huu saa nne bado huko macho tu jamvin hujalala unaposti uzi na wengine kuchangia tutafika kweli?
Huu ni muda wa kulala bana siyo wa kuwa jamvin.
Kammoon kalaleni.
Sauh'waah?!
Hakika🤣🤣🤣🪑Majambazi hawavamii mtu wa kawaida, majambazi wanavamia wafabiashara au mtu ambaye ameuzwa na informer wao kama kuna pesa ndani.
Wezi wengine waliobaki kutokana na maendeleo ya teknolojia ni wezi wa timing ambao wanaspray Dawa ya usingizini shida yao kubwa ni flat screen tu.
Kwa sasa wezi wa kuvamia kundi ndani ya nyumba bila kujuwa wanakwenda kuiba nini labda maeneo ya ushenzini sana ambalo mtu hupaswi kuishi maeneo hayo au maeneo yenye makazi mapya nyumba bado ziko mbalimbali napo si sehemu Salama kuishi.
Kwa sasa ni muhimu sana kuwa na mifumo ya teknolojia ya camera na alarm hii itakusaidia hawa wezi wa timing kuwadhibiti.
Watu wenye mtihani wa self ni defence ni matajili na wanafañyabiasha hata ukiwa na bastola na bunduki bado unahitaji mifumo mingi ya kujilinda.
Kuna Mzee mmoja wa Kizaramo mitaa yangu ana maduka makubwa tu na hajawahi kuvunjiwa kuna simulizi zina sema ameyazindika, lakini mwaka Jana walimlia timing na Bodaboda ile ametoka bank tu anashuka kwenye gari baraza ni akawekwa ranch zilipigwa risasi tatu akamuuliwa akabidhi ile bahasha kubwa yenye akatii Amri jamaa wakabeba bahasha na Bodaboda yao wakasepa.
Kwahiyo hata kwenye mabenki nadhani kuna tatizo possibly mtandao wa majambazi unaanzia benki.
😂😂😂Well umeongelea manati ni sawa yanaweza kukusaidia kwa mbali,lakini chukua mfano wameishafanikiwa kuingiza sebuleni wewe uko chumbani, kwenye situation kama hiyo bastola ni muafaka haswa kama umejificha kwenye Kona fulani unawadondosha mmoja mmoja, lakini swali je ni Kila mmoja wetu ana sifa ya kumiliki bastola jibu ni hapana,
trick inayoweza kukusaidia ni kuwa na switch inayoweza kuzima umeme nyumba nzima, halafu unavaa miwani Yako ya night vision, huku umeshika chupa ya plastic ya nusu Lita, zile za maji ya kunywa, ikiwa imejaa maji yaliyochaganywa na pilipili ya unga Kali kabisa kifuniko kikiwa kimetobolewa tundu dogo unene wa njiti mbili za kiberiti, kwa sababu hawakuoni wewe unawaona unawaminyia maji ya pilipili kwenye macho, wakati wanafikicha macho unamaliza game na silaha za jadi halafu unawasachi mifukoni kama walitembea na hela'then unaripoti tukio kwa vyombo vya usalama.
😂 Hii idea ya kufanyia kazi, japo nimepanga ngoja niongee na mwenye nyumbaKama huna pistol Mlango wa chumbani tengeneza uwe mfupi mtu asiweze kuingia bila kuinama alaf unalala na panga.
Akitaka kuingia tu unapiga panga ya shingo 1
Mchanga unakuwa umeuweka ndani kabisa?Ngumi, mchanga kurushia machoni. NGUMI, NGUMI, NGUMI. Mateke ya kuua mtu.
We ni type ya Azizi KiBinafsi silaha yangu ya kwanza ni kua peace na wengi wanaonizunguka!
Silaha ya pili ni miguu yangu nipo vizuri sana kwenye speed humu ndani wote mkafanye mazoezi miezi sita ndo mfikie robo ya speed yangu🤣
Silaha ya tatu ndo kama sime, panga na rungu
Believe it manHiyo Machete ni noma sna
Kipindi hiko jkt walikua wananiita mang'ati😁watu 3000 tunawahi msosi lazima niwe wa kwanzaWe ni type ya Azizi Ki
Una mikimbio
Electric shocking torch zinapatikana wapi mkuu,hizi ni NZURI mno,inapiga shot mpaka kibaka anakaa chini msaada tafadhali.Spring Knife na Ile Electric torch [emoji363].
Sehemu gani mkuu?Kanunue kifaa wanachotumiaga polisi kupiga shoti mtu..vinauzwa siku hizi..kariakoo vipo kibao..!!