Wanaume tujadiliane, hivi ni muda gani sahihi wa kuanza kumpa mwanamke hela baada ya kumtongoza?

Nimewasikia mademu wengi wakisema wanaume ambao hawawapendi huwa wanawakubalia ili wasisumbuliwe

Halafu wanaanza kuomba hela kila mida ili automatically mchizi umpige chini na hilo ndio lengo lake
Kamanda hapa una maanisha aje?

Ina maana wanaopendwa wanasumbuliwa kidogo kukubaliwa na hawaombwi ombwi hela au πŸ˜•??

Tusaidiane kidogo! Wengine tunajua hip-hop na vita ya Urusi na Ukraine tu 😁!!
 
πŸ™†πŸ™†πŸ™†πŸ™†πŸ™†
 
Hakuna muda wa kumpa pesa kabisa.... Hakuna kutoa pesa.. hakuna
Hakuna
 
Mwanamke apewe jembe akallime au sio jombaaa?
Yaaah yaaah naposema apewe jembe tumaanishe kweli... Sio kuleta habari za kusuka nywele hadi huku mgongoni..... Alaaaaaah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mademu wa JF hatari sana
 
When you feel it is safe, not the moment before!
 
Nakushauri usitoe pesa yeyote kwa mwanamke ambaye hajakuzalia watoto wako. Kamwe, utajuta vibaya sana!
 
Anamtongoza asubuhi, mchana anakupigia kaka kakamatwa na dhahabu feki polisi wanataka million mbili
Ety jirani yake amepata amefariki na wamemchagua yeye kwenda kupeleka maiti kijijini kwao na jiran anahitaji pesa ya kumlipa dereva na pesa ya mafuta. Poleni sana wakaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…