Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Nadhan ndio maana ndoa zao zilikuwa zinadumu Sana.....walikuwa wanajua thamani ya ndoa na mambo yakeNaona wababu wazamani walikuwa wanajua wajibu wao, ila sasa kizazi hiki mke akinyanyuka kwenda kujisaidia yeye ndiyo anageka upande mwingine na kujifunika gubi gubi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] au anajibu huwezi kunyanyuka taratibu mpaka unisumbue??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo maana yake, sasa nikikumbuka wazazi wetu hata walumbane vipi lakini baadaye utawaona wapo pamoja, siku hizi hujui Mme nani wala mke nani nikununiana tu kwakwenda mbeleNadhan ndio maana ndoa zao zilikuwa zinadumu Sana.....walikuwa wanajua thamani ya ndoa na mambo yake
Na ujue hata kitanda kuwa kidogo kinasaidia ugomvi kuisha haraka,coz mnagusana mara Kwa mara na mwisho wa siku imo! Sasa haya mavitanda yetu ya sita Kwa sita ndio tunanuniana hata wiki nzima!Wazee wazamani walikuwa nna hekima ndiyo maana vitanda vyao vilikuwa vidogo vidogo, na kila anayetaka kunyanyuka au kugeuka lazima amguse mwenzie, sasa siku hizi Mme aweza jiwekea hata net mwenyewe na mke akabaki analiwa na mbu upande mwingine ha ha ha
Watu makini, karibuni sana kwa mjadala.
Aisee[emoji16]Sasa ticha, twende taratibu, si tunaongelea mlango huu huu wa kuingia na kutoka chumbani au mlango upi mwingine?
Kiafya mwanamke atalala upande wa ukuta!
Mnapitana kama hamjuani vile jamani, halafu mtu anapika na chakula unakula vizuri.Na ujue hata kitanda kuwa kidogo kinasaidia ugomvi kuisha haraka,coz mnagusana mara Kwa mara na mwisho wa siku imo! Sasa haya mavitanda yetu ya sita Kwa sita ndio tunanuniana hata wiki nzima!
Mnara si upo active always? Ama wako ni mpaka uimung'unye kwanza[emoji39]Jamani jamani, kwahiyo ukishtuka imΓ²o, unakua umejiandaa saa ngapi huo mnara?[emoji23][emoji23]
Wee nna mbususu sina mnara mimiπMnara si upo active always? Ama wako ni mpaka uimung'unye kwanza[emoji39]
I meant wa jamaa yetu mmiliki hiyo mbususu[emoji39]Wee nna mbususu sina mnara mimi[emoji23]
Karibu tulale uchi.Mkuuππ
πππ ntakuja kweli, sitaniwagi mimi πKaribu tulale uchi.
DuhhhTunao lala chini nawake zetu wana lala kitandani tunacomment wap
Sisi maLeft niaje,!?Watu makini, karibuni sana kwa mjadala.
Milango iko mingi upi wa mwanamke au mlango kuingilia chumbanMi nnachojua mwanaume unalala upande mlango ulipo
Hii mabo ya kushoto na kulia, nangojea muongozo
Mlango wa kuongilia chumbaniMilango iko mingi upi wa mwanamke au mlango kuingilia chumban
Mwanaume unawezaje kulala kifudifudi?Wakati nimelala kifudifudi au Chali?