Mlango si upo chini kule utalalaje miguuni,embu acha ubishi 😠wamesema upande wa kulia wa mwanamke🙄Mi nnachojua mwanaume unalala upande mlango ulipo
Hii mabo ya kushoto na kulia, nangojea muongozo
Kabisa[emoji4][emoji106]Mi nnachojua mwanaume unalala upande mlango ulipo
Hii mabo ya kushoto na kulia, nangojea muongozo
Ni mwendo wa kuhama tu, lala ulalavyo, nitahamia kuliaWakati nimelala kifudifudi au Chali?
Kimwili na kirohokulala upande wa kulia kunafaidisha zaidi moyo, na upande wa kushoto ni faida zaidi kwa mwili.
Sasa ticha, twende taratibu, si tunaongelea mlango huu huu wa kuingia na kutoka chumbani au mlango upi mwingine?Mlango si upo chini kule utalalaje miguuni,embu acha ubishi 😠wamesema upande wa kulia wa mwanamke🙄
🤣🤣🤣🤣🚴Sasa ticha, twende taratibu, si tunaongelea mlango huu huu wa kuingia na kutoka chumbani au mlango upi mwingine?
Kiafya mwanamke atalala upande wa ukuta!
Weka picha upewe miongozo...Wakati nimelala kifudifudi au Chali?
Soyoni maana yoyote Ni kutisha tu hapoUlale kulia au kushoto haina maana.
kulala upande wa kulia kunafaidisha zaidi moyo, na upande wa kushoto ni faida zaidi kwa mwili.
Wee,sema kweli😳Inakuaje kwa ambao hawalali kabisa, mambo yao wima wima...
🤣Weka picha upewe miongozo...
Hakika...Wee,sema kweli😳
🤣🤣🤣🤣Nacheka mwenzio huku balaa,yaan akili zako hakika unazijua mwenyewe🙌Hakika...
😀 😀 Weka picha vile umelala kifudifudi au chali ili upewe miongozo...🤣🤣🤣🤣Nacheka mwenzio huku balaa,yaan akili zako hakika unazijua mwenyewe🙌
🤣nimeeleweshwa bhana😀 😀 Weka picha vile umelala kifudifudi au chali ili upewe miongozo...
Thd iishie hapa.Inategemea unatumia Mkono gan zaidi .