Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Mi mwanamkeMwanaume unawezaje kulala kifudifudi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi mwanamkeMwanaume unawezaje kulala kifudifudi?
hapo sawa no comment.Mi mwanamke
😳alale na pensi Tena!? Sa itakuwaje 🤔Nijuavyo kushoto au kulia sio ishu, ila mwanaume anapaswa kulala jiran na mlango ulipo na panga lake chini ya mto akiwa na pensi lake.
yes itakuaje nin tena? Ukitaka mechi unaomba tu.😳alale na pensi Tena!? Sa itakuwaje 🤔
🤣daa,umefungua code chap Kwa haraka 🤜yes itakuaje nin tena? Ukitaka mechi unaomba tu.
Sio inatokea dharula unaanza kutafuta nguo, maana ya dharula inakua haipo tena.
hahahaha mbona mambo ya kawaida sana. Sema sisi waswahili tunamaisha ya kukalili. Usiku muda wa kulala mtu anataka mechi, kwann isifanyike kabla ya kulala au wakati wa kuoga? Au kwann isifanyike asubuh kbl ya kwenda job au kuahirisha kabisa had weekend? hahahah🤣daa,umefungua code chap Kwa haraka 🤜
Aisee mkuu,hapo unaharibu ....wengine huwa hatuachi siku...labda kipindi Cha bleed tu ndo sikusumbui🚴🚴hahahaha mbona mambo ya kawaida sana. Sema sisi waswahili tunamaisha ya kukalili. Usiku muda wa kulala mtu anataka mechi, kwann isifanyike kabla ya kulala au wakati wa kuoga? Au kwann isifanyike asubuh kbl ya kwenda job au kuahirisha kabisa had weekend? hahahah
duhAisee mkuu,hapo unaharibu ....wengine huwa hatuachi siku...labda kipindi Cha bleed tu ndo sikusumbui🚴🚴
Nipeko basi io kitu 😋🤩Wee nna mbususu sina mnara mimi😂
Utawezana mkuu, sitaki murder case😂😂Nipeko basi io kitu 😋🤩
Kuwa na mwanamke wa aina yako ni raha sana..Mechi iwe kila siku labda siku ya dharula tu ndo mapumziko.Aisee mkuu,hapo unaharibu ....wengine huwa hatuachi siku...labda kipindi Cha bleed tu ndo sikusumbui🚴🚴
Unaweza kuondoa maisha ya mtu😬.Utampimia anapowezaUtawezana mkuu, sitaki murder case😂😂
Match ni daily...mpumzike Ili iweje sasa😋Kuwa na mwanamke wa aina yako ni raha sana..Mechi iwe kila siku labda siku ya dharula tu ndo mapumziko.
Mi nashangaa kuna baadhi ya sisi wanaume wanajisifia nina wiki au mwezi sija do na wife! Ukimuliza sababu ni nini anakwambia huwa nimechoka sana.
Nabaki nashangaa tu na kujiuliza hivi kweli inawezekana...
Nahofia kumoverdose, ndiyo maana nauliza kabisa atawezanaUnaweza kuondoa maisha ya mtu😬.Utampimia anapoweza
Apparently iam a bit of bulldog! It will always be an A game! Top notch stuff sweetheartNahofia kumoverdose, ndiyo maana nauliza kabisa atawezana
Una akili sana. Grab some finest Cognac! financial services has always been my crush so thankful to you gentleman for putting in a strong line😉☺️Unaweza kuondoa maisha ya mtu😬.Utampimia anapoweza
Ni mwendo wa kunyata TU.Wakati naoa niliambiwa na Bibi zangu kuwa mwanamke analala upande wa ukutani au ndio huo upande WA kushoto mnaosema......hao mabibi waliniambia kuwa lengo ni mwanamke akiamka usiku kwenda chooni inamaana lazima ataniruka mm hapo nitashtuka lengo akitoka chooni aliwe,hizo ndo hekima za wazee WA zamani na ndivyo walivyoniambia
Naam lazima mwanamke alale uchi inakuwa rahisi kukimbiza mwengeKushoto kulia yote sawa cha muhimu mwanamke lazima alale uchi.