Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Nadhan ndio maana ndoa zao zilikuwa zinadumu Sana.....walikuwa wanajua thamani ya ndoa na mambo yakeNaona wababu wazamani walikuwa wanajua wajibu wao, ila sasa kizazi hiki mke akinyanyuka kwenda kujisaidia yeye ndiyo anageka upande mwingine na kujifunika gubi gubi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] au anajibu huwezi kunyanyuka taratibu mpaka unisumbue??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]