Wanaume tujadiliane; nini faida za kulala upande wa kulia wa mwanamke?

Wanaume tujadiliane; nini faida za kulala upande wa kulia wa mwanamke?

Nijuavyo kushoto au kulia sio ishu, ila mwanaume anapaswa kulala jiran na mlango ulipo na panga lake chini ya mto akiwa na pensi lake.
 
🤣daa,umefungua code chap Kwa haraka 🤜
hahahaha mbona mambo ya kawaida sana. Sema sisi waswahili tunamaisha ya kukalili. Usiku muda wa kulala mtu anataka mechi, kwann isifanyike kabla ya kulala au wakati wa kuoga? Au kwann isifanyike asubuh kbl ya kwenda job au kuahirisha kabisa had weekend? hahahah
 
hahahaha mbona mambo ya kawaida sana. Sema sisi waswahili tunamaisha ya kukalili. Usiku muda wa kulala mtu anataka mechi, kwann isifanyike kabla ya kulala au wakati wa kuoga? Au kwann isifanyike asubuh kbl ya kwenda job au kuahirisha kabisa had weekend? hahahah
Aisee mkuu,hapo unaharibu ....wengine huwa hatuachi siku...labda kipindi Cha bleed tu ndo sikusumbui🚴🚴
 
Aisee mkuu,hapo unaharibu ....wengine huwa hatuachi siku...labda kipindi Cha bleed tu ndo sikusumbui🚴🚴
Kuwa na mwanamke wa aina yako ni raha sana..Mechi iwe kila siku labda siku ya dharula tu ndo mapumziko.
Mi nashangaa kuna baadhi ya sisi wanaume wanajisifia nina wiki au mwezi sija do na wife! Ukimuliza sababu ni nini anakwambia huwa nimechoka sana.
Nabaki nashangaa tu na kujiuliza hivi kweli inawezekana...
 
Kuwa na mwanamke wa aina yako ni raha sana..Mechi iwe kila siku labda siku ya dharula tu ndo mapumziko.
Mi nashangaa kuna baadhi ya sisi wanaume wanajisifia nina wiki au mwezi sija do na wife! Ukimuliza sababu ni nini anakwambia huwa nimechoka sana.
Nabaki nashangaa tu na kujiuliza hivi kweli inawezekana...
Match ni daily...mpumzike Ili iweje sasa😋
 
Wakati naoa niliambiwa na Bibi zangu kuwa mwanamke analala upande wa ukutani au ndio huo upande WA kushoto mnaosema......hao mabibi waliniambia kuwa lengo ni mwanamke akiamka usiku kwenda chooni inamaana lazima ataniruka mm hapo nitashtuka lengo akitoka chooni aliwe,hizo ndo hekima za wazee WA zamani na ndivyo walivyoniambia
Ni mwendo wa kunyata TU.
 
Back
Top Bottom