Wanaume tujadiliane, hivi ni muda gani sahihi wa kuanza kumpa mwanamke hela baada ya kumtongoza?

Wanaume tujadiliane, hivi ni muda gani sahihi wa kuanza kumpa mwanamke hela baada ya kumtongoza?

Heci

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
3,591
Reaction score
6,114
Nimesikitishwa saba na tabia za mademu wengi, unamtongoza, hata kabla hajakukubali anaanza kukufungulia pochi yake ya matatizo.

Mara naomba nauli ya mama aende kumuuguza mama mkubwa, hivi nisingekutongoza ingekuwaje?

Mwingine ana kigari chake utasikia yaani nimezidisha kilometa 5OO naomba hela ya service na ya polish. Hivi uliweje kununua kitu usichoweza kulimudu?

Mwingine umeomtongoza tu hapohapo anakuunga na kwenye group lao la harusi mtoto wa baba yake mdogo ana kipaimara uchangie.

Mwingine mmekutana naye club mnakula raha, kesho saa sita mchana anakwambia, Babi nikwambie kitu?, unajua mdogo wetu alifariki wiki iliyopita maiti iko hospital, naomba utusaidie tukomboe mwili wake.
 
Nimesikitishwa saba na tabia za mademu wengi, unamtongoza, hata kabla hajakukubali anaanza kukufungulia pochi yake ya matatizo.

Mara naomba nauli ya mama aende kumuuguza mama mkubwa, hivi nisingekutongoza ingekuwaje?

Mwingine ana kigari chake utasikia yaani nimezidisha kilometa 5OO naomba hela ya service na ya polish. Hivi uliweje kununua kitu usichoweza kulimudu?

Mwingine umeomtongoza tu hapohapo anakuunga na kwenye group lao la harusi mtoto wa baba yake mdogo ana kipaimara uchangie.
Saa hiyo2...
 
Nimesikitishwa saba na tabia za mademu wengi, unamtongoza, hata kabla hajakukubali anaanza kukufungulia pochi yake ya matatizo.

Mara naomba nauli ya mama aende kumuuguza mama mkubwa, hivi nisingekutongoza ingekuwaje?

Mwingine ana kigari chake utasikia yaani nimezidisha kilometa 5OO naomba hela ya service na ya polish. Hivi uliweje kununua kitu usichoweza kulimudu?

Mwingine umeomtongoza tu hapohapo anakuunga na kwenye group lao la harusi mtoto wa baba yake mdogo ana kipaimara uchangie.
Ni ushamba na uvivu tu unawasumbua.. Wanawake wengi wavivu hasa hiki kizazi cha wafuga kucha na kuvaa mawigi hakuna kitu kabisa...
 
Nimewasikia mademu wengi wakisema wanaume ambao hawawapendi huwa wanawakubalia ili wasisumbuliwe

Halafu wanaanza kuomba hela kila mida ili automatically mchizi umpige chini na hilo ndio lengo lake
Hio Mimi nimewahi kuambiwa Mwanamke asiekupenda ataishia kukupiga mizinga na mabomu hadi kichwa chako kikupasuke means hakupendi kwa hio inabidi ujue kuzisoma alama za nyakati,

Mbaya zaidi alieniambia hivyo na yeye akaanzisha huo utaratibu wakati kashanitobolea Siri nikampiga chini fasta yaan bila kupoteza muda,
 
Viti maalumu tunasemaje, Mwanamke aliyekubali ombi lako baada ya kumtongoza inatakiwa uanze kumuhudumia Mara moja maana Ni jukumu lako Kama mpenzi wako...samahani kwa kuingilia majadiliano yenu wanaume 😟😟
 
Mjomba naongea kwa exiperience mwanamke usimpe hela kabla haujamla narudia kabla haujamla kuwa bahili sanaa, usifunguke sana na ukishamla funguka normal, ukihonga sana unaonekana bwege na mwanamke hatokupenda katu, mi nawza kuwa na hela ila mwanamke nikamkazia simpi kirahisi ntamwambia ngoja nitafute ndo nampa
 
Nimesikitishwa saba na tabia za mademu wengi, unamtongoza, hata kabla hajakukubali anaanza kukufungulia pochi yake ya matatizo.

Mara naomba nauli ya mama aende kumuuguza mama mkubwa, hivi nisingekutongoza ingekuwaje?

Mwingine ana kigari chake utasikia yaani nimezidisha kilometa 5OO naomba hela ya service na ya polish. Hivi uliweje kununua kitu usichoweza kulimudu?

Mwingine umeomtongoza tu hapohapo anakuunga na kwenye group lao la harusi mtoto wa baba yake mdogo ana kipaimara uchangie.

Mwingine mmekutana naye club mnakula raha, kesho saa sita mchana anakwambia, Babi nikwambie kitu?, unajua mdogo wetu alifariki wiki iliyopita maiti iko hospital, naomba utusaidie tukomboe mwili wake.
Zingatia;
  1. Usikubali kamwe kumpa fedha cash wengine huzifanyia ushirikina
  2. Usikubali kumtumia ati nauli au vocha nk wanazitumia kuwaonyeshea wengine kuwa wanajiweza
  3. Unaweza kumkaribisha lunch au dinner kama sehemu ya kuzungumza na kufahamiana
  4. Usikubali kumkopesha
  5. Ukikutana naye usimfuatilie atakuona una dhiki naye mwache ajitafakari kama anakupenda atakutafuta
 
Zingatia;
  1. Usikubali kamwe kumpa fedha cash wengine huzifanyia ushirikina
  2. Usikubali kumtumia ati nauli au vocha nk wanazitumia kuwaonyeshea wengine kuwa wanajiweza
  3. Unaweza kumkaribisha lunch au dinner kama sehemu ya kuzungumza na kufahamiana
  4. Usikubali kumkopesha
  5. Ukikutana naye usimfuatilie atakuona una dhiki naye mwache ajitafakari kama anakupenda atakutafuta
Namba moja ni ya ukweli sana. Wanaume tunarogwa sana
 
Back
Top Bottom