Wanaume tujadiliane, hivi ni muda gani sahihi wa kuanza kumpa mwanamke hela baada ya kumtongoza?

Wanaume tujadiliane, hivi ni muda gani sahihi wa kuanza kumpa mwanamke hela baada ya kumtongoza?

Viti maalumu tunasemaje, Mwanamke aliyekubali ombi lako baada ya kumtongoza inatakiwa uanze kumuhudumia Mara moja maana Ni jukumu lako Kama mpenzi wako...samahani kwa kuingilia majadiliano yenu wanaume 😟😟
Namuhudumiaje? Nianze kutunza ndugu zake na kutoa maiti zao mortuary?
 
Kama huna uwezo wa kuhonga kanunue kimboka.
Hakuna atakaekupa uvungu bure hata kama sio leo, kesho utapigwa tukio la kufidia ya nyuma.
Mapenzi ni biashara, thus wazee wa mteremko wao ulenga pa kulelewa
 
🤣🤣🤣🤣
Wanawake nyoko sana, halafu usiku tulikuwa wote club. Wanawake mizinga yenu inaboa sana, sijui kwanini hamtakagi jamaa akupe tu mwenyewe hela bola kumuomba?
 
Hio Mimi nimewahi kuambiwa Mwanamke asiekupenda ataishia kukupiga mizinga na mabomu hadi kichwa chako kikupasuke means hakupendi kwa hio inabidi ujue kuzisoma alama za nyakati,

Mbaya zaidi alieniambia hivyo na yeye akaanzisha huo utaratibu wakati kashanitobolea Siri nikampiga chini fasta yaan bila kupoteza muda,
Timulia mbali
 
Mwanamke ni huduma kama.ilivokuwa huduma ya simu janja kimatumizi au unataka TCRA wafungie tutumie VPN kwa wanawake
 
Nimesikitishwa saba na tabia za mademu wengi, unamtongoza, hata kabla hajakukubali anaanza kukufungulia pochi yake ya matatizo.

Mara naomba nauli ya mama aende kumuuguza mama mkubwa, hivi nisingekutongoza ingekuwaje?

Mwingine ana kigari chake utasikia yaani nimezidisha kilometa 5OO naomba hela ya service na ya polish. Hivi uliweje kununua kitu usichoweza kulimudu?

Mwingine umeomtongoza tu hapohapo anakuunga na kwenye group lao la harusi mtoto wa baba yake mdogo ana kipaimara uchangie.

Mwingine mmekutana naye club mnakula raha, kesho saa sita mchana anakwambia, Babi nikwambie kitu?, unajua mdogo wetu alifariki wiki iliyopita maiti iko hospital, naomba utusaidie tukomboe mwili wake.
Ukiona hivyo ujue huyo mwanamke hujamvutia na kiufupi hana time na wewe... kwa hiyo ameamua akugeuze kitegauchumi kwa kadiri ufala wako utakavyoruhusu. Siku ukiacha ufala utaacha kumpa hela wakati hujala mzigo, au utadai nipe nikupe. Hapo ndo kuna mawili... aidha atakupotezea kimoja (wengi wanaombagaombaga hela hufanya hivyo) au kama ana shida sana basi atakuletea mbususu na bili zitaendelea kuja kama kawaida.

Kiufupi ukishakuwa na hela mapenzi sahau. Mahusiano yako na wanawake yanabadilika na kuwa ni ya kibiashara tu. Mapenzi utayapata endapo tu hauna hela.

Dawa ni moja tu. Nipe nikupe. Akitaka hela ya maana mwambie aje achukue. Akisusa na wewe mpotezee. Wanawake wenye shida ya hela na wanaotoa mbususu ukiwapa hela wapo wengi tu.

Hela ya kumpa burebure mwisho Tshs. 2,000/- tu ya vocha.
 
Tunahitaji mchango wako zaidi, tabasamu lako halitoshi ukizingatia wewe ni katibu wa wanawake wasomi Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23]
Usomi na hii form 4 B na kupata four ya 32 😂😂😂Hebu nitake radhi
 
Namuhudumiaje? Nianze kutunza ndugu zake na kutoa maiti zao mortuary?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aaah jamani!si unachangia kamchango Kama mwanafamilia
 
Usomi na hii form 4 B na kupata four ya 32 😂😂😂Hebu nitake radhi
😂😂😂 uwongo mimi siuwezi, naunakana cheo chako leo, mimi nakuzoom tu. Tafadhari katibu, hebu tia neno lako, tunakuomba tafadhari😂😂
 
Tunahitaji mchango wako zaidi, tabasamu lako halitoshi ukizingatia wewe ni katibu wa wanawake wasomi Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23]
Upele unamuotaga asie na kucha aisee 😂 😂 kunawanaume watoaji wazuri tu ila hawajakutana na maslay Yan Hadi mtu anakuuliza hutaki kusuka kwani 😂 upande wapili ni hekaheka kilasiku nyuz mpya 😂😂
 
Mda sahihi wa kumpa pesa ni pale tayari umeshapiga na kuridhishwa na huduma , bila hivyo ni utapeli na wizi tu , kula mbususu lipia kulingana na utamu, ukisema tafuta mayala wanaojiuza kwa sasa hakuna she ambae hajiuzi .
 
Upele unamuotaga asie na kucha aisee 😂 😂 kunawanaume watoaji wazuri tu ila hawajakutana na maslay Yan Hadi mtu anakuuliza hutaki kusuka kwani 😂 upande wapili ni hekaheka kilasiku nyuz mpya 😂😂
Kama mwanamume hapigwi vizinga ovyoovyo anaweza kuuliza hivyo.
 
Wanawake nyoko sana, halafu usiku tulikuwa wote club. Wanawake mizinga yenu inaboa sana, sijui kwanini hamtakagi jamaa akupe tu mwenyewe hela bola kumuomba?
Bila kuombwa hamtoi pia
 
Back
Top Bottom