Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Kuna wale wanaolala mkao wa popo kanyea mbingu...sijui inakuaje hapo...š¤£nimeeleweshwa bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wale wanaolala mkao wa popo kanyea mbingu...sijui inakuaje hapo...š¤£nimeeleweshwa bhana
š¤£Kwa kweli iishe tuThd iishie hapa.
šš
š¤£Mambo ya mzab hayo,mada ya bujibuji imevamiwa LeošKuna wale wanaolala mkao wa popo kanyea mbingu...sijui inakuaje hapo...
Shida ni anatushauri tulale upande wa kushoto, wakati kumlalia mwanamke kwa juu ndiyo mwake mwake...š¤£Mambo ya mzab hayo,mada ya bujibuji imevamiwa Leoš
Anajua kuwa atashindwa kupumua na hatolala vyemaShida ni anatushauri tulale upande wa kushoto, wakati kumlalia mwanamke kwa juu ndiyo mwake mwake...
Kuna uzi upo humu kwamba ukiona kitanda chako kinagusa ukutani ujue wewe ni masikini šššau kwa lugha rahisi mwanamke ndo analala ukutani,mi ya kwangu ipo kiulinzi zaidi
Na akitaka kupiga atatumia mkono wa kushoto? au siyo to yeyeSi ulale popote
Haaaaaaah htr hii from now nakisogeza kikae Kati hata ikitokea manzi kaja akute kipo Kati apa imekaaješšKuna uzi upo humu kwamba ukiona kitanda chako kinagusa ukutani ujue wewe ni masikini ššš
Mbona tushasahau kuweka kitanda ukutani siku nyingi!au kwa lugha rahisi mwanamke ndo analala ukutani,mi ya kwangu ipo kiulinzi zaidi
MkuuššKushoto kulia yote sawa cha muhimu mwanamke lazima alale uchi.
Jamani jamani, kwahiyo ukishtuka imòo, unakua umejiandaa saa ngapi huo mnara?ššWakati naoa niliambiwa na Bibi zangu kuwa mwanamke analala upande wa ukutani au ndio huo upande WA kushoto mnaosema......hao mabibi waliniambia kuwa lengo ni mwanamke akiamka usiku kwenda chooni inamaana lazima ataniruka mm hapo nitashtuka lengo akitoka chooni aliwe,hizo ndo hekima za wazee WA zamani na ndivyo walivyoniambia
Naona wababu wazamani walikuwa wanajua wajibu wao, ila sasa kizazi hiki mke akinyanyuka kwenda kujisaidia yeye ndiyo anageka upande mwingine na kujifunika gubi gubi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] au anajibu huwezi kunyanyuka taratibu mpaka unisumbue??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati naoa niliambiwa na Bibi zangu kuwa mwanamke analala upande wa ukutani au ndio huo upande WA kushoto mnaosema......hao mabibi waliniambia kuwa lengo ni mwanamke akiamka usiku kwenda chooni inamaana lazima ataniruka mm hapo nitashtuka lengo akitoka chooni aliwe,hizo ndo hekima za wazee WA zamani na ndivyo walivyoniambia
Siku hizi network ni mbofu sana minara itakuwa imefungwa mbali sana[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Jamani jamani, kwahiyo ukishtuka imòo, unakua umejiandaa saa ngapi huo mnara?[emoji23][emoji23]